Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
kwa mujibu wa jarida moja marekani silikumbuki vizuri pia other media from Iran ni kuwa Iran ndio nchi yenye waisrael wengi arabuni wapo 24,000 lakini cha kushangaza haina ugomvi nao tena wana ma hekalu yao ya kusali. ..wakati huo huo yenyewe ndo imekuwa ikitaka kuifuta israel kwenye uso wa dunia kwanini isianze na wale waliopo nchini mwake kama anaubavu,..!
Nadhani kunatofauti hapa, Ukweli nikuwa wao wanaamini hakuna Taifa la Israel na sio kuwa wanaugomvi na Waisrael kama watu, Hii ni sawa na Wakurdish waamue/waamuliwe kama ilivyofanya kwa wasisraelk wachukue lets Ardhi TANZANIA na kwenda kuanzisha taifa la WAKURDISH, na waanze kuamia TANZANIA na kutangaza taifa lao. wakati wakurd wapo , turky, iraq, lebanon na sehemu nyingine.
By the way inasemekama kwamba kabla ya kuanzishwa Israel huko Palestine, kulikuwa na wazo la kuianzisha East Africa?
Hivi wangemega kipande cha Tanzania kuanzisha Israel hali ingekuwaje?