Is this Karma?

Kwa nini hampendi kutumia lugha moja. Hiyo uliyoandika Sijui lugha gani?

"So you know haupo happy sababu dhamira inakusuta. If you want thing to be normal ni lazima ukubali kuapologize"
 
Kiboro dinda at work, muache mkeo ukamtafute huyo intern umuoe afu uone kama ukiishi nae atabaki intern as you see her au nae atakua kama wife ambae leo unamuona kama kibwengo....


you made my evening Evelyn!!!
 
why getting married wakati nafsi bado haijatulia... I'm sure ungekua hujaoa usingeshindwa kumchukua intern ukalea na hao watoto wawili ulionao!!!

Vijana tuchelewe chelewe kuoa... kuna wengi wazuri bado hamjakutana nao 😊😊😊!!!!
Bahati mbaya zaidi ni kwamba wazuri hawaishi na haitotokea siku ukasema "huyu ndo mzuri kuliko wanawake wote", tena ukishaoa ndo utadhani wametumwa kwa watakavyojitokeza wazuri wengiii. Unless utaamua kuridhika na mmoja basi hutooa milele.
 
Karma is not comes like that! U gonna face what u deserve!! Right now u still hang with the shadow if your mchepuko!
 
Bahati mbaya zaidi ni kwamba wazuri hawaishi na haitotokea siku ukasema "huyu ndo mzuri kuliko wanawake wote", tena ukishaoa ndo utadhani wametumwa kwa watakavyojitokeza wazuri wengiii. The choice is yours

Kama na nyie mnayajua haya tuvumiliane kwenye michepuko... wengine tunakutana nao usipowatokea unajistukia kama ni mzima kweli
 
Kama na nyie mnayajua haya tuvumiliane kwenye michepuko... wengine tunakutana nao usipowatokea unajistukia kama ni mzima kweli
labda mkeo atakuelewae teh, kwa hiyo kila mzuri barabarani lazima umuonje? Kwa hiyo uzima wa mtu upo kwenye namba ya wanawake wazuri anaowatokeea? Kama huna hofu ya Mungu basi utampitia kila mwanamke unayehisi ni mzuri kwako
 
acha umalaya na utulie na mkeo nyie ndio mnafanya ccm haionekane haifanyi kitu
 
labda mkeo atakuelewae teh, kwa hiyo kila mzuri barabarani lazima umuonje? Kwa hiyo uzima wa mtu upo kwenye namba ya wanawake wazuri anaowatokeea?

wazuri Wapo na Wataendelea kuwepo ikiwa unazuzuka na uzuri wa wanawake au wanaume ikiwa upo katika ndoa ni Upuuzi.. Ladha ni Ile na Utamu ni Ule
 
Kwa mtizamo wangu ulichokosea ni kumpeleka mamluki kwa mkeo et kujisafisha. Kwa kuwa hujasema km ulifumaniwa ni vema ungekomaa kukataa huo uhusiano wakati huo utafute mamluki wa kiume wa kumwangushia.
Japo naona kosa uliyofanya kubwa ni kumpeleka mchepuko kwenye nyumba ya familia na kuifanya kwake na mkeo hatoacha kukusimanga kwa hilo na huenda ukaporwa hata nguvu yako ya maamuzi usipokuwa makini.
Ushauri tu, ukiwa mwizi jitahidi kuwa smart. Jiandae kwa plan b, mwache anayeibiwa atafute mwizi wake wamalizane huko si wewe umshike mkono ukajisalimishe ona sasa hamna tofauti na kuisaidia polisi
 
labda mkeo atakuelewae teh, kwa hiyo kila mzuri barabarani lazima umuonje? Kwa hiyo uzima wa mtu upo kwenye namba ya wanawake wazuri anaowatokeea?

hahha we ukinielewa na ye ndo atanielewa hivyo... ni wale wazuri tu waliopitiliza
 
Heshima yako shemeji

Na kwako Pia Shemeji.. Ifikie Wakati TuliZike na Wale tuliopewa na Mwenyezi Mungu.. Unapoamua kuoa au kuolewa ni kwamba umemuoana anayekuoa au unayemuoa ndio kila kitu katika Wote Ambao Umekutana nao. Hakuna Dhambi kubwa kama kumkana mwanamke Aliyekuzalia. Machozi ya Wanawake Yatatupa laana kubwa sana na Ipo siku tutayalipia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…