chief kamchicha
Member
- Jan 22, 2014
- 29
- 56
Nawaza ningewezaje kumudu gharama za matibabu ikiwa bima ya afya isingekuwepo, mwezi Sasa tangu nimuhifadhi Mama yangu katika nyumba yake ya milele Ila kila ninapozunguka swali ninalojiuliza ningewezaje kumudu gharama ya kumtibu Kama isingekuwa NHIF.
Nikifikiria gharama ambazo zimetumika wakati wa matibabu Kuna nyakati naogopa kwamba imewezekanaje? Nikilijgamisha na michango ambayo nimechangia tangu nianze utumishi wa imma haifanani kabisa na huduma aliyoipata, pengine itachukua miaka mingi Sana na pengine nitastaff utumishi huu bila kufikisha kiwango Cha gharama zilizotumika.
Nikianza tangu mwaka 2015 Mama yangu alipoanza kuumwa na kuanza kuhudhuria katika hospital mbalimbali za rufaa nchini, kupima vipimo vya gharama kubwa na kupata dawa.
Iliniogopesha pale ambapo alianza kuhudhuria clinic ya dialysis, ambayo Hadi umauti amehudhuria kwa kipindi Cha miaka miwili na alipaswa kuhudhuria Mara tatu kwa wiki, na gharama zote hizo bima ilicover.. 🙌
Nikifikiria gharama ambazo zimetumika wakati wa matibabu Kuna nyakati naogopa kwamba imewezekanaje? Nikilijgamisha na michango ambayo nimechangia tangu nianze utumishi wa imma haifanani kabisa na huduma aliyoipata, pengine itachukua miaka mingi Sana na pengine nitastaff utumishi huu bila kufikisha kiwango Cha gharama zilizotumika.
Nikianza tangu mwaka 2015 Mama yangu alipoanza kuumwa na kuanza kuhudhuria katika hospital mbalimbali za rufaa nchini, kupima vipimo vya gharama kubwa na kupata dawa.
Iliniogopesha pale ambapo alianza kuhudhuria clinic ya dialysis, ambayo Hadi umauti amehudhuria kwa kipindi Cha miaka miwili na alipaswa kuhudhuria Mara tatu kwa wiki, na gharama zote hizo bima ilicover.. 🙌