Is Tanzania a primitive State?

Kama taifa la watu waliopigwa na Umaskini kuwekeza mapesa mengi kwenye Project za maika mingi bila kuwa na uhakika wa namna gani hiyo Hela itaingia kwenye Mzunguko wa watu wako
nikutofikiri vizuri
 
wanasema itaongeza revenues,hivyo itasaidia serikali kutoa nhuduma nyingine za jamii...sijui hizo tatu zimefanya nini?,mie sitashangaa kuletwa madege mengine makubwa yasiyotusaidia….hii serikali hata mtoto mdogo angeongoza vyema.
B
Bora wangeboresha na kufufua viwanda vya vitenge na khanga na viatu maana hayo ndiyo mahitaji ya watanzania wengi. Wakati wa Uchaguzi yale makhanga na tshirt vingeingiza pesa kibao kuliko madege. Uwe tajiri uwe maskini kila mtu anahitaji kuvaa lakini si kila mtu anahitaji kupanda ndege.
 
Sasa unaandika kwa Kiingereza ili uonekane "umeendelea"? Ha ha ha, wewe ndio bado unaishi mwituni na manyani wenzako. Huo ndio ulimbukeni wenyewe.
Ulichofanya wewe wanakiita Inferior Complex Kiinglishi sini Lugha tu wee jadili alichoandika
 
Ushamba wa ndege wa raisi unatuingiza kwenye hasara kubwa. Hakuna kipya hakuna jipya shirika lilikufa inakuwaje unalifufua bila kujua kwa nini lilikufa
 
Ni wakati wetu kurudisha kwenye jamii, matunda ya elimu na ujuzi tulioupata bure enzi za utawala wa Mwl. Nyerere. Sisi tunaongozwa na elimu, siyo hisia kama wafanyavyo wachangiaji wa JF wengine. Je, wewe uko upande upi?
 
Ai agrii withi yu...bati du yu mini hizi ekselensi ambasada ofu USA izi primitivu ezi weli? Ifu yesi, keni yu plizi difaini ze temu primitivu?

Ai hedi in hia(TZ), inglishi izi touti in swahili.......
Kwa balozi wa Marekani ni hatua chanya kwa soko la makampuni yao kuzidi kupanuka ili waendelee kupata kodi, wananchi wapate ajira nk!
 
Lack of appreciation is the greatest primitive wichcraft in Africa... tena wewe umeonyesha highest degree by feeling shy about it badala ya kuappreciate..... hii nchi tunairoga wenyewe bila kujua..
 
Ni wakati wetu kurudisha kwenye jamii, matunda ya elimu na ujuzi tulioupata bure enzi za utawala wa Mwl. Nyerere. Sisi tunaongozwa na elimu, siyo hisia kama wafanyavyo wachangiaji wa JF wengine. Je, wewe uko upande upi?

mnhhhhhhhh
 
Ushamba wa ndege wa raisi unatuingiza kwenye hasara kubwa. Hakuna kipya hakuna jipya shirika lilikufa inakuwaje unalifufua bila kujua kwa nini lilikufa


Huo huo ,,ushamba" ndiyo tuliouchagua, na 2020 tutauchagua tena, utapata tabu saana!
 
Wewe utakuwa umetawaliwa na uzungu mwingi. Unasema katika ulimwengu huu karne ya sayansi huelewi kwamba hiyo ni general, sayansi iliyoko Ulaya ndo iliyoko Tz? je si zote ziko karne moja? kama haziko sawa maana yake ni kwamba kuna vitu katika hayo maendeleo wanatofautiana na maana yake ni kwamba kila analo kuzidi mwenzio ni hatua kubwa katika teknolojia. Hatukuwahi kuwa na ndege ya hivi na tumechukua miaka mingi sana kuwa na idadi ya ndege kiasi hiki. Tunajua hatuna uwezo wa kurusha sattelite ya kwetu ambayo ni made in Tanzania by Tanzanians lakini hii ndege ni hatua kwetu, tutafika tu huko japo itatuchukua mda.

Mwaka 1956 Kennedy alihudhuria urushaji wa shuttle anga za mbali kwasababu ilikuwa ni stage ya juu kwao kutoka ile iliyokuwepo
Bombay ni mji katika india, nimeishi mda mredu tu huu mji so before you urgue fanya research
Shule ya siku hizi sijui wanafundisha nini hata sijui, yaani unakuta mtu anamaliza f.6 hajui kama kuna mji unaitwa Bombay. Fantastic colla
 
Wewe utakuwa na wivu wa kike. Pole sana @Ciprofloxacin
 
when we don't have you talk too much, and when we have it regardless how you also talk too much nonsense!!
 
Ciprofloxacin. rais hakwenda kushangaa ndege. Bali alienda kuzindua Air Tanzania mpya. Kwa akili yako kwa viongozi au hata watu wa kawaida wote waliofika pale hawajawahi panda au kuona (hata kwenye picha) ndege?? Jamani jitahidini kutumia vizuri uwezo wenu wa kufikiri. Miaka yoote hatujawahi miliki ndege kubwa kama hiyo hukuona aibu na wala hukuona kama waTanzania ni washamba (primitive). Lakini leo kushangilia jitihada zetu zilizozaa matunda ya kupata ndege mpya ambayo kwa bara letu la Afrika ni nchi chache zimeweza unaona aibu!!!!???? mimi hapo sijakuelewa. Aibu ilibidi iwe kipindi ambacho hatuna ndege lkn si kipindi cha kuipokea.
 
Dah... teki faiv furom mi braza...furom mai hati .....🙂
Mi hepu yu, USA ambasada izi zea tu du bizinesi fo hizi kantre wisi za blaindizi hia yu sei vipofu, hi keni iveni silipu ini e tembe no probulemu ifu yu bai anaza puleni.
 
Ni aibu sana ya viongozi kujazana airport eti kupokea ndege. Kitu ambacho hakiwasaidii chochote watu wa hali ya chini. Ambao hata nauli za mabasi kuzungukuka maeoneo yao ya karibu zinawashinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…