ISIS: Habari, picha na maelezo

ISIS: Habari, picha na maelezo

Pol Pot, naona damu inazidi kuwagika kwako theoretically.
Hivi unasapoti mafunz wanayopewa watoto misikitini??

Btw, napita.....
 
Last edited by a moderator:
Pol Pot, naona damu inazidi kuwagika kwako theoretically.
Hivi unasapoti mafunz wanayopewa watoto misikitini??

Btw, napita.....

Sio Kusapoti tu bali NA MIMJ NAWAFUNZA.
Na moja ya mafundisho tunayotoa ni km ifuatavyo.
1. MUNGU SIO MZUNGU Km mnavyiamini nyie.
2.Mungu hawezi kuvuliwa nguo halafu Kuuawa na viumbe wake hatta siku moja.
3.Gwajima Au KASISI ua PADRI au KIUMBE YYT Hawezi Kufufua mfu.
4. Wanaosema Mwanasesere wa Kizungu ni Mungu Hao NI MAKAFIRI WALIOLAANIWA.
5.Dododma wine na Mkate wa Azam HAUWEZI KUWA NYAMA YA YESU.
6.Mungu haabudiwi kwa zile nyimbo za kutikisa makalio Makanisani.
Bali anaabudiwa kwa nidhamu bila KELELE.
7.HAKUNA Binaadamu anauwezo wa Kusamehe Madhambi Km WAKIRISTO wanavyodai.
8. Binaadamh akifika Umri wa kuoa au kuolewa Basi AFANYE hivyo.
Sio km Wakristo wanawazuia Viongozi wao Kuoa Matokeo yakw WANALAWITI WATOTO WADOGO MAKANISA.
9.Tanzania Hakuna mtu mwenye Cheo CHA KWELI cha UNABII bali wote hao wanaodai kuwa ni Manabii ni MATAPELI wachumia tumbo tu.
10.Dini mbele ya MwenyeziMungu Ni UISLAMU TU. zingine zote Ni Usanii.

Na mengineyo mengi tu. Au we unasemaje? Mafunzo hayo Yana Ubaya kwako.
 
Last edited by a moderator:
Pol Pot, hii nchi ama hakika inawapa uhuru sana ninyi ndugu zetu waisilamu. Tatizo tu mnautumia ndivyo sivyo mkidhani mnakandamizwa!

Btw, nikuulize swali,

Kwa mfano kundi la Boko haram ama ISIS yakiibuka hapa Tanzania, utatoa neno kwa waisilamu wenzio kuunga mkono mauaji wanayoyafanya?

Je, utashirikiano nao kwa kutoa hifadhi, chakula na mengineyo?
 
Last edited by a moderator:
Pol Pot, hii nchi ama hakika inawapa uhuru sana ninyi ndugu zetu waisilamu. Tatizo tu mnautumia ndivyo sivyo mkidhani mnakandamizwa!

Btw, nikuulize swali,

Kwa mfano kundi la Boko haram ama ISIS yakiibuka hapa Tanzania, utatoa neno kwa waisilamu wenzio kuunga mkono mauaji wanayoyafanya?

Je, utashirikiano nao kwa kutoa hifadhi, chakula na mengineyo?

Maswali ya Kipumbavu ya namna hii huwa sina wakati wa kuyajibu.

Ungekuwa na Akili ungeshatambua kuwa HAYO Makundi YANAUA WAISLAMU WENGI kuliko MAKAFIRI.
Lkn kwa sababu ya Uchache wako wa elimu na Busara Unaropoka ovyo.
Lkn Makafiri wasio na elimu mko wengi mno. Na nimeshawazoea.

Na hii Nchi ni ya kwetu sote. Na huu uhuru babu zangu WA KIISLAMU ndio waliokuwa mstari wa mble Kuupigania wakati babu zako wewe walikuwa Wanaimba Kwaya na Kupigia goti picha ya mzungu mwenye nywele ndefu.
 
Last edited by a moderator:
aisee!.........

Kuwa mwislamu ni adventure nyingine..

Mbona mengine yanaibuliwa from nowhere?

Hivi mwaka 1960 hii nchi ilikuwa na Islams ngapi?
 
aisee!.........

Kuwa mwislamu ni adventure nyingine..

Mbona mengine yanaibuliwa from nowhere?

Hivi mwaka 1960 hii nchi ilikuwa na Islams ngapi?

Nakuweke baadhi ya picha hapa za Wakati huo halafu jaribu kumuuliza Padri wako Ratios unaweza kupata jibu.

1429460164386.jpg

View attachment 244891

1429460198720.jpg

View attachment 244894

View attachment 244895

Sasa hebu pekua hizo picha za wakati wa uhuru na Kabla ya Uhuru uone km UTAONA MSALABA hapo.
Utakacho kiona Ni Kanzu, kofia na Ndevu tu.

Hapo wakristo wako kanisani wanapigia goti picha za Wazungu.

Una swali Lingine?
 
sasa mr Pol Pot, uhuru mmeshauleta, sawa!

Wewe kama muislamu, umelifanyia nini taifa hili ama una mpango gani na taifa la Tanzania??
 
Last edited by a moderator:
sasa mr Pol Pot, uhuru mmeshauleta, sawa!

Wewe kama muislamu, umelifanyia nini taifa hili ama una mpango gani na taifa la Tanzania??

Mpango wangu ni Kuwafundisha watoto wetu wote kuwa Mungu sio MZUNGU. wala sio Sanamu la Mzungu. Bali MUNGU NI MMOJA HAJAZAA WALA HAJAZALIWA, WALA HANA ANAEFANANA NAE KTK Ufalme wake. Hilo ni la kwanza.

La pili Ni Kuwafundisha Wananchi wenye Elimu Finyu kuwa watu km Gwajima Na wengineo wa namna yake Ni Wasanii tu wanachumia Tumbo, hawana uwezo wowote wa Kufufua Wala kuponya mgonjwa wala Kusamehe yyt ktk hii dunia. Wao wenyewe ni wafanya madhambi WAKUBWA.
Na pili Kuweka Sheria kali kwa hawa WACHUNGAJI wanaolawiti WATOTO WADOGO MAKANISANI ikiwemo Sheria Ya KUNYONGA muhalifu Atakapo kamatwa.

Baada ya Wananchi kuupata weledi Huo Ndipo Tutaanza kuwahimiza Watu mambo ya Maendeleo na Maisha bora.
Lkn tusipotibu Vichwa vya watu kwa haya maradhi ya Upotovu hakuna Mtu ataweza Kukaa na Kufikiri Masuala ya Maendeleo manake Kila kidogo atakachokipata anakipeleka Kwa Matapeli Kina GWAJIMA na Kuwaacha wao wakitembelea Helicopter wakati wao hata hela ya kula hawana.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umesema ukweli hapa.
Na kuna watu wanalipwa hela mbuzi sana kufanya kila mzungu anachokitaka.
Mfano hai ni hawa waafrika wenzetu njaa km huyu TanzaniaLaw na mumewe Ishmael.
Hawa ni katika wale vibaraka wenye kutumwa kwa kupewa hela ya kula tu kuwakashifu waafrika wenzao na kuwatukuza wazungu usiku mchana.
Hata wake za wazungu hawafanyi bidii kama huyu jamaa.
Alikuwa na kesi kubwa ya Utapeli pamoja na baadhi ya watu wa familia yake jamaa wanasema alitupwa ndani miaka kadhaa lkn alipotoka akawafuata hao hao wazungu na kuwaapia kuwa atafanya kila wakitakacho.
We kama huniamini tazama nyuzi zake uone. Yaani kama mke mjane. anahaha kila kona kukashifu watanzani na kuwaletea Uchonganishi wa kike.
Ni bahati tu kuwa watanzania wengi sasa wana Busara kuliko mapashkuna kama huyu la sivyo watu wangeisha umizana.
Halafu ukitaka kujua huyu ni nyoka basi mtazame anavyojificha.
Sura yake anajua akiitoa tu wapenda amani watamuweka katika ukurasa wa kwanza na jisura lake limechanuka nyakanyaka.

Sikia mapovu yake sasa ili uamini nini nasema.
Watu wanafiki kama hawa wakifa hata ndege wa mwituni wanashukuru.
Get a life young man.
 
Get a life young man.

Have you got one Ishmael ?

What you have Is a life of moronic
full of disapprobation and enmity towards my countryman.

Your open exasperation brought up from a hissy fit and wicked philistinism family shows huff openly simply because a whiteman had you on bargain-basement

You are nothing but nonsensical who's aim is to bring disaster and tragedy in my Country.
Shame on your mother who trump up pernicious and rancorous kid like you.
 
Have you got one Ishmael ?

What you have Is a life of moronic
full of disapprobation and enmity towards my countryman.

Your open exasperation brought up from a hissy fit and wicked philistinism family shows huff openly simply because a whiteman had you on bargain-basement

You are nothing but nonsensical who's aim is to bring disaster and tragedy in my Country.
Shame on your mother who trump up pernicious and rancorous kid like you.

Your statements match the definition of Bigot perfectly.

  • Definition of BIGOT
    : a person who is obstinately or intolerantly devoted to his or her own opinions and prejudices; especially: one who regards or treats the members of a group with hatred and intolerance.







 
Mpango wangu ni Kuwafundisha watoto wetu wote kuwa Mungu sio MZUNGU. wala sio Sanamu la Mzungu. Bali MUNGU NI MMOJA HAJAZAA WALA HAJAZALIWA, WALA HANA ANAEFANANA NAE KTK Ufalme wake. Hilo ni la kwanza.

La pili Ni Kuwafundisha Wananchi wenye Elimu Finyu kuwa watu km Gwajima Na wengineo wa namna yake Ni Wasanii tu wanachumia Tumbo, hawana uwezo wowote wa Kufufua Wala kuponya mgonjwa wala Kusamehe yyt ktk hii dunia. Wao wenyewe ni wafanya madhambi WAKUBWA.
Na pili Kuweka Sheria kali kwa hawa WACHUNGAJI wanaolawiti WATOTO WADOGO MAKANISANI ikiwemo Sheria Ya KUNYONGA muhalifu Atakapo kamatwa.

Baada ya Wananchi kuupata weledi Huo Ndipo Tutaanza kuwahimiza Watu mambo ya Maendeleo na Maisha bora.
Lkn tusipotibu Vichwa vya watu kwa haya maradhi ya Upotovu hakuna Mtu ataweza Kukaa na Kufikiri Masuala ya Maendeleo manake Kila kidogo atakachokipata anakipeleka Kwa Matapeli Kina GWAJIMA na Kuwaacha wao wakitembelea Helicopter wakati wao hata hela ya kula hawana.

  • "If you hate a person, you hate something in him that is part of yourself. What isn't part of ourselves doesn't disturb us. ~Hermann Hesse"

    "The iron hand crush'd the Tyrant's head
    And became a Tyrant in his stead." -- William Blake, "The Grey Monk."

    "A Rattlesnake, if Cornered will become so angry it will bite itself. That is exactly what the harboring of hate and resentment against others is - a biting of oneself. We think we are harming others in holding these spites and hates, but the deeper harm is to ourselves. ~E. Stanley Jones"

    So you are poisoning yourself, but do not see it because you are blinded by hate.



 
Marekani na Ulaya walivyomtoa Gaddafi na kuamua walidhani wamemaliza kila kitu hayo ndiyo matunda yao Wakirsto zamani walikuwa wtanaishi vizuri tu nchini kwao Libya.

Hebu tupe taarifa na vita ya Yemen Mmagharibi gani kaweka mkono.
Maana kila vita vya waarabu mnasema vinachochewa na Wamagharibi.
 
R.I.P our fellow Christians.
Siku ya kusulubiwa kwake Yesu alisema kwamba. Nasi tutateswa na kuuwawa kwa ajili ya Ukristo wetu. Ila atakuwa nasi hadi mautini na siku ya Mwisho atatufufua.
 
Na wewe unasema miungu watatu.

Na ISIS wanateka na kubaka wanawake, wanachinja non believers, war mongers, wanaendesha utumwa wa MTU mweusi.

Kumbe tatizo sio mungu wangapi. Unaweza kuwa na mungu hata idadi ikafika 40, na Bado ukawa MTU mwema na usiye hatari katika Jamii.

Kwa fikra zako mungu akiwa mmoja ndiye bora kuliko miungu wa3. Labda ndio kaonesha umwamba kuwa anafanya kila kitu peke yake hakuna kusaidiwa.
Ironically record zinaonyesha Mungu huyo Umekuwa akisaidiwa na wanadamu. Yeye hafanyi kitu, ila wako wanaompigania. Wakiua watoto, wanamsifu yeye Sifa za bure. Wakati wala hajaja hata na panga kumchinja MTU .
 
Na ISIS wanateka na kubaka wanawake, wanachinja non believers, war mongers, wanaendesha utumwa wa MTU mweusi.

Kumbe tatizo sio mungu wangapi. Unaweza kuwa na mungu hata idadi ikafika 40, na Bado ukawa MTU mwema na usiye hatari katika Jamii.

Kwa fikra zako mungu akiwa mmoja ndiye bora kuliko miungu wa3. Labda ndio kaonesha umwamba kuwa anafanya kila kitu peke yake hakuna kusaidiwa.
Ironically record zinaonyesha Mungu huyo Umekuwa akisaidiwa na wanadamu. Yeye hafanyi kitu, ila wako wanaompigania. Wakiua watoto, wanamsifu yeye Sifa za bure. Wakati wala hajaja hata na panga kumchinja MTU .

Sasa unaniambia mimi ili nikusaidie nini.
Ya wachungaji kulawiti watoto wenu kila siku huyaoni sio?
Ya mataifa ya kikafiri kutengeneza silaha za maangamizi na kuanzisha hivyo vita huyaoni sio?

Hizi vita kabla ya Makafiri kuingia huko Gulf zilikuwepo?
Toka mwanzo kabisa wa vita vya irani na iraq wamarekani walikuwa wanapeleka maandazi Iraq na kuchochea moto wa kupikia dodoma wine sio?

Kama hayo matendo una hakika yanafanyika huku na yamekukwaza nenda kawaambie ISIL wenyewe hayo madai yako if you got the balls.

Na kama unaogopa kwa sababu wewe ni kuku watumie japo barua pepe kwenye Website yao.

In case you didn't know there is over 3000 EUROPEAN CITIZENS recently JOINED ISIL.! And I'm talking about Indigenous Europeans.
You tell me now isn't the very same people teaches your grandpa to worship a white man's statue? Or these are deferent.

Kabla ya kundika shirikisha kichwa.
 
Sasa unaniambia mimi ili nikusaidie nini.
Ya wachungaji kulawiti watoto wenu kila siku huyaoni sio?
Wachungaji sio Mungu. Ni wanadamu, kama wewe.
..What's the point? Unataka kuwalinganisha wachungaji na mungu wako kuona kama nani yuko fair. Kwanza wale wasichana kule naijeria waliishia wapi. Manake ni mwaka sasa tangu bokoharam wawateke.
Ya mataifa ya kikafiri kutengeneza silaha za maangamizi na kuanzisha hivyo vita huyaoni sio?

In case you didnt know..Pakistan inatengeneza silaha za maangamizi, Iran nayo inang'ang'ania kutaka kutengeneza.
Kwanza hayo mataifa unayoyaita ya makafiri hayaja wapiga hao believers ?

Kuhusu mapanga yenu, tunaona kila siku mkitoa video zikiwaonyesha mkiwa-decapitate non believers. Sasa itakuaje ikiwa mtaweza kumiliki silaha za maangamizi na kama ujuavyo tena mungu wako, anatoa pepo kwa wale wanaoangamiza wanadamu ambao ni non believers? eti huyo ndio biashara ya mungu wako na wanadamu. Yaani mungu wako anafanya biashara na ROHO za wanadamu biashara!. Huyo mungu wako kweli mjasiriamali. Huyu mungu na wale wanaouza viungo vya albino sijui tutamtofautishaje?


Hizi vita kabla ya Makafiri kuingia huko Gulf zilikuwepo?Toka mwanzo kabisa wa vita vya irani na iraq wamarekani walikuwa wanapeleka maandazi Iraq na kuchochea moto wa kupikia dodoma wine sio?
Umeanza kuwa na Xenophobia kama wale jamaa wa SouthAfrica. Kwa taarifa yako Vita pale Arabuni ndio Ghetto kwao tangu enzi ya mudi, mudi mwenyewe anafariki anaacha vita inapiganwa. Tangu kale mpaka kuja kwa ottoman empire. historia ya Arabuni ni vita kwa kwenda mbele. Ndio maana hata Mungu wako anadumisha huu utamaduni mpaka leo. ikiwemo kuwafanya blacks watumwa.


Kama hayo matendo una hakika yanafanyika huku na yamekukwaza nenda kawaambie ISIL wenyewe hayo madai yako if you got the balls.Na kama unaogopa kwa sababu wewe ni kuku watumie japo barua pepe kwenye Website yao.
Pia unanipa implication kuwa Mungu mzungu ni mwerevu sana na mkuu sana kuliko mungu wao. Ndio maana anaweza kuwagombanisha believers mbele ya mungu wako. It seems believers they don't believe they follow maagizo ya mungu mzungu.

So What's the point of believing moongod?
Paradoxically kama pepo ingekuwa iko poa kiviiile kwanini alazimishe watu wamuamini?. Nauliza tu ili kukufikirisha lakini najua ..Huna jibu hapa.
In case you didn't know there is over 3000 EUROPEAN CITIZENS recently JOINED ISIL.! And I'm talking about Indigenous Europeans. You tell me now isn't the very same people teaches your grandpa to worship a white man's statue? Or these are deferent.

Kabla ya kundika shirikisha kichwa.

We ndo ushirikishe ubongo badala ya mashavu kufikiri. Kwani Nikiwaandikia BArua nitabadilisha nini kwenye Agizo la mungu wako chinjachinja?Ninaweza kubadili verse mimi?Angalia jinsi unavyounga hypothesis zako zinabaki zikiacha maswali bila majibu. Bigotry kabisa!

.. and stop being a racist being a European doesn't make a person non believers.

Those Europeans terrorists most of them are middle East migrants who were once refugees, their nationality is mainly not by birth but acquired.

They are mainly diaspora.. People like Jihad john, amir khan, Mohammad Alfayed(the fulham billionaire who is late son Dodi attempted to Mary princes Diana before their tragic accident), billionaire who owns man city(he's the monster of tomorrow) just to mention The few.

And the very few numb nuts (blacks)from western African and Somalia people who eat mirungi in London streets. Before UK government banned it.

they just go back to their origin land to populate hell, kidnapping Cargocships,looting, and some still pay some ransom to jihadists like ISIS, nusrafront,alshabab to spread your single monster god.
.
 
Back
Top Bottom