Kahujumu maridhiano mengi kwa faida binafsi akishirikiana na aliyekuwa Mkurugenzi wa chama Jon Mrema na wenzake waliokimbilia CHAUMMA.
Kwenye uchaguzi wa 2015, ulikuwa ni mpango wa Mbowe kumweka Lowassa kugombea urais dakika za mwisho bila mchakato wowote ili kuzima nguvu ya Dr. Slaa aliyokuwa nayo.
Kavujisha siri za chama nyingi sana kwa maslahi yake vinginevyo leo Chadema kingekuwa chama tawala.
Kwangu January 21, 2025 ni siku ya ukombozi kwa CHADEMA. CCM iliumia sana Mbowe kushindwa uchaguzi na Lissu kuwa mwenyekiti.
Lissu aliongoza Chadema kwa takribani miezi 2 tu akiwa uraiani kabla ya kukamatwa na hadi leo anakiongoza chama akiwa mahabusu.
Kwenye uchaguzi wa 2015, ulikuwa ni mpango wa Mbowe kumweka Lowassa kugombea urais dakika za mwisho bila mchakato wowote ili kuzima nguvu ya Dr. Slaa aliyokuwa nayo.
Kavujisha siri za chama nyingi sana kwa maslahi yake vinginevyo leo Chadema kingekuwa chama tawala.
Kwangu January 21, 2025 ni siku ya ukombozi kwa CHADEMA. CCM iliumia sana Mbowe kushindwa uchaguzi na Lissu kuwa mwenyekiti.
Lissu aliongoza Chadema kwa takribani miezi 2 tu akiwa uraiani kabla ya kukamatwa na hadi leo anakiongoza chama akiwa mahabusu.