Is aristocracy gone? (are we aristocratic or democratic?)

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,011
9,879
Sijui maana ya neno Aristocracy kwa Kiswahili, lakini kama nitalielezea nitasema linamaanisha utawala wa kurithishana. Akitoka baba anatawala mtoto na kuendelea.

Nimeangalia dunia nzima kwa ukaribu nimeona masuala ya familia zilizoko kwenye uongozi kubaki kwenye uongozi ni kubwa sana, achana na utawala wa malkia.

Kwa nchi za kiafrika ndio shida kubwa zaidi kwa jina la hicho kinachoitwa democracy, watoto wa masikini au wasio na connection na damu ya kiutawala, ni aghalabu sana kuingia katika nafasi za juu za kiutawala au kiuongozi. Wengi wao huanza kama wanaharakati, wakapigana na polisi ndipo hujipatia umaarufu wao kisiasa na kuja kwenye game, mifano mnayo.

Je democracy iko wapi kama aristocracy inaendelea kushika hatamu ya siasa nyingi za dunia yetu.

Kwa nchi za kiafrika utaona kama mtoto asipokuwa rais basi ukuu wa wilaya, ubunge nk utamuhusu. Na hata sasa tunazijua baadhi ya familia ambazo zina misingi mizuri kiutawala na kiuongozi.

Are we democratic or aristocratic?
Kwa wenzetu Kenya iko wazi…Kenyatta, then Kenyata. Kule Kongo alikuwa Kabila baadae akaja Kabila. Hapa bongo mnawajua kina nanii.

#Ends
 
Kenyetta hakurithishwa madaraka, alichaguliwa na wananchi kama alivyochaguliwa Bush na wengine ambao baba zao waliwahi kushika nyadhifa..kwamba sisi tunafuata mfumo gani wa siasa nenda uka google kama upo nje ya Afrika.
 
Demokrasia ya Tanzania ilikuwa imefika mbali sana kabla ya mwaka 2015, then ikaaza kurudi nyuma kwa kasi ya ajabu, hata Uganda wanatushinda
 
Are we democratic or aristocratic?
Kwa wenzetu Kenya iko wazi…Kenyatta, then Kenyata. Kule Kongo alikuwa Kabila baadae akaja Kabila. Hapa bongo mnawajua kina nanii.
Dunia nzima kuna kitu kinaitwa polical dynasty.
Kwa US kuna Kenedies na Bushes, Kulikuwa na George Bush snr akaja George Bush jnr.

India Kuna Mahtma Gadhi, akaja binti Indira Gadhi, akaja mtoto Ranjiv Gadhi, then mkwe Sonia na wote waliuwawa!.

Kenya Kuna Jomo Kenyatta na nwanae Uhuru Kenyatta. DRC tulikuwa na Kabila, Zanzibar tuna Karume alianza baba Abed Amani Karume, akafuatiwa na mtoto Amani Abedi Karume, sasa mdogo mtu Ali Amani Karume yuko njiani huku binti Fatma Karume a.k.a shangazi akiwa njiani kusimama upinzani。

Huku bara tuna tuna Mwinyi , Kikwete

InternationalEdit
  • In Canada, Prime Minister Justin Trudeau is the son of the late Pierre Trudeau, who also served as prime minister.
  • The French Front National Party is led by Marine Le Pen, who succeeded her father Jean-Marie Le Pen in early 2011.
  • Uhuru Kenyatta has been president of Kenya since 2013. He is the son of Jomo Kenyatta, the first president of the Republic of Kenya, who left office in 1978.
  • In Latvia, Guntis Ulmanis, who served as president from 1993 to 1999, is the grandnephew of Kārlis Ulmanis, who also served as president.
  • Landsbergis of Lithuania: Vytautas Landsbergis, leader of the State in 1990-1992, is the son of Vytautas Landsbergis-Žemkalnis, a member of the government in the 1940s. Grandson Gabrielius Landsbergis is current leader of the Conservative Party. Another ancestor, Jonas Jablonskis, was an independence activist.
  • In India, three members of the Nehru-Gandhi family (Jawaharlal Nehru, Indira Gandhi and Rajiv Gandhi) have served as Prime Minister of India.
  • In Portugal: the minister of welfare state is married with a member of parliament involved in a scandal related with an ONG financed by the welfare state; The daughter of the same minister is the presidency minister; The interior minister is married with the sea minister; the justice minister husband was nominated for a public commission by a co-minister.
  • In Singapore , Prime Minister Lee Hsien Loong is the son of the first Prime Minister of Singapore Lee Kuan Yew.
Huku Africa, tuna marais 6 ambao baba zao walikuwa rais, watoto wao wakaja kuwa rais.
tukianza kwa Omar Bongo Ondimba wa Gabon from 1967 until his death in 2009. That same year, his son Ali Bongo Odimba akampokea.

Faure Gnassingbé wa Togo na mwanae Gnassingbé Eyadéma. Laurent-Désiré Kabila na mwanae Joseph Kabila. Jomo Kenyatta wa Kenya na mwanae Uhuru Kenyetta, Seretse Khama wa Botwana na mwanae Ian Khama.
Seewoosagur Ramgoolam, wa Mauritius na mwanae Navin Ramgoolam.

Rais Karume hatajwi kwasababu Baba yake Abedi Amani Karume ndie alikuwa rais kweli wa Zanzibar, lakini Amani Abedi Karume hakuwa Rais wa nchi bali wa sehemu tuu kwa sababu sasa Zanzibar sio nchi.
P
 
Dunia nzima kuna kitu kinaitwa polical dynasty.
Kwa US kuna Kenedies na Bushes, Kulikuwa na George Bush snr akaja George Bush jnr.

India Kuna Mahtma Gadhi, akaja binti Indira Gadhi, akaja mtoto Ranjiv Gadhi, then mkwe Sonia na wote waliuwawa!.

Kenya Kuna Jomo Kenyatta na nwanae Uhuru Kenyatta. DRC tulikuwa na Kabila, Zanzibar tuna Karume alianza baba Abed Amani Karume, akafuatiwa na mtoto Amani Abedi Karume, sasa mdogo mtu Ali Amani Karume yuko njiani huku binti Fatma Karume a.k.a shangazi akiwa njiani kusimama upinzani。

Huku bara tuna tuna Mwinyi , Kikwete

InternationalEdit
  • In Canada, Prime Minister Justin Trudeau is the son of the late Pierre Trudeau, who also served as prime minister.
  • The French Front National Party is led by Marine Le Pen, who succeeded her father Jean-Marie Le Pen in early 2011.
  • Uhuru Kenyatta has been president of Kenya since 2013. He is the son of Jomo Kenyatta, the first president of the Republic of Kenya, who left office in 1978.
  • In Latvia, Guntis Ulmanis, who served as president from 1993 to 1999, is the grandnephew of Kārlis Ulmanis, who also served as president.
  • Landsbergis of Lithuania: Vytautas Landsbergis, leader of the State in 1990-1992, is the son of Vytautas Landsbergis-Žemkalnis, a member of the government in the 1940s. Grandson Gabrielius Landsbergis is current leader of the Conservative Party. Another ancestor, Jonas Jablonskis, was an independence activist.
  • In India, three members of the Nehru-Gandhi family (Jawaharlal Nehru, Indira Gandhi and Rajiv Gandhi) have served as Prime Minister of India.
  • In Portugal: the minister of welfare state is married with a member of parliament involved in a scandal related with an ONG financed by the welfare state; The daughter of the same minister is the presidency minister; The interior minister is married with the sea minister; the justice minister husband was nominated for a public commission by a co-minister.
  • In Singapore , Prime Minister Lee Hsien Loong is the son of the first Prime Minister of Singapore Lee Kuan Yew.
Huku Africa, tuna marais 6 ambao baba zao walikuwa rais, watoto wao wakaja kuwa rais.
tukianza kwa Omar Bongo Ondimba wa Gabon from 1967 until his death in 2009. That same year, his son Ali Bongo Odimba akampokea.

Faure Gnassingbé wa Togo na mwanae Gnassingbé Eyadéma. Laurent-Désiré Kabila na mwanae Joseph Kabila. Jomo Kenyatta wa Kenya na mwanae Uhuru Kenyetta, Seretse Khama wa Botwana na mwanae Ian Khama.
Seewoosagur Ramgoolam, wa Mauritius na mwanae Navin Ramgoolam.

Rais Karume hatajwi kwasababu Baba yake Abedi Amani Karume ndie alikuwa rais kweli wa Zanzibar, lakini Amani Abedi Karume hakuwa Rais wa nchi bali wa sehemu tuu kwa sababu sasa Zanzibar sio nchi.
P
Nimependa huo msamiati, Political Dynasty.

Hauoni kuwa hii inaonyesha kuwa dunia bado iko kwenye aristocracy, au tuiite OLIGARCHY
 
Back
Top Bottom