Kwa wenye uelewa juu ya ishu ya kuhama mfanyakaz pasipo mshahara kuhamishwa baina ya halmashaur nje ya mkoa.Nini athari zake katika upatikanaji wa haki za kiutumishi katika halmashauri mpya na je kuna uwezekano wa kuweza kurudi ama kurudishwa kituo cha zamani kutokana na salary kuwa kule.msaada wa mawazo tafadhali