Isingekuwa mfuko wa bima ya afya (NHIF) ningefanya nini?

Jan 22, 2014
29
56
Nawaza ningewezaje kumudu gharama za matibabu ikiwa bima ya afya isingekuwepo, mwezi Sasa tangu nimuhifadhi Mama yangu katika nyumba yake ya milele Ila kila ninapozunguka swali ninalojiuliza ningewezaje kumudu gharama ya kumtibu Kama isingekuwa NHIF.

Nikifikiria gharama ambazo zimetumika wakati wa matibabu Kuna nyakati naogopa kwamba imewezekanaje? Nikilijgamisha na michango ambayo nimechangia tangu nianze utumishi wa imma haifanani kabisa na huduma aliyoipata, pengine itachukua miaka mingi Sana na pengine nitastaff utumishi huu bila kufikisha kiwango Cha gharama zilizotumika.

Nikianza tangu mwaka 2015 Mama yangu alipoanza kuumwa na kuanza kuhudhuria katika hospital mbalimbali za rufaa nchini, kupima vipimo vya gharama kubwa na kupata dawa.

Iliniogopesha pale ambapo alianza kuhudhuria clinic ya dialysis, ambayo Hadi umauti amehudhuria kwa kipindi Cha miaka miwili na alipaswa kuhudhuria Mara tatu kwa wiki, na gharama zote hizo bima ilicover.. 🙌
 
Nawaza ningewezaje kumudu gharama za matibabu ikiwa bima ya afya isingekuwepo, mwezi Sasa tangu nimuhifadhi Mama yangu katika nyumba yake ya milele Ila kila ninapozunguka swali ninalojiuliza ningewezaje kumudu gharama ya kumtibu Kama isingekuwa NHIF.

Nikifikiria gharama ambazo zimetumika wakati wa matibabu Kuna nyakati naogopa kwamba imewezekanaje? Nikilijgamisha na michango ambayo nimechangia tangu nianze utumishi wa imma haifanani kabisa na huduma aliyoipata, pengine itachukua miaka mingi Sana na pengine nitastaff utumishi huu bila kufikisha kiwango Cha gharama zilizotumika.

Nikianza tangu mwaka 2015 Mama yangu alipoanza kuumwa na kuanza kuhudhuria katika hospital mbalimbali za rufaa nchini, kupima vipimo vya gharama kubwa na kupata dawa.

Iliniogopesha pale ambapo alianza kuhudhuria clinic ya dialysis, ambayo Hadi umauti amehudhuria kwa kipindi Cha miaka miwili na alipaswa kuhudhuria Mara tatu kwa wiki, na gharama zote hizo bima ilicover.. 🙌
Dialysis iko ndani ya bima ya afya? Kama Ndiyo serikali hongera zao.
 
Nawaza ningewezaje kumudu gharama za matibabu ikiwa bima ya afya isingekuwepo, mwezi Sasa tangu nimuhifadhi Mama yangu katika nyumba yake ya milele Ila kila ninapozunguka swali ninalojiuliza ningewezaje kumudu gharama ya kumtibu Kama isingekuwa NHIF.

Nikifikiria gharama ambazo zimetumika wakati wa matibabu Kuna nyakati naogopa kwamba imewezekanaje? Nikilijgamisha na michango ambayo nimechangia tangu nianze utumishi wa imma haifanani kabisa na huduma aliyoipata, pengine itachukua miaka mingi Sana na pengine nitastaff utumishi huu bila kufikisha kiwango Cha gharama zilizotumika.

Nikianza tangu mwaka 2015 Mama yangu alipoanza kuumwa na kuanza kuhudhuria katika hospital mbalimbali za rufaa nchini, kupima vipimo vya gharama kubwa na kupata dawa.

Iliniogopesha pale ambapo alianza kuhudhuria clinic ya dialysis, ambayo Hadi umauti amehudhuria kwa kipindi Cha miaka miwili na alipaswa kuhudhuria Mara tatu kwa wiki, na gharama zote hizo bima ilicover..
Bima nimasaada sana, kwangu mimi imekua msaada maana ilimsaidia baba mkwe sana, bima yangu iliweza kuongeza dependant mpaka baba mkwe na ilimsaidia maana alikua anaumwa sana na ili cover kwa vitu vingi sana ingawa alikuja kuondoka kwasababu ya cancer
 
Bima nimasaada sana, kwangu mimi imekua msaada maana ilimsaidia baba mkwe sana, bima yangu iliweza kuongeza dependant mpaka baba mkwe na ilimsaidia maana alikua anaumwa sana na ili cover kwa vitu vingi sana ingawa alikuja kuondoka kwasababu ya cancer
Hivi wana cover hadi cancer?
 
vipimo, dawa etc mimi yangu ina cover, unajua inategemea wewe bima yako ipo chini ya utumishi gani kwa wale waajiriwa,
Huko nyumbani mambo yameendelea, huku dunia ya kwanza bila bima ni changamoto sana.
 
Back
Top Bottom