Hizo girl to boy missed calls, huyo dada alibip!
Afu mvulana anapigia simu babake kuliko mama?
Ila hiyo ni boys level, wanaume wanakuwa tafauti kabisaaa.
Kijana hiyo sumary ya girl to girl ni kubwa pia,maana siku hizi na wapenzi,na wanapenda sana kupeana umbea,hata boy to boy nayo ni kubwa maana na wao ni wapenzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.