Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Kuna umuhimu wa kulink kila kitu na dini? hivi ni nani aliewaroga enyi wadanganyika? mimi sijaona Zitto kama ana destruct chochote na wala sioni kama anajaribu kutetea usilamu popte pale. N sijaona kosa lolote la yeye kutolea maoni suala la mafuta, tena ingependeza zaidi kwa nyie wabara mkafurahi kuona suala hililikashughulikiwa na waznz wenyewe ili mueze kuona utofauti kama utakuepo. Nyie madini yenu hamna lolote mlofaidia zaidi ya kuwatajirisha wazungu. poleni na ugalatia wenu.