Is April 13, 2036 End of World?

Some of the events proposed to come together
on the winter solstice, 21 December 2012:
On that morning, the Earth and Sun will align with the "Dark Rift"
near the Galactic Center. This event last happened about 25,800
years ago.
The magnetic poles of the Earth may reverse, leaving us
unprotected from cosmic radiation for a time. The effect of magnetic
fields on human creativity, initiative, mood, etc., is still unknown.
There will be a Venus Transit, an eclipse‐type alignment when
Venus crosses between Earth and the Sun. We witness a pair of
these about once a century: the last few were 1518 & 1526; 1631 &
1639; 1761 & 1769; 1874 & 1882; 2004 & then on 6 June 2012.
NASA predicts an unusually powerful "Solar Maximum" (sunspot
season) for 2012 (though it may peak as early as late 2011). This
happens every 11 years, and disrupts satellite and other
electromagnetic communications.
The usual disasters loom: food shortages, cataclysmic storms due to
global warming, gasoline prices going through the roof, looming
chaos in the Middle East – site of Biblical Armageddon and Eden –
which will disrupt oil production and bring civilization to a grinding
halt (some like to call it Mess‐o'‐potamia).
 
What is supposed to happen in 2012?

Four predictions

1. "An imminent polar reversal that will wipe our hard drives clean."
Daniel Pinchbeck

2. "The rare celestial alignment of our solar system, our sun, and
our planet with the center of our galaxy-an event that will
not happen again for another 26,000 years."
Gregg Braden

3. The "dawning of a Wisdom Age … standing on the shoulders of
the Information Age."
Peter Russell

4. "The December 21, 2012, date will likely be a "nonevent" similar to
… the widely anticipated Y2K phenomenon."
Robert K. Sitler
 
maneno mbofumbofu, huo mwisho wala hamtajua ukifika'wasubiri tuu, hao nao wamekosa kazi za kufanya
 
maneno mbofumbofu, huo mwisho wala hamtajua ukifika'wasubiri tuu, hao nao wamekosa kazi za kufanya
mkuu kuna tafiti zimefanyika ni vyema kuzisoma tu ili kuongeza maarifa, nina utafiti huo lakini napata shida kuuweka hapa nitakuwa naweka vipande...
 
hapa kuna jambo lakuangalia:
____________________________
Cultures worldwide suffer cycles of Rise and Fall. But
those in Mesoamerica apparently lived in a more fragile
environment; when they fell, they fell hard. Unlike Rome,
Baghdad, and other Old World cities who rebuilt after a
collapse, most of the great Mesoamerican capitals were​
completely abandoned after their respective Falls.
 
Hawa watu wanatafuta kula tu, mbona hawafanyi utafiti wa kuzuia ndege zisianguke?? Nafikiri hawa wamesoma political science sasa inaelekea kukosa soko.
 
acheni hizo? utabiri wowote wa mwisho wa dunia lazima um-refer Mungu, aliyeumba mingu na nchi, huu unaohusisha civilization na culture za watu tena wasiojua hata maneno ya Mungu ni wizi mtupu...
 
Sasa kama mwisho wa dunia utakua 2012 hio movie wana-act ya nini? Kwanini wasisubirie tukauona huo mwisho wenyewe live badala ya kuuigiza (act). Indeed, kama mwisho wa dunia utakua 2012 hizo hela watakazozipata baada ya kuact hio movie watazipeleka wapi? manake naamini kwamba by 2012 watakua bado hawajazimaliza...! Je mtu atakae kufa kesho au keshokutwa atakua bado hajaona mwisho wa dunia au?

Mimi naamini mwisho waduni ni siku ambayo mtu unakufa kivyako vyako, hakuna siku hata moja ambayo dunia yooote itaishia kwa wakati mmoja kwani woote hatukuja kwa siku moja na hatuwezi kuondoka kwa siku moja...! Infact huo ni utabiri tu, na hatulazimiki kukubaliana na utabiri...!

Waambie watumie logic kidogo tu, haiitaji kwenda shule kujua haya...!
 
Msiwe wajinga, yesu ( Kwa wanaomuamini) kuwa hakuna ajue siku, wakati wala saa atakayorudi mwana wa adamu.
 
Hata wasomi wenye akili sana ufika kipindi wakadanganyika na hizi myth, ngano za watu wa kale.
 
...never mind bro, was only pulling your leg.

...hapo kwenye picha ndiyo mimi, nilipigwa picha na mwalimu wangu ambaye baada ya kufundisha alikuwa ana double kama mpiga picha wa kijiji chetu cha ujamaa na kujitegemea, jina kama sijasahau alikuwa anaitwa Mkude. Alinipiga darasani picha hiyo baada ya kupasi kwa maksi za juu sana kwenye mtihani wa sayansi kimu nilipokuwa darasa la tano!!! :D
Mkuu kwa kasi uliyokuwa nayo darasani kama hawa kukuchaguwa kuwa monita wa darasa, basi watakuwa wamefanya ufisadi mkubwa walimu wako. lol!
 
Tafadhali soma na fikiri, kuna movie inatoka this year November na yenyewe inazungumzia huu utabiri...

haha..Haya ni yale yale ya Kibwetere na mwaka 2000 mwisho wa dunia sasa hivi tupo 2009 tunakula kuku tuuu
 
Ni kweli, Maana wanafanya study na kupredict vitu ili wajustify use of fund. Mfano mwingine huu https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/17169-is-april-13-2036-end-of-world.html
Kweli maneno yako, maana fund zipo wazi wazi ni jinsi tu ya kuweza kujuwa utazitumia vipi. Maana mashirika ya kutoa haya mapesa yameshikiliwa na mijitu yenye kuogopa kufa kama nini sijui, sasa wakija wataalam na kuwaambia kuwa 2012 kuna uwezekano wa dunia kukosa michanga maana michanga yote itahama kutoka duniani na kuelekea sayari ya Pluto. Watatoa mabilioni ya dola kufanyia research na kutafuta uwezekano wa kuzuiya hiyo michanga isihame.
 
Mkuu;

habari yako haina sources wala vionjo vya kutusaidia kuelewa.

Of course kilicho na Mwanzo kina mwisho.
 
Back
Top Bottom