mazojms
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,607
- 2,482
NB: Ninaandika haya kwa lengo la kutaka kujifunza, na nitafurahi kukosolewa maana ndivyo nitakavyo jifunza zaidi. Ila wale mnaokosoa lugha naomba kwenye huu uzi mnikaushie basi.
1.1 OBSERVATIONS
Jioni nilikua nimekaa sehem nikaona mtu kamrushia mwenzake ndoo, ndoo ilimpiga kichwani kwa impact kubwa sana then something odd happened, sauti ya impact nilichelewa kuisikia kuliko impact yenyewe.
_ Then i remembered a simple concept that the speed of sound is 343mps and the speed of light is 2.99e+8mps, Nikafikiria zaidi kwamba kwa kua light speed is not infinity basi my observed time of impact was also not exact. An impact occured earlier before i saw it, just like what happened with sound. Nikagundua kwamba kila event ina time mbili Say (To) and (Tr)
Where
_Observed time (To)
_Real time (Tr)
NB: Hapa nita exclude speed ya ubongo kuprocess information maana pia inaongeza (To) dilation. Nikimaanisha muda wa CONE cells katika jicho kupokea mwanga + muda wa cells kufanya transduction + muda wa kutuma taarifa kwenye ubongo na + muda wa ubongo kufanya interpretation.
_ Nikafikiria tena! kama nikianza kusafiri kwa speed ya mwanga just before the impact, in my perspective that impact will never happen (meaning (To) will never happen). But that will not change the fact that (Tr) had already happened.
_ Nikafikiria futher kwamba an observer aliye 4.6 b light years from our solar system, ataiona solar system yetu ikiwa na mwaka mmoja tu, but that won't change the fact that at that particular moment anaangalia our solar system is 4.6 b years.
1.2 CONCLUSIONS
_ Our observations does not define the reality of time.
_ (To)of an event varies depending on the position and speed of an observer.
_ (Tr) is not affected by an observer.
_ (Tr)of an event is the same everywhere in the universe.
As far as those conclusions are concerned, that phenomenon(event) happened at the same time(Tr) everywhere in the universe, regardless of the time the phenomenon was observed(To).
2. IS SPECIAL RELATIVITY THEORY VALID?
_ If my observations and conclusions somehow make sense then nimepata wasiwasi na uhalali wa Special relativity theory hasa kwenye time dilation. Unless kutakua na maelezo ambayo nayaitaji ili niondoe huu utata.
- Special relativity theory is mainly based on observations, Einstein anapoelezea kuhusu time dilation anaelezea kuhusu (To) dilation na sio (Tr) dilation. As i mentioned earlier (Tr) of an event is the same everywhere in the universe.
4. THE CONCEPT OF TIME & POSIBILITY OF TIME TRAVEL
- Time is the series of events that define our existance. Hatuwezi kuuona muda lakini tunacho experience ni kupita kwa muda, kwamba kila muda jana inakua leo na leo inakua kesho, na tunahisi hivyo sababu leo inatofautiana na jana.
- Think of a movie with 24 fps, where each frame is a still picture that explains what happened at a paticular time in a movie. Nitatumia hii idea ya muda katika movie na frames kuelezea muda katika universe.
- In the universe a frame is like a still picture of the universe at a particular moment, na kila frame inajumuisha events zote zilizotokea ulimwenguni at a particular moment. Yani at the moment umesoma moment a number of events have also occured in the universe.
- To experience the flow of time in the universe, frames have to influence one another just like in the movie. And since we are all part of the universe hakuna namna tutaweza kuskip frames either kuelekea future wala kurudi past.
Na kama ikitokea ukarudi nyuma ya muda miaka 10 the universe will also go back the same 10 years with you(Remember! you are part of the universe) na utaishi maisha uliyoyaishi tayari bila kubadili kitu (the whole universe will have a 10yrs deja vu).
- Endapo (Tr) dilation itatokea kwa namna yeyote inamaanisha the whole universe will delay, as we are all part of the universe, so whatever time does to you will also be done to the universe. Hence the twin paradox is imposible.
5. LIST OF ABBRIVIATIONS
mps = Meter per second
fps = Frames per second
b = Billion
e+8 = ×100000000
Tr = Real time
To = Observed time
1.1 OBSERVATIONS
Jioni nilikua nimekaa sehem nikaona mtu kamrushia mwenzake ndoo, ndoo ilimpiga kichwani kwa impact kubwa sana then something odd happened, sauti ya impact nilichelewa kuisikia kuliko impact yenyewe.
_ Then i remembered a simple concept that the speed of sound is 343mps and the speed of light is 2.99e+8mps, Nikafikiria zaidi kwamba kwa kua light speed is not infinity basi my observed time of impact was also not exact. An impact occured earlier before i saw it, just like what happened with sound. Nikagundua kwamba kila event ina time mbili Say (To) and (Tr)
Where
_Observed time (To)
_Real time (Tr)
NB: Hapa nita exclude speed ya ubongo kuprocess information maana pia inaongeza (To) dilation. Nikimaanisha muda wa CONE cells katika jicho kupokea mwanga + muda wa cells kufanya transduction + muda wa kutuma taarifa kwenye ubongo na + muda wa ubongo kufanya interpretation.
_ Nikafikiria tena! kama nikianza kusafiri kwa speed ya mwanga just before the impact, in my perspective that impact will never happen (meaning (To) will never happen). But that will not change the fact that (Tr) had already happened.
_ Nikafikiria futher kwamba an observer aliye 4.6 b light years from our solar system, ataiona solar system yetu ikiwa na mwaka mmoja tu, but that won't change the fact that at that particular moment anaangalia our solar system is 4.6 b years.
1.2 CONCLUSIONS
_ Our observations does not define the reality of time.
_ (To)of an event varies depending on the position and speed of an observer.
_ (Tr) is not affected by an observer.
_ (Tr)of an event is the same everywhere in the universe.
As far as those conclusions are concerned, that phenomenon(event) happened at the same time(Tr) everywhere in the universe, regardless of the time the phenomenon was observed(To).
2. IS SPECIAL RELATIVITY THEORY VALID?
_ If my observations and conclusions somehow make sense then nimepata wasiwasi na uhalali wa Special relativity theory hasa kwenye time dilation. Unless kutakua na maelezo ambayo nayaitaji ili niondoe huu utata.
- Special relativity theory is mainly based on observations, Einstein anapoelezea kuhusu time dilation anaelezea kuhusu (To) dilation na sio (Tr) dilation. As i mentioned earlier (Tr) of an event is the same everywhere in the universe.
4. THE CONCEPT OF TIME & POSIBILITY OF TIME TRAVEL
- Time is the series of events that define our existance. Hatuwezi kuuona muda lakini tunacho experience ni kupita kwa muda, kwamba kila muda jana inakua leo na leo inakua kesho, na tunahisi hivyo sababu leo inatofautiana na jana.
- Think of a movie with 24 fps, where each frame is a still picture that explains what happened at a paticular time in a movie. Nitatumia hii idea ya muda katika movie na frames kuelezea muda katika universe.
- In the universe a frame is like a still picture of the universe at a particular moment, na kila frame inajumuisha events zote zilizotokea ulimwenguni at a particular moment. Yani at the moment umesoma moment a number of events have also occured in the universe.
- To experience the flow of time in the universe, frames have to influence one another just like in the movie. And since we are all part of the universe hakuna namna tutaweza kuskip frames either kuelekea future wala kurudi past.
Na kama ikitokea ukarudi nyuma ya muda miaka 10 the universe will also go back the same 10 years with you(Remember! you are part of the universe) na utaishi maisha uliyoyaishi tayari bila kubadili kitu (the whole universe will have a 10yrs deja vu).
- Endapo (Tr) dilation itatokea kwa namna yeyote inamaanisha the whole universe will delay, as we are all part of the universe, so whatever time does to you will also be done to the universe. Hence the twin paradox is imposible.
5. LIST OF ABBRIVIATIONS
mps = Meter per second
fps = Frames per second
b = Billion
e+8 = ×100000000
Tr = Real time
To = Observed time