October
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 2,145
- 93
Kwa nini Yesu aliwaombea msamaha waliokuwa wanamsulubu kama kusubiwa kwake ndio ilikuwa mission yake ya kuja duniani- kwani walikosa nini kama kitendo chao kilikuwa kinakamilisha mission yake?
na alikuwa anawaombea msamaha kutoka kwa nani wakati yeye mwenyewe ndio anadaiwa kuwa Mungu na ndio anasamehe na ndio ameumba kila kitu na kila mtu?
Mfano mfupi tu. Mungu alijua kua Sokoine atakufa kwenye ajali ya gari, Lakini yule aliesababisha kile kifo hawezi kuepuka dhambi ile mbele za Mungu kwa sababu tu Mungu alijua na kuhusu itokee.. Nadhani utanielewa kwa sababu hata mtoto wa darasa la kwanza ameelewa huu mfano