Is God Real?

Man made, God is imaginary.
 
Kiwango cha uwezo
I kufikiri na wa kufanya mambo mbalimbali anaamua yeye mwenyewe anayeumba. Ulitakaje, viumbe wawe na uweza sawa na muumbaji? Utukufu na ukuu utabaki ni wake yeye. Ametuumba kwa namna inayompendeza. Na kuna mambo mengi hatuna control nayo, tunabaki kutegemea majaliwa yake.
 
Tatizo ni kwamba philosophers and truth seekers argue in order to find where the truth lies ila ukija kwenye upande wa Imani huo ni upande binafsi and your dealing with opinion not facts.
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Unajipigia hadithi zile zile nilizosema kwamba Mungu yupo.

Kama unabisha hizi si hadithi tu, thibitisha huyo Mungu yupo kweli.

Hoyo habari ya "kiwango cha akili" hata mimi naweza kuitumia kusema kuwa kiwango chako cha akili hakijaweza kuelewa kuwa Mungu hayupo.

Utabishaje hapo, kama kweli kiwango chako cha akili hakijafikia uwezo wa kujua juwa Mungu hayupo?
 
Mungu ni wewe mwenyewe.
 
Mnapochanganyikiwa wengi ni hapo kudhani Mungu ni mwenye huruma tu, ni mwenye upendo tu na ukimuomba chochote atakupa kirahisi tu
 
Nadharia ya uwepo wa Mungu inafanya kazi pale upeo wakufikiri wa mhusika unapofika kwenye koma.

Mfano, ulimwengu na vyote vimetoka wapi,....MUNGU
Kwenye moja ya maandiko ndani ya bibilia, yanasema UKOMA ulikuwa ni laana na adhabu toka kwa Mungu...ulipopata dawa wakasogeza magoli.

Hivyo, Mungu ni HISIA.
 
Mwamba uliyemtag anapenda Sana hizi mada😅
Ni mada zilizo katikati ya mambo mengi sana yanayoongoza maisha yetu.

Mada za utamaduni, uchumi, siasa, , falsafa, mambo ya jamii, huwezi kuziongelea bila kugusa habari hii.

Na mimi mara zote napenda kuangalia viini vya mambo.

Mfano, unaweza kufikiri kuwa matatizo yetu mengi ya siasa, ya uongozi mbovu, ya uchumi mbaya, ya kutoheshimu haki za binadamu hayahusiani na hiki swali, lakini kuna mstari wa moja kwa moja kati ya matatizo haya na hii imani.
 
I disagree, if you're statement is real can you prove it with vivid reasons.
Kabla umesema Mungu ni wazo tu (imaginary)

Je kuna kitu gani kingine unaweza kuleta hapa duniani bila kuwa na wazo kwanza?

Vitu vyote vinaanza kwa wazo tu kwanza, haijalishi ni kikubwa kiasi gani leo lakini kabla lilikuwa ni wazo tu kichwani kwa fulani

Hata hii JF kuna mtu aliwaza kwanza ndiyo akaunda hii tovuti, haikutokea tu out of no where
 
Universe is infinity(based on speed of light hatujawahi kupata an edge ya mwisho), this is scientifically proven based on what we have explored as human. Let's try to be more concise what are thoughts, maan yake ni mkusajiko wa taarifa mbalimbali zinazojaribu kuleta maana. How can you compare something real from information?
 
Sasa huku ni saa nne usiku, ni lazima nilale sasa. Tukijaaliwa kesho nitaingia tena.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…