Kila kitu kina sifa zake,kwahiyo unapomzungumzia Mungu basi inabidi ukumbuke kuwa kati moja ya sifa zake ni kuumba.
Twende taratibu.
Mbona kulaumiana kumezidi zaidi ya hoja hii inamaana huwezo wenu wa kubishana kihoja umefika kimono..
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote atuumbe katika ulimwengu anbao mateso yanawezekana?
Sijaongekea starehe, nimeongekea tsunamis and Ebola.
A life guaranteed to be free of Ebola and tsunamis is not necessarily starehe.
Even if a case for starehe can be made.
But I don't expect you to get that through your head.
anataka ajue uwepo wa Mungu
Nina mashaka kama unajua kusoma.
jibu maswali ww
Hufahamu logic ni nini?
1. Uwezo wote ni kutoshindwa kitu na unapimwa kwa mantiki. Ujuzi wote ni kutokosa kujua kitu na unapimwa kwa mantiki. Upendo wote ni kilele cha upendo na kipimo chake ni mantiki.
Nani kasema uwezo, ukanilifu na upendo ndio vitu vinavyohitaji (sic) kuumba ulimwengu mkamilifu?
2. Kilichokamikika hakihitaji kuumba, kuhitaji kuumba au kuhitaji kikote ni upungufu wa ukamilifu.
3. Kughairi ni kipanga kifanya kitu na baadaye kutengua usifanye. Mwenye kujua yote anayajua mambo yote mwanzo wake na mwisho wake, hivyo hawezi kughairi, mungu anayejua yote hawezi kughairi, mungu wenu inakiwaje aghairi mioango yake kama kweli anajua yote?
4. Kukasirika ni udhaifu wa kukosa kiweza kuhimili mhamaniko baada ya kugundua kukosa kupata unachotaka, mungu mwenye kujua yote, kuweza yote na upendo wote hawezi kukasirika kwa sababu hawezi kihamanika, hawezi kujua kipya cha kumkasirisha na hawezi kugundua kwani amejua yote, huyu mungu mnayesema anakasirika anakasirikaje?
5. Fallacy kubwa zaidi ni yako ya kusema fallacy by fiat bula kuitaja iko wapi na kivipi ni fallacy.
6. Wewe muamini mungu na roho unaniuliza mimi roho ni nini?
7. Ujuzi wa mungu wenu mnavyousema si utabiri wa hali ya hewa, au inataka kusema ujuzi wa mungu wenu ni wa kubahatisha kwamba anaweza kujua mvua itanyesha halafu isinyeshe? Ikiwa akijua itanuesha lazima itanyesha, tofauti ya ujuzi wake huo na kusababisha inyeshe ni nini? Hususan kwa sababu kila kitu kinaenda kwa command yake?
8. Ama mungu anajua yote na mwanadamu bana maamuzi, ama mwanadamu ana maamuzi na mungu hajui yote. You can't eat your cake and have it too.
9. Kama kajiweka wazi kabisa, mbona mimi sioni hivyo? Mbona ana contradictions kibao kama ya mungu mjua yote, muweza yote na mwenye upendo wote kuumba ulimwengu wenye mateso na mabaya? Hujajibu hili swali.
10. Hujajibu swali, umelikimbia tu.
Kwa nini mungu kaumba?
Kwa nini mungu mwenye ujuzi wote na ukamilifu wote aone haja ya kuumba?
atajuaye uwepo wa mungu ambaye hayupo ?
maswali yepi hayajajibiwa ?
Aliyetundikwa ni mwili wa Yesu,Immanuel wa Nazareth,ila roho yake haikufa,na ndio maana alisema,mikononi mwako baba,naiweka roho yangu
Tena akamwambia yule mwizi aliyetubu kuwa,kwa hakika usiku wa leo tutakuwa wote peponi...need i say more Mr Kiranga?
God is always fair & everything happens 4 a reason,never loose hope & faith
Sijui utakuwa wa imani gani but try to read
1 Corinthians 10:13
Kwa nini mungu kaumba?
Kwa nini mungu mwenye ujuzi wote na ukamilifu wote aone haja ya kuumba?
Siwezi kubishana kihoja na mtu anayeuliza logic ni nini.
Unamuuliza mtu, imekuwaje mungu mkamilifu aone haja ya kuumba? Kuona haja ya kuumba kwenyewe tu si kukosa ukamilifu?
Mtu anakosa jibu, anskosa hoja, analeta viroja.
Mimi kama mwanadamu ama kiumbe hai nikihitaji kunywa maji ni dalili kwamba sijakamilika kwa maana bila hivyo nitasafa kwa kiu.Nikihitaji kwenda mjini maana yake nitasafiri hadi mjini hiyo ni dalili kwamba sijakamilika kwa maana ningeweza kuwa mjini wakati ule ule kama ningekuwa n uwezo wote.
Kitendo cha mungu wenu kuona haja ya kuwa na viumbe hai na kuspend dayz akiviumba ni dalili ya kutokamilika kwake kama yupo.Kwa maana ile kuwaza tu kwamba nahitaji kuwa na ulimwengu wa aina hii ama viumbe wa aina hii ni kutokamilika kwenyewe.Kwa maana hiyo kwa uumbaji mungu wenu alidhani atakamilika ndio maana alikuwa anaona kila alichokiumba ni chema.Ile kuona tu kwamba ni chema ni udhaifu tayar.
Lakini pamoja na hivyo inasemekana kwamba bado mungu wenu (kama yupo)aliona haja ya kuwaletea mkombozi!(wale wa jumapili mnamwita yesu),na mitume kwamba aje kuwakumbusha eti mungu wenu anataka mfanye nini.
Hizi ni dalili kwamba HAKUNA mungu ila ni harakati tu za mwanadamu za kutaka kumuumba mungu.
Karibuni katika ulimwengu huru.