Islam and politics in Tanzania

Islam and politics in Tanzania

waulize madaktari wakuelimishe kuanzia umri gani mtu anaweza kubalee.

wewe ungeshiriki Kumuuwa Mungu ili upate salvation ama ungeogopa dhambi ya kuuwa amabo haina tofauti na dhambi ya kuipa chupi mbele ya Mungu?
sihitaji kuuliza maana nina knowledge hiyo! usitake kuongopea watu ili tu kukidhi kile unachoamini....penye ukweli lazima mtu ukubali. sijui mambo ya dini mimi lakini hapo kwenye kubalee umeongopa big time!
 
Mnatuharibia jamvi letu. Hapa si mahali pa chuki,uzushi na uchochezi mnaotaka kuuleta. Tuacheni tulumbane kwa mengine lakini si kwa huu upuuzi wenu. Mtatuharibia nchi.

Amandla.......
 
Mnatuharibia jamvi letu. Hapa si mahali pa chuki,uzushi na uchochezi mnaotaka kuuleta. Tuacheni tulumbane kwa mengine lakini si kwa huu upuuzi wenu. Mtatuharibia nchi.

Amandla.......

Ahsante mkuu FM,
Ninasikitika sana na trend inyoendelea hapa JF. Kuna group la watu (especially 2009 members) ambao kazi yao ni kujaza tu thread za malumbano ya dini kila siku! Na mbaya zaidi wanashindwa kuselect jukwaa muafaka wanakuja huku kwenye siasa kuchafua hali ya hewa! Nashindwa kuelewa kama hawajui, makusudi au wametumwa kwa malengo maalum!! Malumbano yao ni yaleyale kila siku hayabadiliki, na wanashindwa kuelewa kitu kidogo sana kwamba hawatafikia concensus milele kutokana na tofauti zao....surely there is no point to argue between the groups!
I wish MODS could do something on these petty threads! Damn!
 
sio ubakaji.

...

ndio maana nakuambia kuwa hii dini yako ni ya kibakaji tu (wale wabakaji wanaokataa kata kata kuwa hawakubaka).

Swali la pili,

2. Bado ni maoni yako kuwa watoto wa miaka miwili wanaweza kubalehe kwa hiyo wakaolewa?
 
Mungu kashuka kwa hiari yake asulubiwe lakini waumini hawataki kumsulubu, sababu kakataza kuuwa🙂Yaani amekataza kuuwa na hapohapo kajileta tumsulubu, mbona huyu Mungu hataki kuweka mfano wa amri zake na badala yake anatoa zawadi kwa kukiuka amri zake kwa kutuingiza peponi?

Tusipomsulubu tutakwendaje peponi wakati yeye amekuja tumsulubu ili tuingie peponi?

Waliokufa kabla ya Mungu kuuwawa wao wamepona?

Piga Mungu huyo piga, piga Mungu piga......piga wee, piga!!

Mungu kafa.Sasa tumesamehewa🙂
 
Key word -- anaweza

Lovely

Mulisema kudai miaka 9 mtu kubalee ni uzushi, sasa mbona madaktari wanasema hata miaka 8 inawezekana.

Mambo ya facts hayo!!

waliouwa Mungu nao watatesa peponi kwa kuwa wamefanikisha lengo la Mungu kushuka ili apigwe ama wao motoni kwa kuwa wamevunja amri ya kutokuuwa?🙂

Wasingeua Mungu sisi tungekwendaje peponi wakati kuuwa Mungu ndio njia ya kueleka paradiso?

Ni kama vile kusema ufisadi ni dhambi na hapohapo mtu anataka kunufaika na ufisadi ili yeye apone🙂
 
Hata sheria za Tanzania zimehalalisha Muuaji na auawe yaani sheria ya kunyongwa ipo. sasa wewe unashituka nini?
 
Hata sheria za Tanzania zimehalalisha Muuaji na auawe yaani sheria ya kunyongwa ipo. sasa wewe unashituka nini?

Sheria inasema aliyeuwa naye auwawe.

Sasa Mungu alimuuwa nani mpaka auwawe?

Kwa nini wanaogopa kumuuwa na kusema ingekuwa dhambi kumuuwa wakati yeye mwenyewe amekuja kwa dhamira ya kupigwa viboko mpaka auwawe?
 
Mnatuharibia jamvi letu. Hapa si mahali pa chuki,uzushi na uchochezi mnaotaka kuuleta. Tuacheni tulumbane kwa mengine lakini si kwa huu upuuzi wenu. Mtatuharibia nchi.

Amandla.......

Hii nchi ilishaharibiwa siku nyingi na Nyerere na Wakatoliki wenzake. Sasa hivi ni Ethnics conflict ndizo zinazoanza kushamiri nchini kama nchi za jirani. "Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo"
 
Swali langu sikuzote ni hili kabla ya wakoloni kuja hawa waarabu waliokuwa ukanda waote wa Pwani waliwaendeleza waislamu wa nchi hii na kuwatengenezea fursa kiasi gani? Je waliingia Pwani ya Tanganyika lini na walikaa muda gani? Ukweli ni kuwa hawakuwa na lengo au nia ya kutuendeleza. Na je ndugu zetu waliopelekwa huko kwao wakasilimu na kuwatumikia trace zao ziko wapi? Mbona Amerka kuna weusi waliopelekwa huko?

Sasa kama hao waarabu waliokuja na dini ya kiislamu walikaa muda mrefu kuliko hata wakoloni na wakawazalisha tu waafrika bila kuwaletea mashule, wasijenge hospitali, wasipeleke waafrika Uarabuni ili wasome. Leo Wamisionari wanalaumiwa kwa kuwa wao walifanya yaliyoleta maendleo kwa wafuasi wao? Je waislamu wangekuwa wametendewa haki na wangeridhika kama na wamissionari wakikirsito wasingefanya lolote la kuedeleza wakristo? Je kutoendelea kwa wote ndiyo furaha ya waislamu. Nani aliwazuia masheikh wa kiarabu waliowahi kuja hapa nchini kuleta maendeleo kwa weneyeji? Na sultan je si alitawala nani alimzuia kuendelza watu wake badala ya kuwanyonya tu! Na leo je nani anayewazuia waislmu kufanya maendeleo?
 
Waarabu wameharibu bongo za vijana wetu kweli.Story za madrassa wanazileta hapa tena kwa ujasiri wa ajabu.Tumaini mbona akili yako tofauti na jina lako.

Hakuna maulid hapa wala ubwabwa tafadhali usituharibie baraza,peleka pumba zako mahali stahili.

Ndivyo ulivyofundishwa Sunday school.
 
Swali langu sikuzote ni hili kabla ya wakoloni kuja hawa waarabu waliokuwa ukanda waote wa Pwani waliwaendeleza waislamu wa nchi hii na kuwatengenezea fursa kiasi gani? Je waliingia Pwani ya Tanganyika lini na walikaa muda gani? Ukweli ni kuwa hawakuwa na lengo au nia ya kutuendeleza. Na je ndugu zetu waliopelekwa huko kwao wakasilimu na kuwatumikia trace zao ziko wapi? Mbona Amerka kuna weusi waliopelekwa huko?

Sasa kama hao waarabu waliokuja na dini ya kiislamu walikaa muda mrefu kuliko hata wakoloni na wakawazalisha tu waafrika bila kuwaletea mashule, wasijenge hospitali, wasipeleke waafrika Uarabuni ili wasome. Leo Wamisionari wanalaumiwa kwa kuwa wao walifanya yaliyoleta maendleo kwa wafuasi wao? Je waislamu wangekuwa wametendewa haki na wangeridhika kama na wamissionari wakikirsito wasingefanya lolote la kuedeleza wakristo? Je kutoendelea kwa wote ndiyo furaha ya waislamu. Nani aliwazuia masheikh wa kiarabu waliowahi kuja hapa nchini kuleta maendeleo kwa weneyeji? Na sultan je si alitawala nani alimzuia kuendelza watu wake badala ya kuwanyonya tu! Na leo je nani anayewazuia waislmu kufanya maendeleo?

Whenever a hot debate arises in the country kuna wengine mbinu zao za kupooza makali ni kuibua masuala ya DINI. Wakati wa uchaguzi mkuu ilikuwa hivyo na sasa kuna crisis ya mafuta na hali mbaya ya nishati na uchumi badala ya ku-discuss hayo, mijitu inakuja na UDINI.

Nyie USALAMA WA TAIFA; this is a very poor approach; I hate this stupidity. Tafadhali Mods, ondoa huu UDINI mara moja tafadhali.
 
Tatizo, waarabu walikumbuka kujenga misikiti peke yake wakasahau kuwajengea na shule ndo mana mmekuwa na mawazo finyu sana. Vile vile wakawafundisha uvivu na kucheza bao, wenzenu kwao ni jangwa ila wana mafuta. Nyie mmeiga hizo tabia; hamuendi shule, hamfanyi kazi mnasingizia wakrito wanabebana.
 
Swali langu sikuzote ni hili kabla ya wakoloni kuja hawa waarabu waliokuwa ukanda waote wa Pwani waliwaendeleza waislamu wa nchi hii na kuwatengenezea fursa kiasi gani? Je waliingia Pwani ya Tanganyika lini na walikaa muda gani? Ukweli ni kuwa hawakuwa na lengo au nia ya kutuendeleza. Na je ndugu zetu waliopelekwa huko kwao wakasilimu na kuwatumikia trace zao ziko wapi? Mbona Amerka kuna weusi waliopelekwa huko?

Sasa kama hao waarabu waliokuja na dini ya kiislamu walikaa muda mrefu kuliko hata wakoloni na wakawazalisha tu waafrika bila kuwaletea mashule, wasijenge hospitali, wasipeleke waafrika Uarabuni ili wasome. Leo Wamisionari wanalaumiwa kwa kuwa wao walifanya yaliyoleta maendleo kwa wafuasi wao? Je waislamu wangekuwa wametendewa haki na wangeridhika kama na wamissionari wakikirsito wasingefanya lolote la kuedeleza wakristo? Je kutoendelea kwa wote ndiyo furaha ya waislamu. Nani aliwazuia masheikh wa kiarabu waliowahi kuja hapa nchini kuleta maendeleo kwa weneyeji? Na sultan je si alitawala nani alimzuia kuendelza watu wake badala ya kuwanyonya tu! Na leo je nani anayewazuia waislmu kufanya maendeleo?

Nashukuru kwa kunisaidia, kama ulikuwepo kichwani kwangu. Nilikuwa nataka niseme the same thing ila sina muda. Nice analysis!
 
Swali langu sikuzote ni hili kabla ya wakoloni kuja hawa waarabu waliokuwa ukanda waote wa Pwani waliwaendeleza waislamu wa nchi hii na kuwatengenezea fursa kiasi gani? Je waliingia Pwani ya Tanganyika lini na walikaa muda gani? Ukweli ni kuwa hawakuwa na lengo au nia ya kutuendeleza. Na je ndugu zetu waliopelekwa huko kwao wakasilimu na kuwatumikia trace zao ziko wapi? Mbona Amerka kuna weusi waliopelekwa huko? <br />
<br />
Sasa kama hao waarabu waliokuja na dini ya kiislamu walikaa muda mrefu kuliko hata wakoloni na wakawazalisha tu waafrika bila kuwaletea mashule, wasijenge hospitali, wasipeleke waafrika Uarabuni ili wasome. Leo Wamisionari wanalaumiwa kwa kuwa wao walifanya yaliyoleta maendleo kwa wafuasi wao? Je waislamu wangekuwa wametendewa haki na wangeridhika kama na wamissionari wakikirsito wasingefanya lolote la kuedeleza wakristo? Je kutoendelea kwa wote ndiyo furaha ya waislamu. Nani aliwazuia masheikh wa kiarabu waliowahi kuja hapa nchini kuleta maendeleo kwa weneyeji? Na sultan je si alitawala nani alimzuia kuendelza watu wake badala ya kuwanyonya tu! Na leo je nani anayewazuia waislmu kufanya maendeleo?
<br />
<br />
hata mimi ninajiuliza hivyo. Angalia mpaka leo kuna mababu na ndugu zetu america kutokana na trans-atlantic slave trade, lakini mababu zetu walioenda uarabuni walifanyiwa vitendo vya ajabu kuliko wa america, wengine waliuawa kwa kukataa dini ya kiarabu! Tanzania tuache udini,..pia hizo asilimia kwa sasa ni fake.. Tanzania ina wakrist wengi kuliko waislam na wapagan wachache sana. Jamani Tuache kutaka kuifanya hii nchi iwe chini ya dini moja! Ni ujinga, na hatuaendelea kihivyo.
 
Kwa mtazamo wangu mimi....kila mwanadamu ana haki ya kuishi. Hukumu ya mwanadamu kwa mwanadamu haipo sawa 100% Hata majaji nao wana mapungufu yao.. Ni Mungu peke yake ndie mkamilifu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom