Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,669
- 167,705
Ndoa ni wewe mwenyewe/ ndoa ni nyinyi wawili....kuwa overrated au vice versa inategemea na nyie wawili.
[emoji119][emoji119][emoji119]
Hahahahaha..Le captain himself[emoji23]
Nikiona post inahusu ndoa nastuka, maana pressure ya kuoa inakua kubwa kila siku.
Ni hatari sana. Lazima uwe na moyo wa chuma kupambana na family and relative pressure.
Mwaka huu niko 30, kila naekutana nae ananiuliza naoa lini, naoa lini. Fucking shit!
Au unasemaje[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahaha..
Ndoa ni upuuzi wa kiwango cha lami
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndoa ni upuuzi wa kiwango cha lami
Hehehehe wuuiii nmecheka wallahA life without husband is much better
Kula tano apo ulipo mkuumarriage is designed to keep the family.[emoji128]
watoto watalelewa na nani.!? Na hata wewe ukishakuzeeka,u mgonjwa,pia mpweke...itakuwaje.?[emoji124]
ukiangalia usawa wa pua yako uko sahihi na pia ukiuchosha ubongo kufikiria..utafuta ulichoandika
ile kuumia kumoyo coz of love...inapaswa ibaki kuwa funzo kwako..aidha jisahihishe,badili tabia ama mitazamoo yako..
Dada wenye upendo,marriageable.. na hamasa na uchaji wa Mungu wamejaa Kitaa..[emoji136]
So..badili eneo LA mawindo...Achana na ngiri anza kuwinda swala[emoji203]
Hata wewe mkuuBinafsi siamini katika ndoa
Ndio[emoji4] yani kusema kweli hua naona ndoa ni kama kamali tu pia hua siyaamini mapenzi kiasi hikoHata wewe mkuu
Hupaswi kuyaamini mapenzi kupitiliza lakini ndoa unapaswa kuiamini manake ni kitu ambacho utakipitia tu huwezi kuwa alone maisha yote kuna mambo ambayo hakuna MTU mwingine anaweza Fanya ila mke tu au mume tuNdio[emoji4] yani kusema kweli hua naona ndoa ni kama kamali tu pia hua siyaamini mapenzi kiasi hiko
Labda baadaye nitakuja kuiamini lakini kila siku nikiona nyuzi za wanandoa kulalamikia usaliti ndio nazidi kutokua na mawazo ya ndoaHupaswi kuyaamini mapenzi kupitiliza lakini ndoa unapaswa kuiamini manake ni kitu ambacho utakipitia tu huwezi kuwa alone maisha yote kuna mambo ambayo hakuna MTU mwingine anaweza Fanya ila mke tu au mume tu
Raha ya ngoma ingia kati uchezeLabda baadaye nitakuja kuiamini lakini kila siku nikiona nyuzi za wanandoa kulalamikia usaliti ndio nazidi kutokua na mawazo ya ndoa
[emoji23]sawa mkuuRaha ya ngoma ingia kati ucheze
Hahahaha!!!Ndoa ni upuuzi wa kiwango cha lami