Is it true that KANUMBA Freemasonry WAS?


Wewe Muumini wa Mungu ila tatizo Mungu wako kakunyima uwezo wa kufikiri na kutafakari vizuri. Yaani wewe kama umeharibiwa na imani tayari umeshakuwa disabled!

Si kila kifo kinasababishwa na Mungu na ndo maana Mungu alitoa amri ya usiue. Alijua fika kuwa mwanadamu anaweza kuua. Sasa wewe unafikiria kuwa ata mwanajeshi akifyatua risasi basi ni Mungu Huu ni utovu wa nidhamu na ni upuuzi mtupu.
 
Mi'nahisi pia huyu jamaa marehemu alikua ndani, kuna cku watoto wenye umri wa miaka 8-9 walinitonya huku wakinionesha ushahidi wa ishara za vdole vyake ktk movie zake, hataivyo leo ndio nimeona hayo mavaz yake, ila pia swebe ktk cku ile ya kifo chake kutangazwa akiwa channel 5 tv kuna kauli alitoa kuhusu kuepuka maisha ya ushetan ikawa alert ya mwisho kumhisi jombaa alie lala kwa amani.
 
Me naamini 90% kwani hata kabla hajafa nilishasikia na hata ule mvuto wa watu hata viongoz wa kitaifa ni nguvu ya freemason kwan hata miongon mwa wakuu ni dini hyo.
Mvuto anao toka yupo chini kabisa kwenye sanaa
acha izo ndugu yangu,ungeonekana wa mana sana
ungeyasema hayo alipokuwa hai! sidhani kama angejiunga na
mambo hayo,alikuwa mtu wa kanisa,hayo mengine yaliyotokea
ni ubinadamu tu na ndo mana kuna makanisa ya kwenda
kutubu,tusimhukumu,ana wengine mna dhambi kushinda yeye,na tunawafichia siri
tu!
 
Kulikuwepo sababu ya kufanya hivi pia? Ata kama ni edited.
 
Ungerekebisha lugha kwanza ndipo ueleweke...heading yako duh...!!
 
Me naamini 90% kwani hata kabla hajafa nilishasikia na hata ule mvuto wa watu hata viongoz wa kitaifa ni nguvu ya freemason kwan hata miongon mwa wakuu ni dini hyo.

kumbe ni kitu bomba, atangazwe mtakatifu.
 
wakuu hivi mmegundua kwamba baada ya kifo chake huyu jamaa.(r.i.p) habari za freemason zimeporomoka!? je kuna kiashiria chochote kwa hili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…