My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,930
- 13,335
Kama kawaida,baada ya kundi la wanamgambo wa HAMAS kuichokoza Israel kwa kufanya mashambulizi ya Rockets na Israel kujibu vikali, tayari kama tulivyotarajia mataifa mbalimbali Duniani ikiwemo na Mahakama ya uhalifu wa kivita ya ICC Uholanzi wameanza kupiga kelele Eti Palestina inaonewa.
Lakini hawataki kuwakemea wanamgambo wa HAMAS waache kurusha ma rocket katika miji ya Israel.
Yaani kwao Israel ikipigwa sawa,ikijilinda ni kosa,wanapiga kelele kwamba watoto wa Palestina wanauawa na mashambulizi ya Israel lakini hawataki kusema ukweli kwamba hata watoto wa Israel wanauawa na mashambulizi ya Rockets za HAMAS.
Yaani hawa watu ni mabingwa wa uchokozi,wakijibiwa wanadai eti wanaonewa.
Iwe iwavyo, Israel ina haki ya Kujilinda,mlitaka ishambuliwe kisha ikae kimya?
Lakini hawataki kuwakemea wanamgambo wa HAMAS waache kurusha ma rocket katika miji ya Israel.
Yaani kwao Israel ikipigwa sawa,ikijilinda ni kosa,wanapiga kelele kwamba watoto wa Palestina wanauawa na mashambulizi ya Israel lakini hawataki kusema ukweli kwamba hata watoto wa Israel wanauawa na mashambulizi ya Rockets za HAMAS.
Yaani hawa watu ni mabingwa wa uchokozi,wakijibiwa wanadai eti wanaonewa.
Iwe iwavyo, Israel ina haki ya Kujilinda,mlitaka ishambuliwe kisha ikae kimya?