Israel has not 'already decided' to strike Iran

jamani someni biblia kwenye ufunuo wa yohana na daniel lazima yote yatimie lazima israel ipagane na iran but iran atasaidiwa na russia, israel atasaidiwa na european union'NATO' na marekani be ready
 
Wacha waichezee Iran wakione cha moto. Kilichomtoa Kanga manyoya.
 
It is interesting to note that the world countries supporting Iran and its nuclear program are countries with a history of denying basic human rights, religious persecution, subjugation of women, and a flat refusal to work constructively with the rest of the International community.
 
Questions about Iran's nuclear program have been swirling for years causing fear in the west that they are secretly preparing to build a nuclear warhead.
Iran has steadfastly maintained that their nuclear ambitions are only for the purpose of energy production, and that they have no plans to

enrich uranium for the production of nuclear weapons.

However, a new IAEA 25-page report, a decade in the making, says there is credible evidence to make a case that "Iran has carried out

activities relevant to the development of a nuclear device."

This is some of the most damning evidence ever released about Iran's nuclear interest, but Iran has blasted the report, calling it politically

motivated by the west, and an excuse to carry out military action against Iran.

While the report does not claim that Iran has the technology to produce a nuclear weapon yet, it does site evidence that Iran "had been

provided with nuclear explosive design information" as well as computer modeling of nuclear detonations.

On Around the World, Christiane Amanpour speaks with the New York Times David Sanger to take a deeper look into this report which could have a worldwide impact, effecting not only the United States and Iran, but also putting pressure on Iran's allies China and Russia.

Source: Iran & The Bomb: What
 
kwenye vita hii naomba Iran ishinde,hawa ******* wamekua polisi wa dunia.wao ndo wamejaza hiyo mi nuclear halafu hawataki wanaume wengine wawe nayo.
 
Yeyoooo!!! Iran vs israel is gona be fun!! World War 3 here it comes , russia, chins, north korea siding with iran, these guys have weapons of freakin mass desteuction and they gt technology, north has been seekibg to test its lobg range missiles on US soils( the missile frm korea to US) russia has been looking to tek revenge over US, chiba looking forward to dominate the economy, iran seeking to defend its religious state! Israel tryng to eliminate its threats, US tryng to get support frm around the world, NATO tryng to defend there intrests! I can see the west is about loosing and the power shifts to the EAST! the africans will just watch and wait for a new colony to rise!!!

Its soo coooool web big nations goes to war!
 
Irani siku zake zinahesabika.....walikuwepo kina Gadaffi, Sadam, etc sasa ni historia. Na waarabu wanavyojua kujitutumua!
 
Vipi kuhusu makombora na silaha nyingi za nyuklia walizonazo Marekani na marafiki zao Uingereza, Ufaransa, Israel na Pakistan?
Mbona silaha za nyuklia ilizonazo Israel hazizungumziwi? Mbona Israel haikatazwi?
Au hao wanajiona wana haki ya kuwa na hizi silaha? ili kuwatishia wengine?

Wasio vibaraka wa Marekani mfano Iran hata wakitaka kuwa na mitambo ya nyuklia kuzalishia umeme (kama nchi nyingi tu duniani zinavyofanya) basi 'wanakatazwa' na taasisi zinazoshinikizwa na Marekani.

Nchi lazima zijifunze kutoka Libya. Kama Libya ingekuwa na silaha za nyuklia basi majeshi ya NATO yasingeweza kuivamia. magharibi walimdanganya Gaddafi kuwa sasa amekuwa 'mshikaji' wao akafurahi. Kumbe walikuwa wanamfanyia 'timing'.
 
Mleta maada kuwa makini irani hivi imemuchokoza nani mpaka sasa. hivi hatuwezi kuwa na taifa lenye maamuzi kama usa ili nalo lionekana kila lifanyalo ni haki?
 
Hawa 24000 unaowasema sio waisrael, ni wairan wayahadi. Kuna tofauti kubwa kati ya kuwa muyahudi na kuwa muisrael, kwa hiyo hawa jamaa ni wairan kama ambavyo usingewaita wamarekani weusi waafrika kwa sababu tu ya uweusi wao. Tatizo la Iran na Israel sio racial, ni national... wairan hawaamini kwamba Israel ni taifa, wanaamini ni kiotesho cha ukoloni wa marekani na uingereza mashariki ya kati. Kama inavyojulikana kabla ya mwaka 1948 hapakuwa na taifa linatitwa israel, limeanzisha kwa resolution ya UN 1948. Kwa hiyo Israel ilitengenezwa NYC ikabandikwa kwenye ardhi ya Palestine iliyokuwa koloni la Uingereza. Kama mnavyojua wakoloni wa kiingereza walijaribu hata Afrika kule Zimbabwe kubandika wajukuu zao wakina Ian Smith ambao baadaye tukawang'oa kwa msaada wa marafiki kama Cuba na baadaye Marekani baada ya supporters wao SA kuanza mipango ya nyuklia na bwana mkubwa kuwageuka.

Kwa hiyo kimsingi ugomvi uliopo kati ya Irani na Israeli upo katika hoja kwamba Israeli siyo taifa. Taifa ni Palestine, yenye waarabu na wayahudi (kama ilivyo Irani), yenye wakristu, waislamu, judaism nk. Kusema Israel isiwepo si sawa na kusema wayahudi wasiwepo, wanachodai hawa watu ni kuwa na taifa moja la Palestine kama zamani itakayokuwa na waarabu na wayahudi na kwamba wote kama wana wa Mungu wana haki sawa juu ya ardhi waliopewa na Mungu.

GZ
Kwa hiyo ina maana iran wanapinga jina la israel tu! maana Hata israel ya sasa ina wayahudi na waarabu.
 
Iran si nchi dhaifu kama unavyofikiri. Marekani na Israel zinatapatapa kwani zinaona Iran imekuwa na uwezo mkubwa kuwashinda japokuwa wamewawekea vikwazo tokea mwaka 1979. Sasa hivi, hii ni industrialized country kwa kujitengenezea kila kitu kwa mahitaji yao ikiwemo matrekra, magari, treni za mafuta na zile za umeme, manowari za kivita, ndege za abilia na za kivita, ndege zinazokwenda bila rubani (drones), settellite, meli za kivita, makombora ya masafa mafupi, marefu na ya kati, boti za kivita zisizooneka kwenye mfumo wa rada au settellite na sasa wanajiandaa kutuma wanasayansi wao katika anga za mbali.
Wanapanga kuisambaratisha nchi hii lakini watashindwa kwani hii sio mara yao ya kwanza. Walijaribu mara kadhaa na kushindwa kuidhibiti kwani askari wa Iran waliwahi kuwadhibiti askari wao kabla hawajaleta madhara kwa nchi hii. Kwa taarifa yako vita vya siku 33 kati ya Hizbullah na Israel, vilikuwa si vyao hasa bali vilikuwa vita kati ya Marekani na Iran. Na Israel ilidhibitiwa vilivyo mpaka leo inawaheshimu vilivyo Hizbullah. kuthibitisha hilo marekani iliagiza Hizbullah wanyang'anywe silaha lakini wao walipinga wakasema hakuna jeshi lolote duniani linaweza kuwanyang'anya silaha na mpaka leo wanazo silaha zao.
 
Iran si nchi dhaifu kama unavyofikiri. Marekani na Israel zinatapatapa kwani zinaona Iran imekuwa na uwezo mkubwa kuwashinda japokuwa wamewawekea vikwazo tokea mwaka 1979. Sasa hivi, hii ni industrialized country kwa kujitengenezea kila kitu kwa mahitaji yao ikiwemo matrekra, magari, treni za mafuta na zile za umeme, manowari za kivita, ndege za abilia na za kivita, ndege zinazokwenda bila rubani (drones), settellite, meli za kivita, makombora ya masafa mafupi, marefu na ya kati, boti za kivita zisizooneka kwenye mfumo wa rada au settellite na sasa wanajiandaa kutuma wanasayansi wao katika anga za mbali.
Wanapanga kuisambaratisha nchi hii lakini watashindwa kwani hii sio mara yao ya kwanza. Walijaribu mara kadhaa na kushindwa kuidhibiti kwani askari wa Iran waliwahi kuwadhibiti askari wao kabla hawajaleta madhara kwa nchi hii. Kwa taarifa yako vita vya siku 33 kati ya Hizbullah na Israel, vilikuwa si vyao hasa bali vilikuwa vita kati ya Marekani na Iran. Na Israel ilidhibitiwa vilivyo mpaka leo inawaheshimu vilivyo Hizbullah. kuthibitisha hilo marekani iliagiza Hizbullah wanyang'anywe silaha lakini wao walipinga wakasema hakuna jeshi lolote duniani linaweza kuwanyang'anya silaha na mpaka leo wanazo silaha zao.
kwenye magari bado iran anasaidiwa na west-yupo anafanya utengenezaji na mjerumani,ndio maaana husikii mjeruman akizungumza juu ya swala la iran,maana wao wanjuana kwa terms zao,
unaposema kijeshi iran imewazid usa na israel umekosea,rudi kwenye source zako tena uzisome vizuri-siku watakapo amua kumpiga iran atapigwa tu japokuwa kutakuwa na resistance
 
Miaka miwili (2) iliyopita South Korea iligundulika kuwa inafanya mradi wa nyuklia kisirisiri lakini mpaka leo husikii akitishiwa kwa nguvu namna hii. Israel anapiga kelele wakati yeye mwenyewe mpaka leo hii hajasaini mkataba wa kudhibiti matumizi ya vifaa vya nyuklia (NPT). Na ana makombora ya nyuklia mia mbii (200)....

Tatizo kubwa hapa ni kuwa wanajua kwamba kama Iran atapata nguvu ya kinyuklia basi hawatakuwa tena na uhuru wa kuitawala Middle East kama wapendavyo.

Kwa mujibu wa Global Firepower taasisi inayoangalia nguvu za kivita za nchi mablimbali duniani, Israel na Iran ni kama wako sawa kwa maana kwamba Israel inashika nafasi ya kumi (10) na Iran nafasi ya kumi na mbili (12). Lakini kutokana na maendeleo ya hivi karibuni ambapo wamekuwa wakitengeneza silaha zao wenyewe kwa wingi na zenye uwezo mkubwa pamoja na usiri wa nchi ya Iran, inawezekana wakawa na nguvu zaidi ya hapo na wala si nchi ya kupuuzwa hata kidogo. Israel na washirika wake wakae chonjo.

Global Firepower Nations by Rank
Ranking the world military powers is no easy task though, inevitably, it all comes down to the numbers.
Record Last Updated: 2011
1 United States of America 2 Russia 3 China 4 India 5 United Kingdom 6 Turkey 7 South Korea 8 France 9 Japan 10 Israel 11 Brazil 12 Iran 13 Germany 14 Taiwan 15 Pakistan

Source:
http://www.globalfirepower.com/countries-listing.asp
 
It is interesting to note that the world countries supporting Iran and its nuclear program are countries with a history of denying basic human rights, religious persecution, subjugation of women, and a flat refusal to work constructively with the rest of the International community.

So the planned attack on Iranian nuclear facilities will be a solution for the oppressed?

Btw, the so called free world (International community) cannot even support freedom and peace for the Palestinian people from the oppression by the Zionist (Israel) regime...
 
So the planned attack on Iranian nuclear facilities will be a solution for the oppressed?

Btw, the so called free world (International community) cannot even support freedom and peace for the Palestinian people from the oppression by the Zionist (Israel) regime...

Freedom from who? Israel?! Do you need International Community to get Freedom?

Tusubiri Yitzrael iwape kibano I-ran, ndio kitaeleweka Middle East.
 
Natumaini wachangiaji kwenye hili suala wanazingatia hali halisi ya AMANI katika Ghuba ya Uajemi badala ya kulihusisha hili suala na mambo ya dini. Jaribu kusoma kwa makini kauli ya Admiral Mike Mullen, kiongozi wa zamani wa jeshi la Marekani alipokuwa akitoa hutuba Columbia University in 2010: "Iran getting a Nuclear weapon would be increadibly destabilizing. Attacking them would also create the same kind of outcome. In an area that's so unstable right now, we just don't need more of that."

Nadhani ni busara kuzingatia Geo-political situation ya hilo eneo kwenye michango yetu kwenye hili suala.
 
Back
Top Bottom