GM7
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 492
- 24
Mimi naamini BibliaWewe unasemaje? unaamini lipi? vyombo vya habari au Bible?
Mimi naamini BibliaWewe unasemaje? unaamini lipi? vyombo vya habari au Bible?
Siku za mwisho kutatokea manabii wa uongo nao watahubiri kwa kutumia jina langu (yesu) Jihadharini na watu wa hawa
Na kati ya hao manabii kuna manabii wa kweli pia, kwa hiyo unatakiwa uwe na roho wa Mungu ili kutofautisha wa Mungu na Shetani. hapo sasa ndo unatakiwa uwe unamjua Mungu na neno lake kiasi cha kutosha
Kinachoshtua ni kwamba hawa wamekwenda mbali zaidi kwa kuweka mabango (sehemu mbalimbali including hapa Dar!) na kutaja tarehe specific.
Wakati nasoma hiyo link hapo juu, kuna kitu kimenishangaza sana. Wanasema Yesu(Christ) alizaliwa 7 BC (I thought BC stands for Before Christ!).
Wakati nasoma hiyo link hapo juu, kuna kitu kimenishangaza sana. Wanasema Yesu(Christ) alizaliwa 7 BC (I thought BC stands for Before Christ!).