si kweli kabisa kwamba ni wote bali ni kwa baadhi , na hii inategemea na afya yake ikoje labda kama ana maradhi yanayomsumbua.....pia inategemea ujana wake aliutumia vipi katika maswala ya mapenzi.
japo najua na naamini ujana ni maji ya moto lakin vijana tumieni ujana wenu mzuri ili hata utu uzima na uzee wenu uwe mzuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.