Ishu za mahusiano me nimeachana nazo rasmi, ntasubiri muda ufike nioe

Ishu za mahusiano me nimeachana nazo rasmi, ntasubiri muda ufike nioe

Joined
Dec 13, 2023
Posts
88
Reaction score
343
Baada ya kupambana kwa muda mrefu angalau nichakate mbususu

Nikapata kidem cha mwaka wa kwanza, fikisha gheto ile kuanza harakati kanadai kanataka kurudi hostel, nimem boltia ameondoka, sitamtafuta tena.

Niliwekeza pesa na muda kumfikisha hii hatua but nafikia hitimisho moja tu "mambo yote ni ubatili mtupu"

Acha niendelee kukuza uchumi wangu, focus na mishe zangu mahusiano ya uzinzi hapana.

Niendeleze series yangu ya snowfall kama zamani, peaceful life.

Asanteni kwa miongozo mbalimbali mliyonipa kwenye nyuzi zangu za nyuma.

#D9 TUNATOKA
 
Baada ya kupambana kwa muda mrefu angalau nichakate mbususu

Nikapata kidem cha mwaka wa kwanza, fikisha gheto ile kuanza harakati kanadai kanataka kurudi hostel, nimem boltia ameondoka, sitamtafuta tena.

Niliwekeza pesa na muda kumfikisha hii hatua but nafikia hitimisho moja tu "mambo yote ni ubatili mtupu"

Acha niendelee kukuza uchumi wangu, focus na mishe zangu mahusiano ya uzinzi hapana.

Niendeleze series yangu ya snowfall kama zamani, peaceful life.

Asanteni kwa miongozo mbalimbali mliyonipa kwenye nyuzi zangu za nyuma.

#D9 TUNATOKA
Mnachekesha
giphy.gif


Cc: Harmful
 
Achana na mambo ya kufukuzia wanawake, focus na mambo yako tu ikitokea kajaa kwenye mfumo mkojolee na sepa zako, Yani mapenzi iwe kama vile unaokota kopo tu na unalipiga teka baada ya dakika. Usipoteze muda kutongoza mwanamke karne hii, akijileta muulize unataka nini na kwa muda gani? Akisema nataka mahusiano muambie ya aina gani? Kimapenzi mwambie twende tukafanye akisema nataka ndoa mwambie lini? Akianza sibiri tujuane basi usitumie gharama hata mia yako mpaka siku akikukaribisha kwao nenda kalipe mahari oa, kinyume chake mahitaji yake mwachie mzazi wake na kama atakusumbua basi iwe nipe nikupe.
 
Achana na mambo ya kufukuzia wanawake, focus na mambo yako tu ikitokea kajaq kwenye mfumo mkojolee na sepa zako, Yani mapenzi iwe kama vile unaokota kopo tu ba unalipiga teka baada ya dakika. Usipoteze muda kutongoza mwanamke karne hii, akijiletq muulize unataka nini na kwa muda gani? Akisema nataka mahusiano muambie ya aina gani? Kimapenzi mwambie twende tukafanye akisema akisema nataka ndoa mwambie lini? Akianza sibiri tujuane basi usitunie gharamq hata mia yako mpaka siku akikukibisha kwao nenda kalipe mahari oa, kinyume chake mahitaji yake mwachie mzazi wake na kama atakusumbua basi iwe nipe nikupe.
Huuu ni ukweli
 
Baada ya kupambana kwa muda mrefu angalau nichakate mbususu

Nikapata kidem cha mwaka wa kwanza, fikisha gheto ile kuanza harakati kanadai kanataka kurudi hostel, nimem boltia ameondoka, sitamtafuta tena.

Niliwekeza pesa na muda kumfikisha hii hatua but nafikia hitimisho moja tu "mambo yote ni ubatili mtupu"

Acha niendelee kukuza uchumi wangu, focus na mishe zangu mahusiano ya uzinzi hapana.

Niendeleze series yangu ya snowfall kama zamani, peaceful life.

Asanteni kwa miongozo mbalimbali mliyonipa kwenye nyuzi zangu za nyuma.

#D9 TUNATOKA
Pole sana
 
Back
Top Bottom