Huyu jamaa udaktari wake ni kama wa akina JK,Marehemu Remmy Ongala,Prof J nk...hajasoma popote ni ujanja ujanja tu..alianza kazi ya uijilisti kwenye kanisa la Wasabato kule Songea...na alikuwa ni mahiri kufundisha masomo ya afya kama yanavyofundishwa kwenye kanisa la wasabato..baadae akaamia DSM alipoinuka kuwa maarufu sana...mpaka sasa anafanya kazi kama muijilisti katika kanisa la wasabato Kurasini DSM....