patandi
huyo yatima ni mvulana au msichana?Ni chuo gani hapa tanzania cha private cha ualimu level ya diploma ,nataka nimsaidie kijana yatima akasome ? Nisaidie nimsaidie plzz cha ada ya kawaida
<br />huyo yatima ni mvulana au msichana?
huyo yatima ni mvulana au msichana?
Mi hata ningejua nisingekupa hakika yaani
unataka yatima aingie kwenye list ya wanaokopwa mishara yao na serikali kwanini usimpeleke veta
akitoka awe naujuzi wake binafsi badala ya kumalisa shule na kusubiri kufa huku anaidai serikali
<br />Ni chuo gani hapa tanzania cha private cha ualimu level ya diploma ,nataka nimsaidie kijana yatima akasome ? Nisaidie nimsaidie plzz cha ada ya kawaida