Isidingo, it's black now

Who cares? Kwani si hadithi tu hiyo?
 
Ya Sauzi tuyaache huko kama tunavyoyaacha ya Japani, hizi gari mpya toka Japani huko haziruhusiwi kutembea! Twende na tamthilia kama ilivyo kwenye mabadiliko, inatuonesha nini weusi! Tuanpenda pombe na mapenzi? Hakuna tena uchimbaji wa dhahabu! Muda wote ndani ya Shebeen! Na umkhomboti? Kwa kifupi kuna harufu ya ubaguzi wa rangi ukihusisha dharau kwa weusi.
 
Mnatuletea habari za isidingo huku uswailini
 
Mbona wanachimba, hadi wamegundua new gold belt... Mbona safi tu unless kama unaitazama kwa angle hiyo ya ubaguzi. Kwani huwaoni wakina Sibiya mara kadhaa wako machimboni? Huoni hadi wanajengewa nyumba mpya kuwa reallocated ili waweze kuchimba dhahabu mpya zilizovumbuliwa?
Isindigo inaenda kwa trend ya kuwasilisha msg flani kwa kipindi flani, iwe cancer, betrayal, sex harassment, na mambo mengine. Mbona kwa sasa watu mle wenye pesa ni blacks wazungu wasugua shaba tu
 
Derrick Nyathi ndo alikuwa icon ya Isidingo
 
Reactions: amu
Isidingo nimelingana nayo umri
 
Nimekua naisikia ila sijawahi kuielewa. Sidhani kama ni hadithi ile.
Waulize akina Bishanga, Single na wengine walioingia mitini miaka ile tukiwa washamba wa TV, lugha baba ni tatizo waliokosa SunSet! Na ndiyo ukawa mwisho wa akina Bishanga.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…