ISIS: Habari, picha na maelezo

ISIS: Habari, picha na maelezo

Hivi kwanini hii dini inajihusisha sana na kuua watu, tena wanaua wenzao wa dini moja na imani moja. Hivi kweli wana Mungu hawa au ndo baada ya Kumkataa Yesu kuwa Mungu?
 
Hivi kwanini hii dini inajihusisha sana na kuua watu, tena wanaua wenzao wa dini moja na imani moja. Hivi kweli wana Mungu hawa au ndo baada ya Kumkataa Yesu kuwa Mungu?
Laana iliwaingia baadas ya kumkana Yesu. Unaweza muuliza Nonda na Ally Kombo kwa msaada zaidi ya nini kinawasukuma na kufanya huu unyama.
 
Last edited by a moderator:
Hivi kwanini hii dini inajihusisha sana na kuua watu, tena wanaua wenzao wa dini moja na imani moja. Hivi kweli wana Mungu hawa au ndo baada ya Kumkataa Yesu kuwa Mungu?

Root , Yesu alizaliwa lini na wapi?

Link Surat Al-Ma'idah [5:116] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

And [beware the Day] when Allah will say, "O Jesus, Son of Mary, did you say to the people, 'Take me and my mother as deities besides Allah ?'" He will say, "Exalted are You! It was not for me to say that to which I have no right. If I had said it, You would have known it. You know what is within myself, and I do not know what is within Yourself. Indeed, it is You who is Knower of the unseen.

http://biblehub.com/matthew/24-36.htm

"But about that day or hour no one knows, not even the angels in heaven, nor the Son, but only the Father.
 
Misikiti miwili ya washia imepigwa mabovu na kulipuliwa kule, Nchini saudia. Saudia INA wasuni wengi zaidi.
Iko kama kuna mashambulizi dhidi ya washia nchini saudia.

Maasi yameongezeka sana duniani. Natabiri huko tuendako kuna siku watu watashindwa kujua ukweli uko wapi na uongo uko wapi...
Na hata kile watu wanakiamini sana leo hii watakiona no longer tenable.
 
500.jpg

Islamic State
jihadis have closed the gates of a dam in the Iraqi city of Ramadi that they seized last month, posing a humanitarian and security threat, officials have said.

Isis fighters have repeatedly sought to control dams in Iraq, in some cases reducing the flow of water to areas under government control or flooding swathes of land to impede military operations.

The Anbar provincial council chief, Sabah Karhout, said Isis "closed all the gates" at a dam in Ramadi, which is the capital of Iraq's largest province.

The move lowered the level of the Euphrates river and cut water supplies to the areas of Khalidiyah and Habbaniyah to the east, which are some of the last held by pro-government forces in Anbar.

The lower water level has also made it easier for Isis to carry out attacks, Karhout said.
He called for the dam to either be quickly retaken or targeted in an air strike.

"Cutting the water to Khalidiyah and Habbaniyah will lead to a major humanitarian crisis not only in these areas" but also farther south, said sheikh Rafa al-Fahdawi, a leader in the Albu Fahad tribe, which is fighting Isis.

Aoun Dhiyab, a former head of the Iraqi water resources department and an expert in water issues, said: "The goal of [Isis] is not to cut the water but to reduce the level, to take advantage of it for military purposes.

"When the water level is reduced it allows them to infiltrate from Ramadi to Khalidiyah and then easily move to other areas."
Iraqi forces have launched a counteroffensive to try to recapture Ramadi but have so far either stopped on the city's outskirts or focused efforts on severing jihadi supply lines.

Isis closes Ramadi dam gates, cutting off water to pro-government towns | World news | The Guardian
 
Kamwe, hata waje mashehe wa tz wani hubirie kamwe kamwe siwezi kua mfuasi wa mudi,japo baba na hata mama wao wako kwa mudy.
Ila mimi kamwe!!!
 
Mwanajeshi mmoja wa jeshi la Libya amechinjwa mbele ya watoto wadogo wa chini ya miaka 10 na wanamgambo wa ISIS kama somo kwa watoto hao kujifunza kuchinja binadam. Hayo yamefanyika darasani wakati watoto hao wakiwa wanaendelea na masomo ndio likaingia somo la practical ambapo practical hiyo ilihusu kuchinja bianadam. Hayo yamefanyika huko Tripoli Libya.

Watoto hao walipewa visu na midoli wakafundishwa jinsi ya kuchinja midoli hiyo huku mwalimu wao anachinja binadam.

Jisomee hapa.

ISIS beheads Libyan soldier in front of children for ‘educational purposes’ http://rt.com/news/265222-isis-behead-libyan-soldier/
 
Wanauharibu uislam kwa fedha za makafir wa kimarekani na uingereza.
 
uislamu ni ushetani first class, mungu amtakase huyo aliechinjwa. na hivo vitoto vimeshakua vipepo vidogo
 
Uislamu ni dini ya kweli hayo wanayofanya ni ya Paul kwa nembo ya uislam
 
ndio maana walikuwa wanagombania kuchinja.. hadi wakamchinja mchungaji huku mwanza..hawa jamaa ni chinjachinja..dini ya haki..
 
Back
Top Bottom