Mzee Richard, shukrani kwa assessment yako kuhusu huu mgogoro, lakini nadhani ka-research ka kina kangesherehesha mambo. Binafsi nadhani kwamba Israel hawana uwezo wa kuishambulia Iran peke yao bila kupata okey na msaada wa U.S.A, kwani endapo mambo yataenda kombo, basi ajue kwamba atapata support.
Pili, U.S.A inayotoa dola Bilion 3 kila mwaka kwa ajili ya ulinzi wa Israel ndio kwanza wanajitahidi kuondoka Iraq, hivyo basi haingii akilini kwenda kuanzisha bala lingine na nchi ambayo ni mara mbili ya ukubwa wa Iraq,na population pia mara mbili ya Iraq kabla hata nusu ya wanajeshi wake hawajaondoka Iraq.
Hapa hatujaenda kwenye suala uchumi wa U.S.A ambao ndio kwanza unaanza kutoka ICU na hivyo basi, kuingia kwenye mgogoro mwingine, tena mkubwa zaidi ya ule wa Iraq ni suala ambalo sidhani kama linawezekana. Kwa kifupi ni kwamba hili suala la Israel kuishambulia Iran bado ni la kufikirika.
It is interesting to note that the world countries supporting Iran and its nuclear program are countries with a history of denying basic human rights, religious persecution, subjugation of women, and a flat refusal to work constructively with the rest of the International community.
Mleta maada kuwa makini irani hivi imemuchokoza nani mpaka sasa. hivi hatuwezi kuwa na taifa lenye maamuzi kama usa ili nalo lionekana kila lifanyalo ni haki?
Hakuna kitu hapo... Westerns wanacho fanya kwasasa ni kujaribu kuongeza tension between this two countries. Na hii ni indirect strengthening of military power of IRAN.
Zionists are all the illness of this world - from poverty in Africa , Support for bruttal apatheid regimes, suppresiing Palestinians and igniting conflicts and wars - the sooner they are stopped the world peace will extend on surface of earth.
Kwa mtazamo wako huu yawezekana hata umaskini wetu unaotokana ( EPA, RICHMOND DOWANS , NDEGE YA RAIS, RADA , mikataba ya madini etc) utatuambia unatokana na Zionists SI wadanganyika wenye tamaa zao.Zionists are all the illness of this world - from poverty in Africa , Support for bruttal apatheid regimes, suppresiing Palestinians and igniting conflicts and wars - the sooner they are stopped the world peace will extend on surface of earth.
Hakuna kitu hapo... Westerns wanacho fanya kwasasa ni kujaribu kuongeza tension between this two countries. Na hii ni indirect strengthening of military power of IRAN.
1. As Iran become powerful enough, ISRAEL IS TO ATTACH PALESTINE(this will occur when PALESTINE become a complete state).
2. Since Iran has great military power,it will simultaneously start helping their brothers there in PALESTINE.
THERE AFTER,..... WHAT ARE YOU expecting???. WORLD WAR 3.
Ki ujumla hakuna vita yoyote inayoweza kutokea kwasasa mpaka pale PALESTINE atakapo kua TAIFA HURU. PLANNED.
Zionists are all the illness of this world - from poverty in Africa , Support for bruttal apatheid regimes, suppresiing Palestinians and igniting conflicts and wars - the sooner they are stopped the world peace will extend on surface of earth.
Watu wengine wakishakaririshwa ndo inakuwa wimbo kwao bila hata kufikiri wanarusha maneno ambayo hawawezi kuyafafanua kwa wengine mfano kuna umaskini na vita na vimeleta uharibifu mkubwa huko Somalia Israel huko inahusika???Kivipi?????naomba unifafanulie hapoZionists are all the illness of this world - from poverty in Africa , Support for bruttal apatheid regimes, suppresiing Palestinians and igniting conflicts and wars - the sooner they are stopped the world peace will extend on surface of earth.
umaskini ujinga na maradhi sio maadui pekee wa taifa hili!Zionists are all the illness of this world - from poverty in Africa , Support for bruttal apatheid regimes, suppresiing Palestinians and igniting conflicts and wars - the sooner they are stopped the world peace will extend on surface of earth.
Hundreds of students on Tuesday formed a human chain around the uranium conversion plant in central Iran, in a demonstration staged by students to show that Iranians were ready to sacrifice their lives if the nuclear sites were attacked by Israel.