Israel inaomba silaha!!

Israel inaomba silaha!!

Hilo la wao kupenda kuibeba Israel sijui. Na hawaibebi Israel tu. Hata Taiwan wanaibeba na hata Uingereza wanaibeba kwa kiasi flani.

Lakini kwa yeyote mwenye akili timamu hawezi kamwe kuilinganisha Israel na Marekani. Marekani iko juu bana.

Netenyahu mwenyewe kaja kuomba silaha dhidi ya Ahmadinejad....chezeya Marekani wewe?

unajua Wayahudi wana skills ya hali ya juu, kwani hapo New york wayahudi wako vipi kwani ni kwanini hitler alichukia wayahudi!? We ukicheck kila nyanja jews wako juu, toka kina Albert Einstein we check kila nyanja wamezagaa!
 
Hakuna kosa. Ila kuna watu humu bila hata soni eti wanasemaga Israel ni zaidi ya Marekani katika kila kitu ikiwamo uchumi, nguvu za kijeshi, influence, na kadhalika, kitu ambacho si cha kweli hata kidogo.
Sasa inakuwaje,OBAMA wakati wa uchaguzi USA,kura alienda kuziombea ISRAEL????
 
Mami NN, USA imeshikwa na Wayahudi wengi sana na hasa unapokuja kwenye masuala ya uchumi kama Viwanda, Mabenki, Hollywood, Media nk.

The world's richest people - How many are jews? - Vanguard News Network Forum

Wanasema, katika wale matajiri 400 wa USA, basi kati ya 100-150 ni Wayahudi. Hii ni hatari sana.

Ndiyo maana hata walipoanza kurudi kutoka Europe na USA ili kuanzisha taifa la Israel, waliweza kupigana na kuwashinda Waarabu kirahisi sana maana walikuwa na silaha nzuri na mpya na jeshi bora (wanajeshi waliokuwa wamepigana vita ya pili ya dunia). Silaha zilitoka UK na USA na kumbuka, Palestine ilikuwa koloni la Uingereza na kama walivyofanya South Africa, uhuru hawakukabidhi na Israel kwa kutumia msaada wa USA, wakajitekea na kujitangaza kuwa wapo huru.

Jinsi Mchina na mataifa mengine yanavyokuja juu, na kuikaribia USA, nafasi ya Israel inazidi kupwaya sana. Si wababe kama walivyokuwa zamani kuwa wao ni Bang Bang tu. Soon Mrusi atakuja juu kijeshi na China kiuchumi. Kama kuna siku Mchina ataweza kuiwekea ngumu (Very soon) basi Israel aanze kuhesabu maumivu maana baba yako akichapwa kibao, wewe mtoto utakuwa umepata baba mpya. Itategemea, Mchina au Mrusi wana faida gani kuwepo kwa Israel.

Sema pia kwamba, Russia kuna Wayahudi wengi matajiri kama huyu Boss wa Chelsea Football Club (Roman Abramovich) na wengine wengi ambao wana nguvu sana Russia. Labda tu nguvu hizo azipunguze Putin na utaifa wake.

Israel amekuwa akimtegema USA na ataendelea kumtegemea kwa silaha za kijeshi na uchumi. Ila kuna wadau wa mambo wanadai kuwa hata Waarabu wengine wanam-support Israel ili awe Super Power hapo jirani kwa lengo la kumtuliza IRAN ambaye ana hasira sana na Waarabu kwa kulegeza sheria za Islaam. Kumbuka kuwa Iran siyo waarabu na ndiyo maana walikuwa wakizipiga sana na Iraq kwa ugomvi wa Waislaam wa Shia vs Sunni.

Marais wengi wanawaogopa sana hawa watu na Israel kama taifa si kwa sababu ya hicho kitaifa. Wanaogopa sana Wayahudi wanaoishi huko USA.

Mami, vipi leo Box limeisha mapema au walikupa tano bora?
 
unajua Wayahudi wana skills ya hali ya juu, kwani hapo New york wayahudi wako vipi kwani ni kwanini hitler alichukia wayahudi!? We ukicheck kila nyanja jews wako juu, toka kina Albert Einstein we check kila nyanja wamezagaa!

Hizo skills zao mbona hazikumzuia Hitler kuwakaanga kwenye mavinu ya gesi?
 
Sasa inakuwaje,OBAMA wakati wa uchaguzi USA,kura alienda kuziombea ISRAEL????

Ile trip dhumuni lake lilikuwa ni ku-burnish his foreign affairs credentials. Kura zilipigwa Marekani na Wamarekani wenyewe.
 
Israel bila Marekani haiwezi ku survive huko Mashariki ya Kati. Kijeshi karibu kila kitu wanategemea toka Marekani.

Kaka unatakiwa ujiulize hivi nani anamtumikia mwenzie hapo?
Kwani Israel inawapa nini wamarekani hadi wahangaike hivyo kuisadia?
.......Kama USA inatumia nguvu zake zote kuilinda Israeli ....basi Israel kuna namna ni bosi wa USA! ..
Au wewe unaonaje?....kwanini wasihangaike kuilinda Mongolia?
 
Mami NN, USA imeshikwa na Wayahudi wengi sana na hasa unapokuja kwenye masuala ya uchumi kama Viwanda, Mabenki, Hollywood, Media nk.

Sasa iweje Marekani iwabebe Israel? Au haiwabebi? Ni kwamba si kweli hata Netanyahu alikuja kuomba hayo ma bunker buster bombs? Ni kwamba si kweli fleet ya airforce ya Israel imejaa F-15s na F16s....ooh wait, haya madege yanatengenezwa Tel Aviv na ni madege ya Ki-Israel na si Marekani. Oooops, my bad!

Mami, vipi leo Box limeisha mapema au walikupa tano bora?

Mami leo Ijumaa halafu ni payday juu yake na weather imebabmba freshi kabisa. Mtu mzima nimechukua half a day off.
 
Kaka unatakiwa ujiulize hivi nani anamtumikia mwenzie hapo?
Kwani Israel inawapa nini wamarekani hadi wahangaike hivyo kuisadia?
.......Kama USA inatumia nguvu zake zote kuilinda Israeli ....basi Israel kuna namna ni bosi wa USA! ..
Au wewe unaonaje?....kwanini wasihangaike kuilinda Mongolia?

Marekani mbona inaibeba Taiwan....ina maana Taiwan inam-boss Marekani?
 
Israil ikijaribu kuichapa IRAN, Israil itakiona cha mtema Kuni kilichomtoa Kanga Manyoya ona hizi Video chini hapa











TUNASUBIRI LINI ISRAIL ITAISHAMBULIA IRAN?
 
Last edited by a moderator:
Marekani mbona inaibeba Taiwan....ina maana Taiwan inam-boss Marekani?

Kama Israeli!! bado hujafikiri sawasawa mkuu!
.....ukiwaza hivyo itabidi uingize hata saudi arabia maana nayo inabebwa sana na marekani!....lkn ukipanua macho zaidi utaona USA inaiabudu kabisa Isarael!
 
Kama Israeli!! bado hujafikiri sawasawa mkuu!
.....ukiwaza hivyo itabidi uingize hata saudi arabia maana nayo inabebwa sana na marekani!....lkn ukipanua macho zaidi utaona USA inaiabudu kabisa Isarael!

Marekani ina allies hapa duniani. Ally nambari wani wa Marekani ni Uingereza. Sasa kwa huko Mashariki ya Kati ally wao mkubwa ni Israel. This is all strategic.

Hayo ya Marekani kuiabudu Israel ni conspiracy theories tu. Ila ukweli utabaki pale pale kuwa Marekani iko juu na kamwe mtu huwezi ukailinganisha na ka Israel.

Kama Israel iko juu kwa nini Bibi aje kuomba silaha Washington na si Obama aende kuomba silaha Tel Aviv? Why?
 
Israel bila Marekani haiwezi ku survive huko Mashariki ya Kati. Kijeshi karibu kila kitu wanategemea toka Marekani.



Kwa nini hao waarabu nao wasiombe silaha toka US ili Wayahudi wawaogope hao waarabu kama wao wanavyowagwaya Waisrael?
 
Back
Top Bottom