Kwani mwanzo alikuwaje mpaka akawa wa tofautiHahaha, baada ya ku edit picha neno madness linakosa maana kwa sababu mwanamke aliye pichani sasa anaoneka amevaa Kama mtu wa kawaida tu.
Dinyos akili zao huwa wanaziacha wapi.
Monetary doctor Al-mukheef.
Sasa wewe ulivyo li bonge hivyo aibu yanini sasa..?Duuh aibu naona mimi🙈
Alikuwa uchi wa hayawani.Kwani mwanzo alikuwaje mpaka akawa wa tofauti
Wewe mwehu nini?Sasa wewe ulivyo li bonge hivyo aibu yanini sasa..?
Mimi ni kenzy!Wewe mwehu nini?
Good. Ishi kwenye mipaka yako.Mimi ni kenzy!
unawezaje kuwa mwepesi kuchukulia kitu cha masihara kama bango hadi kutaka niishi kwenye mipaka kiasi kwamba siijui mipaka yangu...?Good. Ishi kwenye mipaka yako.
Umeandika sana mkuu.unawezaje kuwa mwepesi kuchukulia kitu cha masihara kama bango hadi kutaka niishi kwenye mipaka kiasi kwamba siijui mipaka yangu...?
Noted...Umeandika sana mkuu.
Wewe hauoni hata changu ni cha kimasihara?
Baninyo inakuhusu saa hzHahaha, baada ya ku edit picha neno madness linakosa maana kwa sababu mwanamke aliye pichani sasa anaoneka amevaa Kama mtu wa kawaida tu.
Dinyos akili zao huwa wanaziacha wapi.
Monetary doctor Al-mukheef.
Wananiniogopa sana, Mimi ni mkali kama wembe.Baninyo inakuhusu saa hz
hahahaha nitawaita mamodinyo baninyo mko wapi wana,Wananiniogopa sana, Mimi ni mkali kama wembe.
Sasa hivi wananiheshimu sana sijui hata niliwafanyeje aise!hahahaha nitawaita mamodinyo baninyo mko wapi wana,
Ndege kitaluni anataka baninyo 😂😂
Baninyo 😂 inakuita tulia aje kukiiSasa hivi wananiheshimu sana sijui hata niliwafanyeje aise!
Kuki aliponibani nilimkanya mpaka machozi yakaanza kumbubujika.Baninyo 😂 inakuita tulia aje kukii
Hahahaha subiri mode aje uone moto wake 😂Kuki aliponibani nilimkanya mpaka machozi yakaanza kumbubujika.
Mimi ni fimbo ya fimbo!