ISIS yatafuta kiki kupitia Uislam

ISIS yatafuta kiki kupitia Uislam

Wengi hujiita waislam, lkn
wanayoamini, na kuyafanya, si uisilam, (matatizo huannzia hapo. ) huenda inachangiwa na kukosa elimu ya uisilamu wenyewe, pamoja na elimu dunia, kwa kujidanganya eti elimu dunia ni ukifika!
 
Asalam Aleikum..!

Nasikitika kusema kuwa watu wengi hawajajua kuwa waislam ndo target kubwa ya magaidi. ISIS sio waislam kwa sababu hakuna muislam mwenye akili timamu atakayeweza kwenda kulipua Madina. Hii inadhihirisha wazi kwamba ISIS, Al Qaeda na wengineo wako after something else na sio kwa ajili ya dini.

Uislam ni salama na umejitenga mbali na upuuzi unaofanyika kwa jina la Uislam. Kwa akili ya kawaida tujiulize kwanini hao wanaojiita waislam wanalipua ndani ya misikiti, wanaua katika miji ya waislam?

Ndugi zanguni nawaombeni tuuweke Uislam mbali na upuuzi huu na tuwaone hao magaidi ni wapuuzi wasio na akili ambao wanafurahia kumwaga damu za watu wasio na hatia. Angalieni kule Syria hao ISIS wakiteka mji wanaua wanaume wote na kuwateka wanawake na kuwafanya watumwa wa ngono.

Mimi ni muislam na kamwe siwez kuwasaport wala kuwafurahia magaidi kwa sababu dini yangu hairuhusu unyama unaofanywa na Magaidi.

Wasalam
Ni kweli hao isis sio waislamu kabisa,maana uislamu umekataza kuua kabisa,sasa hao wanaua.Niliangalia kipindi cha why they hate us kilichotayarishwa na farid zakaria wa ccn,ni wazi hao ni mashetani
 
Samahani lakini. Hivi dini ya kiislam huwa wanafundisha upendo kweli? Mbona kama vile wote wanatabia ya hasira na ubaguzi? Huku pwan utasikia mtoto wa kiislam.simama kiislam wwe sio kafiri....
Na je huwa wanaona mtu ambaye sio mwislam pia kaumbwa na Mungu?
 
Quran (8:12) - ". Nitatia woga katika nyoyo za walio kufuru Basi wapigeni juu ya shingo na wapigeni kwenye kila ncha za vidole" Hakuna mtu timamu anaweza kutafsiri hii kwa maana ya mapambano ya kiroho.
 
wewe ni muongo, tunaishi na waislamu na wanashabikia wakristo kuuawa eti ni makafir, Kwa hiyo uislamu ni ugaidi kabisa, si ndo nyie mkiuwa kafir Kwa kujilipua mnaenda peponi na kupewa wabikra 72 na juice tamu?
Hao unaoishi nao sio waislamu mkuu
 
Muslim (20: 4696) - "Mjumbe wa Alah alisema:" Yule ambaye alikufa lakini hakuwa na kupambana katika njia ya Mwenyezi Mungu wala yeye kueleza yoyote hamu (au uamuzi) kwa Jihad alikufa kifo cha mnafiki. ' "
 
Quran (8:12) - ". Nitatia woga katika nyoyo za walio kufuru Basi wapigeni juu ya shingo na wapigeni kwenye kila ncha za vidole" Hakuna mtu timamu anaweza kutafsiri hii kwa maana ya mapambano ya kiroho.
Sasa madina kuna nani aliekufuru
 
Muslim (19: 4321-4323) - Tatu tofauti hadith ambazo Muhammad shrugs juu ya habari kwamba watoto wasio na hatia waliuawa katika uvamizi na watu wake juu ya makafiri. Jibu lake: "Wao ni wa kwao (maana yake nao ni adui)."
 
In short marekani ndio sponsor mkubwa wa vita hizi na vikundi vya kigaidi..vinapata sapot toka kwa US pamoja na rusia..mitandao ya al qaida ,boko harram,isis pamoja na vingine vinavosumbua ulimwengi vinapata sapot toka kwa US ..hakika US ndio anaefanya yote hayo kuwachonganisha bila wao kujua...in short kuna hii inshi yu one world government ambayo ipo chini ya mpango wa NEW WORLD ORDER under illuminant conspiracy jui ya kutimiza azimio lao la kuifanya dunia kiwa na serikali moja yenye dini moja na serikali moja lakin dini inayotakiwa ni dini inayoabdu siku ya juma pilli tu sio siku ya juma mos walaa ijumaaa na kwa hiyo bas ndo maaana vita kubwa ipo kwa wale wanaoiabud siku ya ijumaa na jumamos kama siku ya bwana kwa hiyo lengo kubwa ni kuwafanya watu wao kuwa under one religion party yenye misingi ya satarday worshiping unit ..ndo mana ukiangalia vita na vikundi vya kujitoa mhanga havikatiki nchi za warabu hiyo yote wanalijua mashehe wao ambao walishaitwa kwenye baraza la usalama la kidunia kuwashawishi waislam na watu wanaoiabudu siku ya ijumaa au jumamos kuacha na kuungana na wanaoabud siku ya jumapili ambayo hakika wako wrong kwa siku ya bwana sio hiyo...

Hivyo bas US under its own power imeanzisha vikundi vya kigaidi ambavyo inatafuta hasa watu wanaoslim au waislam wwnzao inawapa pesa ndefu pamoja na mikataba ya kudumu kuwawezesha kimaisha milele wale wote ambao watajiunga na kupewa mafunzo maalumu juu ya ugaidi ambao lengo kuu ni kushambulia waislam wenye itikadi kali ...walio wengu hawalijui hili na watakalia kulalamika mpaka mwisho wa uhai wao bila kkujua ukweli wa mambo ..

Hivi kwa akili ya kawaida ni mwislam gan anaeweza shambulia waislam wenzake hasa wngine ndg zake wa damu kisa iman potofu..??

Ndo hapo ujue kuna mkono wa watu wanaosponsor hiyo hali na hakika haitakuja kiluisha...

Ukitaka kuamaini jiulize kwanin boko harum kikundi cha vjana wachache wanaziyumbisha nchi kubwa hata zenye uwezo wa kijeshi kama Nigeria ,somalia na hata kenya..?? Kuna nini ina maana seeikali za nchi zao zinashindwa kukabiliana na halinhiyo .?.. mbona ujangili na wizi wa mtaani wanzuia iweje vikundi vidgo kama hivo wanashindwa..??

Ndo hapo ujue mmarekani anashikilia uskani halafu anawablackmind watu kuwa anakemia ugaid ..hapana hata kidgo ni mnafiki mkubwa sana mbuzi mnafiki sana huyo..
..kwa mfano ukifuatilia makali za EDWARD SNOWDEN huyu ni FBI na intelijensia wa mambo ya ndani nchini marekan ambae hakika kila kukicha wanamtafuta wamtafute wamnyonge kwan katoa siri nyingi sana za taifa la marekani juu ya malengo yao wanayotaka kuyatimiza juu ya utawala wa NEW WORLD ORDER UNDER ONE GOVERNMENT..
Edward snowden amejaribu na kutoa uhalisia juu ya uongo na figisu juu ya kumkamata OSAMA BIN LADDEN ..Hakika huyu osama yupo na marekanilimtia kkukuza mtandao wa al qaida na mitandao mongine ya kagaid ili iiendelee kukua kwa lengo la kusambalatisha ngome za kiarabu zisizokubaliana na ushoga na dini za kishetan ambazo wao nchi za magharib wabataka iwe hivo..

Kwa hiyo source kubwa ni US ..
 
Tabari 7:97 asubuhi baada ya mauaji ya Ashraf, Mtume alitangaza, "Ua Myahudi yeyote ambaye yuko chini ya uwezo wako." Ashraf alikuwa mshairi, aliuawa na watu wa Muhammad kwa sababu yeye aliukosoa Uislamu. Hapa, Muhammad anapanua wigo wa amri yake ya kuua. Myahudi mfanyabiashara asio na hatia aliuwawa kisha waliwauawa wapenzi wake wa Kiislamu, tu kwa kuwa si Waislamu.
 
Tabari 9:69 "kuua kafiri ni jambo dogo Kwetu" Maneno ya Muhammad, Nabii wa Uislamu.
 
Sasa kwa nini mauaji ya kutisha duniani kwa kujilipua yanahususha waislamu???

Angalia Bagdad, vifo 250 ktkt tu mlipuko mmoja kwa Washia na Wasuni!!

Sasa hapo utalaumu Wakristo??
 
Ibn Ishaq: 327 - "Allah akasema, 'nabii atamchinja kabla ya kukusanya mateka. adui kuchinjwa ni inaendeshwa kutoka nchi. Muhammad, akaomba apewe tamaa za dunia hii, bidhaa zake na wafungwa fidia. Lakini Allah ana tamaa kuwaua ili kudhihirisha dini. ' "
 
Ibn Ishaq: 990 - mtu yeyote asifikiri wakati waislamu wanakata kichwa cha mtu na kupiga mayowe Allah aukbar ni desturi ya kisasa, hayo ni mafunzo walipata chini ya Muhammad.

Ibn Ishaq: 992 - "Kupambana na kila mtu katika njia ya Allah na kuua wale wanao mkataa Allah. Huku ukusema Allah Akbar" Maelekezo Muhammad kwa watu wake kabla ya uvamizi wa kijeshi.
 
Quran:
Quran (2: 191-193) - "Na wauweni popote mwakutapo, na waondoeni nje ya maeneo walipo kutoeni; kwani fitina [ya Waislamu] ni mbaya zaidi kuliko kuuwa [wale wasiowaislamu] ... lakini kama wakiacha, basi hakika Na Allah ni Mwenye kusamehe na huruma. Na piganeni nao mpaka isiwepo fitna na mateso, na Dini iwe ya Allah. "
 
wewe ni muongo, tunaishi na waislamu na wanashabikia wakristo kuuawa eti ni makafir, Kwa hiyo uislamu ni ugaidi kabisa, si ndo nyie mkiuwa kafir Kwa kujilipua mnaenda peponi na kupewa wabikra 72 na juice tamu?
Waislamu wapi unaishi nao? Baadhi ya waislamu kukosea unauhukumu uislamu? Tofautisha waislamu na uislamu.
Mafundisho ya uislamu hayafundishi hayo wanayoyafanya. Wako kinyume na uislamu
 
Mleta Mada Hajui Kuwa Uislam Una Madhehebu. Ndicho Kinachowatafuna Huko Pakistan, Iran, Irak, N.K. Yani Hovyo Kweli Hawa Watu
 
Huwezi na haitawzekana kuuangalia UISLAM bila kuwaangalia WAISLAMU wanavyo behave
lengo sio kubishana lengo ni kufahamishana kama umeamua kumuangalia muislamu je tumfuate shia sunni kashabandia qadiria ahmadiyyah ama uislamu? My name is Green Bird and i am not a terrorist
 
Quran:
Quran (2: 191-193) - "Na wauweni popote mwakutapo, na waondoeni nje ya maeneo walipo kutoeni; kwani fitina [ya Waislamu] ni mbaya zaidi kuliko kuuwa [wale wasiowaislamu] ... lakini kama wakiacha, basi hakika Na Allah ni Mwenye kusamehe na huruma. Na piganeni nao mpaka isiwepo fitna na mateso, na Dini iwe ya Allah. "
Uko tayari kufahamu hizo aya zimeshuka wakati gani na nini kilipelekea kushuka aya hizo ama unataka nikuache uamini kama unavyoamini.?
 
Samahani lakini. Hivi dini ya kiislam huwa wanafundisha upendo kweli? Mbona kama vile wote wanatabia ya hasira na ubaguzi? Huku pwan utasikia mtoto wa kiislam.simama kiislam wwe sio kafiri....
Na je huwa wanaona mtu ambaye sio mwislam pia kaumbwa na Mungu?
Jaribu kutumia japo saa1 kusoma mafundisho ya kiislam na naamini utajua ni waislam ndio wana mapungufu na sio uislam kamwe. Mi naishi nchi ambayo wakristo ni majority na ninayokumbana nayo ni mengi mabaya bt siwezi kusema kuwa wakristo wote ni wabaya kwa maana najua watu wana mapungufu yao. Juzi tu hapa kuna pasta alisema kuwa Watu weusi waliumbwa kuwatumikia wazungu na alisema msimamo wake unatokana na biblia. Sipendi kuamini ni sahihi kwa maana yawezekana ni jinsi yeye alivyotafsiri bible kwa mtazamo wake. Dini ndo zinatufanya tuishi kwa amani kwa maana bila dini tutaishi zaidi ya wanyama
 
Back
Top Bottom