ISOME HII..... UtakuWA UMENISAIDIA MNOOO?

The only

JF-Expert Member
May 19, 2011
10,433
13,417
Ni chuo gani hapa tanzania cha private cha ualimu level ya diploma ,nataka nimsaidie kijana yatima akasome ? Nisaidie nimsaidie plzz cha ada ya kawaida
 
Unataka kiwe maeneo ya mkoa gani?kuwa muwazi usije ukatajiwa chuo kiko Kagera ikawa soo ukasema hutaki kusikia bure,kuwa muwazi
 
Mi hata ningejua nisingekupa hakika yaani
unataka yatima aingie kwenye list ya wanaokopwa mishara yao na serikali kwanini usimpeleke veta
akitoka awe naujuzi wake binafsi badala ya kumalisa shule na kusubiri kufa huku anaidai serikali
 
Mi hata ningejua nisingekupa hakika yaani
unataka yatima aingie kwenye list ya wanaokopwa mishara yao na serikali kwanini usimpeleke veta
akitoka awe naujuzi wake binafsi badala ya kumalisa shule na kusubiri kufa huku anaidai serikali

Dah,we jamaa
sijui hua unafikiria nini ukiwa unaandika,you are so funny sometimes but annoying most of the time
 
Ni chuo gani hapa tanzania cha private cha ualimu level ya diploma ,nataka nimsaidie kijana yatima akasome ? Nisaidie nimsaidie plzz cha ada ya kawaida
<br />
<br />
DARU,ni chuo kizuri cha Ualimu cha Diploma,kipo DODOMA MJINI karibu na CBE.Pia hutoa ufadhili wa 100% bila kujali dini,rangi wala kabila.Hata akitaka ajira kipindi hiki wakati akisoma atapatiwa ili kujikimu mambo madogo madogo.
 
kuna chuo cha ualim cha ROMAN CATHORIC kipo mafinga-iringa ni kizuri na cheap sana in team of cost...jaribu hapo mkuu maana mi kuna dogo wangu amesoma hapo na yupo fit na kishapata ajira tayar.
 
Back
Top Bottom