Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Inavyoonesha jamaa anajitafutia umaarufu tu, sioni sababu ya wauwaji kupanda magari yote hayo< kwenda kwa mganga wa tunguli, wamfate Dodoma.
Hivi huyu jamaa naona ana ma-"hallucination". Wauaji hasa wa maana, mpaka Al Shabab, wafanye yote hayo aliyoyaandika? upuuzi usio niingia akilini.
Anahitaji maombi.
Inavyoonesha jamaa anajitafutia umaarufu tu, sioni sababu ya wauwaji kupanda magari yote hayo< kwenda kwa mganga wa tunguli, wamfate Dodoma.
Hivi huyu jamaa naona ana ma-"hallucination". Wauaji hasa wa maana, mpaka Al Shabab, wafanye yote hayo aliyoyaandika? upuuzi usio niingia akilini.
Anahitaji maombi.
Jamani nimeshitusha na habari zilizoko kwenye gazeti la Mwanahalisi la leo kuwa wauaji watarajiwa wa Dr Mwakyembe walisafirishwa na magari ya polisi, Vodacom, Caspian na serikali???
Jamani ina maana Vodacom wanatumiwa kuhujumu usalama wa taifa??? Je JK anasemaje kuhusu tuhuma hizi nzito za waziri wake, je huyu waziri kweli anaweza kufanya kazi yake kwa ufanisi katika mazingira haya ya hofu?
Naomba wasije wakanikong'oli na mimi kwa umbeya huu... lakini wakifanya hivyo Mungu wa Ibrahim ninayemwamini atawaadhibu kwa pigo ambalo hawatalisahau
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika
Ukishangaa ya Mwakyembe na Polisi utaonyeshwa na Polisi na mtoto wa Mengi kuhusu madawa ya kulevya na jinsi tume ya Said Mwema ilivyokula pozi bila kuueleza umma ukweli! Hii ndiyo Bongoland
Inavyoonesha jamaa anajitafutia umaarufu tu, sioni sababu ya wauwaji kupanda magari yote hayo< kwenda kwa mganga wa tunguli, wamfate Dodoma.
Hivi huyu jamaa naona ana ma-"hallucination". Wauaji hasa wa maana, mpaka Al Shabab, wafanye yote hayo aliyoyaandika? upuuzi usio niingia akilini.
Anahitaji maombi.
MTEMI KAZWILE USIHOFU hao wa wauaji ........Watakufa kabla ya kuua wengine....!
Tangu nilivyojua vodacom na RA ndio wale wale, ka-line kao nikakatupilia mbali.
Ni taarifa ya kutisha lakini sidhani kama tutasikia lolote kutoka kwa mkuu wa kaya kwa sababu tuhuma zinawahusu maswahiba wake. Sijawahi kumsikia akitamka neno 'mafisadi' kwa sababu anajua msamiati huo utamgombanisha na rafiki zake.
Inavyoonesha jamaa anajitafutia umaarufu tu, sioni sababu ya wauwaji kupanda magari yote hayo< kwenda kwa mganga wa tunguli, wamfate Dodoma.
Hivi huyu jamaa naona ana ma-"hallucination". Wauaji hasa wa maana, mpaka Al Shabab, wafanye yote hayo aliyoyaandika? upuuzi usio niingia akilini.
Anahitaji maombi.
Ukishangaa ya Mwakyembe na Polisi utaonyeshwa na Polisi na mtoto wa Mengi kuhusu madawa ya kulevya na jinsi tume ya Said Mwema ilivyokula pozi bila kuueleza umma ukweli! Hii ndiyo Bongoland
Anaogopa kivuli chake.
Pole sana
Mimi nadhani maelezo ya polisi yatatupunguzia mgongano wa hisia
Msemo "Lisemwalo lipo na kama halipo linakuja" unaweza kuthibitika kwani haya mambo ambayo Mwanahalisi wameibua sio ya mchezo. Watanzania wenzangu ninahisi umafia umeingia humu nchini. Angalia yule Profesa alieuwawa nyumbani kwake misezi michache iliopita - ingawa uchunguzi haujawekwa wazi yeye alikuwa ni mahiri katika kesi za Rwanda wakamtumia watu wakamwua. Iweje leo mambo mazito yaliokwishafanyika hapa TZ yanayowagusa mafisadi moja kwa moja wayaache? Sitashangaa hayo yasemwayo kutokea. Mungu atusuru na watu wabaya hawa.
Tangu nilivyojua vodacom na RA ndio wale wale, ka-line kao nikakatupilia mbali.