Isemeeni hii picha...

Isemeeni hii picha...

zomba

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2007
Posts
17,240
Reaction score
3,935
SAM_1971.JPG



Mtambuzi tambua, nini maana ya kapu!
 
Ametumwa na Obama kuja kuhakikisha kuwa Chadema inakubalika na CCM Kwishney!!!
 
Kazeni buti hawa waliopo sasa pesa tunazowapa wanaweka kwaenye matumbo yao.
 
Naona wapo too close too close ukilinganisha na wengine kwenye picha. Dunia ina mambo.
Huyo ni mwakilishi wa Cameron?
 
Unaonekana unakipenda sana chadema.... ungekuwa m-TZ ningekupa kadi ya chadema....
 
Mmm! Mbona huyo jamaa mwenye nguo nyeusi kama vile mshumaa...halafu huyu mzungu kama vile beberu.
 
Hizi mila za kuazima zinatupelekesha mbaya...ila mbona huku mwambao hao wamejaa tele?
 
Kwahiyo anawashwa na kuzimwa kwa kupulizwa na huyo beberu?
Mmm! Mbona huyo jamaa mwenye nguo nyeusi kama vile mshumaa...halafu huyu mzungu kama vile beberu.
 
Ndugu yangu usiwe mwepesi kushangilia angalia vizuri hiyo picha...

Mkuu ritz huyo mwenye nyesusi unayemuita mshumaa ni nani?

Peopleeeeeeeeeeeeeeeessssssssss!!!

Duh mkuu King Kong III inaonekana wewe ukilala ukiamka unaota peoplesssssssssssss!!! Umekuwa kama kuruta wa jeshi. Ukiingia jeshini unafundishwa utii na moja ya njia ya kutii ni kutamka moja!! Basi kila kitu wewe moja. Yaani kuruta anachokijua ni moja tuuuu! Afende akikutukana wewe ukisikia tu sauti unatamka moja! Nadhani na wewe ukisikia ama ukiona tu kitu chochote chenye uhusiano na CDM unatamka peopleeeeeeeeeeees bila kutafakari.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ritz huyo mwenye nyesusi unayemuita mshumaa ni nani?



Duh mkuu King Kong III inaonekana wewe ukilala ukiamka unaota peoplesssssssssssss!!! Umekuwa kama kuruta wa jeshi. Ukiingia jeshini unafundishwa utii na moja ya njia ya kutii ni kutamka moja!! Basi kila kitu wewe moja. Yaani kuruta anachokijua ni moja tuuuu! Afende akikutukana wewe ukisikia tu sauti unatamka moja! Nadhani na wewe ukisikia ama ukiona tu kitu chochote chenye uhusiano na CDM unatamka peopleeeeeeeeeeees bila kutafakari.

ha haa haaa! mkuu Kimbunga nimecheka sana huyo jamaa bado sijamuelewa sijui ni nani ngoja neendelee kuuliza.
 
Last edited by a moderator:
Mtu moja kati ya hao lugha ya mwenzake imempita kushoto sasa wamebaki wanaongea kwa ishara ya macho, mdomo nk.
Moja anazungumza na mwingine anamsikiliza kwa macho badala ya masikio. ni sawa tu!
Mungi hiyo picha si nzuri saaaaana! Inaweza pata tafasri nyingi kweli kweli
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom