Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,870
Ndugu Yangu' Ulie ktk Mahusiano Au Ndoa'Mume Ukitaka kuisha Vizuri na Mkeo kuepuka Migogoro,Kuna Mengine Ujifanye Kama Huoni' ,
Unachotakiwa kufanya Wewe Ongea nae Vizuri Lakini Husimuongereshe.
(Ongea nae)Akikuuliza kitu Majibu,akikwambia kitu Majibu,alitaka Unisaidie kitu Majibu na Muelekeleze Uwo ndio Utakua ufaulu wenu Mzuri.
(Husimuongereshe)hii namaanisha Usimkumbishe Makosa yake uliyoyaandika ktk daily,Uliyoyaona na
Uliyoambiwa Enzi hizo,Acha kumuongeresha hayo niliyokuandikia kama Mfano'.Pamoja na kuwa ni ngumu Lakini ni Chungu kumeza'Hamna Namna Ili Maisha yaende Fanya ninavyokushauri Utakuja kunishukuru 'Mungu Alitoa Agizo la kuishi nao Kwa akili alimaanisha.
Usiku mwema wotee
Unachotakiwa kufanya Wewe Ongea nae Vizuri Lakini Husimuongereshe.
(Ongea nae)Akikuuliza kitu Majibu,akikwambia kitu Majibu,alitaka Unisaidie kitu Majibu na Muelekeleze Uwo ndio Utakua ufaulu wenu Mzuri.
(Husimuongereshe)hii namaanisha Usimkumbishe Makosa yake uliyoyaandika ktk daily,Uliyoyaona na
Uliyoambiwa Enzi hizo,Acha kumuongeresha hayo niliyokuandikia kama Mfano'.Pamoja na kuwa ni ngumu Lakini ni Chungu kumeza'Hamna Namna Ili Maisha yaende Fanya ninavyokushauri Utakuja kunishukuru 'Mungu Alitoa Agizo la kuishi nao Kwa akili alimaanisha.
Usiku mwema wotee