Duh....! Kwa mtazamo wangu moja kati ya haya yanaweza kuwa ya kweli;Hi Mujumba. My name is Alfred( not real one). Been married for 3 years now. In all these years, my wife has been the quiet type and am always the one who takes the initiative even in the bedroom department. But last week, she shocked me when she attacked me like a Hungry Lioness in the bedroom and did for me crazy stuff which i did not know she was capable of. Not that it was bad, but am just curious why all these after 3 years. Did someone teach her these sex tricks recently? Its disturbing to me
help this friend of mine please.....
Haaa au haukukidhi viwango vyake?
well nothing to worry abt...just hitt that papuchi badly
umefurahi eeh?
hujambo?
Ndiyo maana huwa nafikiri JF si mahali sahihi pa kuomba ushauri wa kindoa. Sasa ukikutana na watu wenye mawazo kama ya Sefet kama watano hivi, hujaacha mke kweli? Mbona sisi wanaume tunasimuliana kila kunapokucha tukiwa kwenye bia juu ya namna ya kumhandle mwanamke na tukirudi tunajitahidi kuongeza manjonjo kidogo ili tuwaridhishe? Si vizuri kila kitu kukichukulia katika mtizamo hasi. Kwanini usifikirie kwamba ameshinda na wanawake wa kizaramo wakamwelekeza hayo mambo? Au amesoma gazeti la udaku juu ya hayo mambo? Tuwe tunajitahidi kuwa positive kidogo hata pale panapokatisha tamaa.There must be someone who's given her a lesson if not many...
kweli kabisa,hayo ni mawazo mgando, na vijarida kibao siku hizi vya kusoma,movie pia laaaaaaaNdiyo maana huwa nafikiri JF si mahali sahihi pa kuomba ushauri wa kindoa. Sasa ukikutana na watu wenye mawazo kama ya Sefet kama watano hivi, hujaacha mke kweli? Mbona sisi wanaume tunasimuliana kila kunapokucha tukiwa kwenye bia juu ya namna ya kumhandle mwanamke na tukirudi tunajitahidi kuongeza manjonjo kidogo ili tuwaridhishe? Si vizuri kila kitu kukichukulia katika mtizamo hasi. Kwanini usifikirie kwamba ameshinda na wanawake wa kizaramo wakamwelekeza hayo mambo? Au amesoma gazeti la udaku juu ya hayo mambo? Tuwe tunajitahidi kuwa positive kidogo hata pale panapokatisha tamaa.
Dina marios anaongelea sana namna ya kuhandle mume na mke, na hata true love website,manhealth nk''Naombeni mnipe majina ya blogs zote zinazo zungumzia malavidavi''
Kuna mabikira kibao yanauzwa masokoni humu,alikuwekea tu itakuwaKwa sababu nilimpata hajui kitu na sikumfundisha zaidi alitaka kunionyesha kwamba bado yuko vilevile ili nisimuhisi kama kapata walimu wengine.
Hi Mujumba. My name is
Alfred( not real one). Been married for 3 years now. In all these
years, my wife has been the quiet type and am always the one who takes
the initiative even in the bedroom department. But last week, she
shocked me when she attacked me like a Hungry Lioness in the bedroom and
did for me crazy stuff which i did not know she was capable of. Not
that it was bad, but am just curious why all these after 3 years. Did
someone teach her these sex tricks recently? Its disturbing to me
help this friend of mine please.....
Why trippin if she learned for you to enjoy...I will buy the 'teacher' a cold beer!