kawaida wakristu hushindwa kuelezea yale wanayoyaamini kwa mujibu wa system na mafundisho yao kama vile uwezo wa binaadamu kumuuwa Mungu etc.
Njia pekee ya kujipa 'temporary comfort' ni ku propogate mambo ambayo hayapo katika mafundisho rasmi ya Usialamu.
Kila mtu 1 kati ya 5 duniani ni Mwislamu, kama Waislamu wamefundishwa kuleta vurugu zisizo za msingi dunia ingekalika?
Unataka pia kupinga kuwa mapigano sasa hivi dunia nzima yanaendelea kwa waislam
Afghanistan
Iraq
Nijeria - boko haram
Indonesia
Filipino - kwa waislam wenye misimamo mikali ya ubakaji
SOmalia
na list inaendelea hadi kesho
Dini imejengwa kwa umwagaji damu - jihad.
Unategemea nini?