Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,196
- 113,479
Israel bila Marekani haina chochote!
Biden…huyo Democrat mpenda amani asiye mbaguzi wa rangi, dini, wala jinsia…yeye kama kiongozi wa taifa kubwa linalolikingia kifua Israel, kwa nini aachie huu unyama wa Israel dhidi ya Wapalestina uendelee?
Leo nimeona kuna kabinti kameokolewa kutoka kwenye jengo lililopigwa mabomu na hao wahalifu wa Israel. Imeniuma sana.
Lakini unajua nini…fcuk Biden!
Hawezi kumfokea huyo Netanyahu na kumwambia akome huo unyama wake?
Wachina na Warusi kwa nini wanaachia huu uhalifu uendelee? Au hawana ubavu kama wanavyodai?
Massive big up kwa Hamas. Ujasiri wao nauheshimu sana.
Biden…huyo Democrat mpenda amani asiye mbaguzi wa rangi, dini, wala jinsia…yeye kama kiongozi wa taifa kubwa linalolikingia kifua Israel, kwa nini aachie huu unyama wa Israel dhidi ya Wapalestina uendelee?
Leo nimeona kuna kabinti kameokolewa kutoka kwenye jengo lililopigwa mabomu na hao wahalifu wa Israel. Imeniuma sana.
Lakini unajua nini…fcuk Biden!
Hawezi kumfokea huyo Netanyahu na kumwambia akome huo unyama wake?
Wachina na Warusi kwa nini wanaachia huu uhalifu uendelee? Au hawana ubavu kama wanavyodai?
Massive big up kwa Hamas. Ujasiri wao nauheshimu sana.