Umeshaishiwa hoja sasa umeanza uongo. Nitakukamata vizuri kwenye hiyo statement hapo juu baadaye.
Yes or NO
Ina maana hamukusema kwamba David alisamehewa?
Munasema musingeshirika kwa kuwa kuuwa ni dhambi, sasa kama Mungu kajileta mwenyewe ili auwawe na hiyo ndio salvation sasa kutomuuwa sio kwenda kinyume na mission yake?
Ama Mungu huyo huyo anayekataza mauwaji amawapa aliowaumba nguvu za kumuuwa ili wamuue na asamehe kupitia kitendo ambacho yeye mwenyewe amekikataza?
🙂
Mbona Mungu huyu haeleweki, anakataza kuuwa lakini mwenyewe anajiulisha!!!
🙂
wakati wa kusubuliwa alikuwa akiwaombea kwa nani wakati yeye mwenyewe ndio Mungu?
Luke 6:43
'For there is no good tree which produces bad fruit, nor, on the other hand, a bad tree which produces good fruit.For there is no good tree which produces bad fruit, nor, on the other hand, a bad tree which produces good fruit.'
Kama wauwaji wa Mungu walitenda dhambi sasa imekuwje katika mauwaji hayo imepatikana salvation wakati mti bomu hauwezi kuzaa matunda mazuri?
🙂 Ama tafsiri yangu kwamba usafi hauwezi kupatikana kwa njia chafu ni batili?
🙂