Is this Karma?

Is this Karma?

Mi nakushauri tafuta marafiki wa huyo intern watakuwa wanajua alipo,ukishampata uongee nae in and out nazani atakusamehe
 
Every decision you make has its consequnces. Your unhappiness and everything you are going through right now are the consequences of your actions. Hakuna miujiza katika maisha, kila mtu atavuna kile alichokipanda. Ukipanda ngano utavuna ngano, hali kadhalika ukipanda magugu utavuna magugu.
 
pole sana kaka, sio muda wa kujilaumu huu tena deal na tatizo.Uaminifu ni kama mshahara fanya kazi ili uupate, wewe umeshavunja uaminifu kwa mkeo kwa tamaa mimi ninaziita za kijinga now you have to swallow ur pride

Kuna kitu kimoja watu wanapaswa kujua, ukioa au kuolewa sio mwisho wa wanawake au wanaume wazuri tena kwa taharifa tu ukishafunga ndoa ndio utakutana na watu smart,wealth enough, beutful/handsome na wenye vigezo vyote vya uzuri ulivyokuwa unatamani mkeo/mmeo awenavyo

Sasa ukishaoa inabidi uwe makini sana na vitu kama hivyo maana gharama yake ni kubwa sana.Cha kufanya hapo acha ubabe muombe mkeo msamaha huku ukiwa unamaanisha na kama ikitokea amekusamehe usije ukarudia tena maaana hatokuja kukuamini tena
 
Every decision you make has its consequnces. Your unhappiness and everything you are going through right now are the consequences of your actions. Hakuna miujiza katika maisha, kila mtu atavuna kile alichokipanda. Ukipanda ngano utavuna ngano, hali kadhalika ukipanda magugu utavuna magugu.
sasa mshauri ni namna gani naondoka katika tataizo hilo
 
Every decision you make has its consequnces. Your unhappiness and everything you are going through right now are the consequences of your actions. Hakuna miujiza katika maisha, kila mtu atavuna kile alichokipanda. Ukipanda ngano utavuna ngano, hali kadhalika ukipanda magugu utavuna magugu.

that is right mkuu.Na understanda that God forgive sins kakin mazara ya dhambi hayafutiki ushaur wa bure mpende mkeo 2.
 
talking in and outs can only be meaningful if I have sababu za maana za kwanini nilimtenda au nilimdanganya juu ya ndoa yangu. Most probably she has found a person already has moved on na kujaribu kwangu kumtafuta kunaweza mkumbusha maumivu nilompa

Kukusamehe sio lazima muendelee kuwa wapenze,i know u feel guilt kwa what umemfanyia.Ukimueleza yote na akaondoa kinyongo nawewe huoni kama utapata amani ya moyo?
 
Ulitegemea mkeo akishtukie halafu kila kitu kiwe sawa?????

Kama unaona intern mzuri sana muache mkeo kaoe kiranga chako....
 
Aaaaarrrgh unaandika kikuda kinyama yani,kama demu!Kiingereza cha kujidai,masifa wewe vipi? Hivi taifa stars saa ngapi?
 
sasa mshauri ni namna gani naondoka katika tataizo hilo

Maji yakishamwagika hayazoleki. He cannot change the past but he can take control of the future. Kama kweli anataka kuokoa ndoa yake kwanza kabisa amuombe mke wake msamaha, pili atake yeye mwenyewe kubadilika kutoka moyoni ikiwa ni pamoja na kumsahau huyo intern, tatu atubu mbele za Mungu na aombe msaada wake ili aweze kumbadilisha na kumfanya aache kutamani mwanamke mwingine asiye mke wake. Nne azidishe upendo kwa mke wake na amfanyie mambo yatamfanya asahau uliyomtendea na aone kuwa amebadilika. Only madiliko ya tabia yake ndio yatakayo okoa ndoa yake.
 
Ulitegemea mkeo akishtukie halafu kila kitu kiwe sawa?????

Kama unaona intern mzuri sana muache mkeo kaoe kiranga chako....

Mbona maneno kuntu mpendwa? Najua inauma kuona mwanamke mwenzio akisalitiwa na kuumizwa ila naomba upunguze hasira na usitumie maneno makali.
 
Khaa!! Asikudanganye mtu wanawake wote huwa hivyo kabla ya kumuweka ndani. Utajisikia kama uko peponi katika kipindi hicho. Ni kama muajiriwa kipindi cha uangalizi. Sasa muweke ndani ndiyo utamjua tabia yake..
 
Infidelity at its best, sio wanaume wala wanawake. Watu hawana uthubutu kuishi na mtu mmoja tena.

Mshahara wa dhambi.....! Tafuta suluhisho, ulitenda dhambi ya uzinzi, ni lazima uumie hadi amani irudi tena.
 
why getting married wakati nafsi bado haijatulia... I'm sure ungekua hujaoa usingeshindwa kumchukua intern ukalea na hao watoto wawili ulionao!!!

Vijana tuchelewe chelewe kuoa... kuna wengi wazuri bado hamjakutana nao 😊😊😊!!!!
 
utateseka sana kakaangu mie nakuambia, maana una mizigo kutoka sehemu mbili kwanza laana kutoka kwa intern na pili manung'uniko ya mkeo juu ya uliomtendea.so sad lazima uone ndoa chungu.

ushauri wangu, mtafute intern umuombe msamaha la sivyo hutakua na Furaha mpaka kufa. halafu piah mpigie goti mkeo naamini ukikiri kwa kumaanisha atakusamehe na utaendelea kumpenda kama mwanzo.
 
Daima Hisia za Mapenzi ni tofauti na zaidi ya Umivo lolote hapa chini ya Jua. Siku zote tuuseme ukweli na tuwe wawazi kwa hawa tulionao na tunaokutana nao. Siwezi kukushauri umtafute kwa kuwa utasababisha mkeo wa ndoa Ateseke.. Siwezi kukwambia Usimtafute kwa kuwa Sijui ni kiasi Gani unampenda na kumuhitaji. Chakufanya kaa chini na Jiulize kati ya Huyo Binti na Mkeo Aliyekuzalia Watoto ni Yupi anathamani? Ukishapata Jibu basi ndio suluhisho la hili kadhia lako
 
Back
Top Bottom