Is God Real?

Is God Real?

Mtu anaye hoji kua Mungu yupo ni wakuonewa huruma kabisa, maana amekwama kwenye ancient civilization.

Watu wametoka kwenye Imani tofauti kuanzia Hakuna Mungu- Kuna Miungu mingi- Kuna Mungu mmoja (refer safari ya wana wa Israel Mungu anadhiirisha kua ndio Mwenye Nguvu katika Miungu yote). Kweli bado watu wanahoji kuhusu uwepo wa Mungu.

Uwepo wako hapa Dunia kama mtawala wa viumbe vyote ni uthubitisho kuwa na wewe kuna mtu anaekuchunga kama ng'ombe.


Tusirudi kwenye ancient civilization.

Saiz ilibidi tujadili Dini ipi ni Sahihi? Maana zote zinasema Mungu ni mmoja
 
Kama Mungu hapimiki wala hawezi thibitika kwa namna yoyote , hii haina tofauti na kutokuwepo kabisa
Si ndio hapo, kitu hakionekani, hakipimiki, hakisikiki, wala hakishikiki wewe kama sio mpumbavu unasemajr kipo?
 
Sasa wewe na Ng',ombe mnatofauti gani? Leo wewe unamaamzi ya kumchinja ng'ombe wako, ila na wewe kuna mtu anamaamuzi ya maisha yako ufe leo au kesho.

Mfanano wako wewe na Ng'ombe. Wote hamjui mkifa roho zenu zinaenda wap? Wote hamfamu dakika mbili mbele yenu kipi kitatokea. Wote ni empty set, sema wewe kidogo unamzidi ufahamu ng'ombe ndio maana una uwezi wa kumtawala. Ila sasa kama ulivyo mzidi ufahamu Ng'ombe na kuweza kumtawala basi jua kuna viumbe ambavyo vimekuzidi ufahamu wewe. Kwaio Mungu Muumba mbingu na nchi haitaji kuthibitishwa kwa akili za Mwanadam hizi zenye kikomo nonsense. Ila kama viumbe vyake vimeweza kukutawala kweli unauwezo wa kuhoji uwepo wake????? Seriously
wewe ukifa unakwenda wapi? Thibitisha jibu lako.
 
Acha uongo energy inakuwa destroyed kwa sasa
Dunia inaloose mass kwa kiasi kidogo mno ila mass is constant. Labda kwa kiasi dogo sana maybe rocket zinazotoka, na particles zinazoondoka kupitia atmosphere kwa uchache sana ila energy cannot be destroyed in chemistry, sasa tukichoma kitu tuka collect particles zote it will weight the same before chemical reaction haijatokea.
 
Dunia inaloose mass kwa kiasi kidogo mno ila mass is constant. Labda kwa kiasi dogo sana maybe rocket zinazotoka, na particles zinazoondoka kupitia atmosphere kwa uchache sana ila energy cannot be destroyed in chemistry, sasa tukichoma kitu tuka collect particles zote it will weight the same before chemical reaction haijatokea.
energy inakuwa destroyed kwenye black hole
 
Acha uongo energy inakuwa destroyed kwa sasa
Mtoto anapokua, anapat mass kutoka kwenye chakula. Chakula kinatoka kwa mimea, wanyama. Mimea inapata mass yake kutoka:
CO2 kwa hewa, maji (H2O), madini kwenye ardhi. Still tukija kwenye fact hizo zilikuwa tayari sehemu ya dunia.

Hamna new atom mpya zinazoibuka ghafla zinahama tu from one form to another. Kwa miaka hii circle itaendelea kuwa hivi maana hadi sasa ni kiasi kidogo mno cha resource za dunia tumeweza kutumia.
 
Mtoto anapokua, anapat mass kutoka kwenye chakula. Chakula kinatoka kwa mimea, wanyama. Mimea inapata mass yake kutoka:
CO2 kwa hewa, maji (H2O), madini kwenye ardhi. Still tukija kwenye fact hizo zilikuwa tayari sehemu ya dunia.

Hamna new atom mpya zinazoibuka ghafla zinahama tu from one form to another. Kwa miaka hii circle itaendelea kuwa hivi maana hadi sasa ni kiasi kidogo mno cha resource za dunia tumeweza kutumia.
kwenye blackhole
 
Si ndio hapo, kitu hakionekani, hakipimiki, hakisikiki, wala hakishikiki wewe kama sio mpumbavu unasemajr kipo?
kuwepo kwake sio mpaka akudhiirishie kwa kumshika, kumpima, kumsikia,au kumuona, wewe nani mpaka utake kumshika? na ili iweje?

Mungu atoke aseme aya bush dokta nipime, nishike, nione n.k huyo atakuwa sio Mungu tena bali mwajuma

Mfano mimi niwepo zangu huku mbande nimejipigilia na ishu zangu watu wanataka kuniona lakini mm sitaki ndio uje useme mm sipo wala sijawai kuwepo kwasababu hujanioa wala ujanishika, wala unisikii... hata junior wa miaka 7 atakushangaa.
 
kuwepo kwake sio mpaka akudhiirishie kwa kumshika, kumpima, kumsikia,au kumuona, wewe nani mpaka utake kumshika? na ili iweje?

Mungu atoke aseme aya bush dokta nipime, nishike, nione n.k huyo atakuwa sio Mungu tena bali mwajuma

Mfano mimi niwepo zangu huku mbande nimejipigilia na ishu zangu watu wanataka kuniona lakini mm sitaki ndio uje useme mm sipo wala sijawai kuwepo kwasababu hujanioa wala ujanishika, wala unisikii... hata junior wa miaka 7 atakushangaa.
Ukisema kuna simba huko ikwiriri sio jukumu langu kuamini kwa sababu tu haujataka nimwone.
 
wewe ukifa unakwenda wapi? Thibitisha jibu lako
Sasa tathibitishaje kwa mtu asiye amini.

Mimi takujibu katika mwili wenye uthibitisho kua ukifa tunakuzika makuburini, ila kama ukifa polini basi utageuzwa kua kinyesi cha fisi, kama ni baharini basi utakua kitoe cha samaki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom