donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,139
....."If you can get free milk, why keep a cow?..."
Habari wakuu,
Nia na dhumuni la uzi huu sio kupinga mahusiano ya ndoa au kuwacrash ambao wanategemea kufunga ndoa.
Katika pita pita zangu, I have been through a lot of relationships with different kinda women therefore kwa mtazamo wangu ni kwamba wanawake wote sio sawa, they differ in many aspects ( so as we MEN). ISSUE Inakuja sasa kwenye swala la kua committed na someone for a lifetime, to put up with all your/his/her miseries for the rest of the life. Sidhani kama I believe in true love or perfect match. Are we sure that our parents were perfect for each other? Now days watu wanaoana bora liende tu. I have a good friend of mine ambaye yuko married with 3 kids lakini ameshawahi kuconfess kwamba he just had to get married because of the family and relatives pressure. Ukimuuliza do you love your wife anajibu I love my kids. Kifupi ni kwamba I think lifetime commitment kwa mtu, it's overrated, I'd rather have a baby with a girl then we can do co-parenting. Hii attitude imenijia after being in a couple of r/ships, being hurt couple of times then decided to be immune to the so called love.
Habari wakuu,
Nia na dhumuni la uzi huu sio kupinga mahusiano ya ndoa au kuwacrash ambao wanategemea kufunga ndoa.
Katika pita pita zangu, I have been through a lot of relationships with different kinda women therefore kwa mtazamo wangu ni kwamba wanawake wote sio sawa, they differ in many aspects ( so as we MEN). ISSUE Inakuja sasa kwenye swala la kua committed na someone for a lifetime, to put up with all your/his/her miseries for the rest of the life. Sidhani kama I believe in true love or perfect match. Are we sure that our parents were perfect for each other? Now days watu wanaoana bora liende tu. I have a good friend of mine ambaye yuko married with 3 kids lakini ameshawahi kuconfess kwamba he just had to get married because of the family and relatives pressure. Ukimuuliza do you love your wife anajibu I love my kids. Kifupi ni kwamba I think lifetime commitment kwa mtu, it's overrated, I'd rather have a baby with a girl then we can do co-parenting. Hii attitude imenijia after being in a couple of r/ships, being hurt couple of times then decided to be immune to the so called love.