safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,164
- 15,839
Wewe ni wawili hauko peke yako,kuna wewe ambae unafanya jambo na kuna wewe ambae unatathmini vipi umefanya jambo lile.
Ukichukua changudoa usiku kesho utajilaumu,wewe unaetathmini unamlaumu wewe uliyefanya jambo.
katika hatua hii sasa wewe unaetathmini ndio unakazi kubwa ya kuhakikisha unajipenda mwenyewe.
KUNA NJIA MBILI AMBAZO NAONA zinaweza kukujulisha kuwa HUJIPENDI.
1. Kujihisi upweke na huzuni pale unapokuwa peke yako kiasi kwamba ukaona unahitaji mtu wa kukuliwaza.
Wewe mupo wawili mnashindwa kuliwazana bila shaka haujipendi.
2. Kujilaumu kwa uliyoyafanya nyuma.unapojilaumu maana yake wewe mtathminiji unamlaumu wewe mfanyaji hii ni ishara kwamba wewe hamuelewani wenyewe hamkubaliani juu ya kilichotokea.jifunze kuwa kukosea kupo,piga hatua usikate tamaa.
Ukichukua changudoa usiku kesho utajilaumu,wewe unaetathmini unamlaumu wewe uliyefanya jambo.
katika hatua hii sasa wewe unaetathmini ndio unakazi kubwa ya kuhakikisha unajipenda mwenyewe.
KUNA NJIA MBILI AMBAZO NAONA zinaweza kukujulisha kuwa HUJIPENDI.
1. Kujihisi upweke na huzuni pale unapokuwa peke yako kiasi kwamba ukaona unahitaji mtu wa kukuliwaza.
Wewe mupo wawili mnashindwa kuliwazana bila shaka haujipendi.
2. Kujilaumu kwa uliyoyafanya nyuma.unapojilaumu maana yake wewe mtathminiji unamlaumu wewe mfanyaji hii ni ishara kwamba wewe hamuelewani wenyewe hamkubaliani juu ya kilichotokea.jifunze kuwa kukosea kupo,piga hatua usikate tamaa.