Is a computer 100% digital?

Slm

Senior Member
Jan 26, 2011
103
4
Jamani wana Jf ,je ni kweli computer ni hundred percent digital au asilima nyingine ni analog?
 
All the well known Computers are Hybrid meaning that they are the combination of both Digital and Analog.
 
hapana computer sio 100% digital, someparty ni analog chukua mfano wa tv

Japo sijakuelewa vizuri nin maana ya computer unavoijua wewe,

Ila ninavojua mimi TV ni display device ambayo ni Hybrid pia kwa maana kwamba inasapot vyote vivili(Analog na Digital), Ikiletewa signal za analog itarespond , na pia kwa signal za digital itarespond.

la Quality ndo inatofautiana.
 
inategemea unamaanisha nini unavyosema computer. generally computer inasehemu nne

1. CPU (processing unit) : mara nyingi hii ni digital 100%
2. MEMORY: Hii RAM,ROM na Flash huwa 100% digital wakati harddisks, external disks, flopy disks na storage nyingine huwa analog
3. INPUT DEVICES: hizi mara nyingi huwa 50% digital kwa sababu kazi yake ni kubadili analog signal kuwa digital signal
4. OUTPUT DEVICES: hizi pia huwa 50% digital kwa sababu kazi yake ni kubadili digital signal kuwa analog.

zote kwa pamoja ndio zinatengeneza computer

CPU na MEMORY ndio zinatengeneza lile box kubwa ambalo watu wengi ndio wanaliita computer.

INPUT DEVICES mfano wake ni keyboard na microphone

OUTPUT DEVICES mfano wake ni monitor na printer na speakers
 
inategemea unamaanisha nini unavyosema computer. generally computer inasehemu nne

1. CPU (processing unit) : mara nyingi hii ni digital 100%
2. MEMORY: Hii RAM,ROM na Flash huwa 100% digital wakati harddisks, external disks, flopy disks na storage nyingine huwa analog
3. INPUT DEVICES: hizi mara nyingi huwa 50% digital kwa sababu kazi yake ni kubadili analog signal kuwa digital signal
4. OUTPUT DEVICES: hizi pia huwa 50% digital kwa sababu kazi yake ni kubadili digital signal kuwa analog.

zote kwa pamoja ndio zinatengeneza computer

CPU na MEMORY ndio zinatengeneza lile box kubwa ambalo watu wengi ndio wanaliita computer.

INPUT DEVICES mfano wake ni keyboard na microphone

OUTPUT DEVICES mfano wake ni monitor na printer na speakers


exactly thisthis is what we say we have a home of great thinkers. Thanx kwa hizo data nadhani nitazitumia kikamilifu ndugu..
 
inategemea unamaanisha nini unavyosema computer. generally computer inasehemu nne

1. CPU (processing unit) : mara nyingi hii ni digital 100%
2. MEMORY: Hii RAM,ROM na Flash huwa 100% digital wakati harddisks, external disks, flopy disks na storage nyingine huwa analog
3. INPUT DEVICES: hizi mara nyingi huwa 50% digital kwa sababu kazi yake ni kubadili analog signal kuwa digital signal
4. OUTPUT DEVICES: hizi pia huwa 50% digital kwa sababu kazi yake ni kubadili digital signal kuwa analog.

zote kwa pamoja ndio zinatengeneza computer

CPU na MEMORY ndio zinatengeneza lile box kubwa ambalo watu wengi ndio wanaliita computer.

INPUT DEVICES mfano wake ni keyboard na microphone

OUTPUT DEVICES mfano wake ni monitor na printer na speakers

how about signals coming out from the CPU i mean the motherboard to the monitor(displaying screen) are they digital or analog, from there you will get the really picture abt this
 
Nadhani kuna watu wanachanganya analog na mechanical, floppy na harddrive ni mechanical lakini pia ni digital same for dvd drive.
 
Jamaa kauliza swali zuri sana kuhusiana na signals zinatoka kwenye CPU znaenda kwenye Monitor na zenyewe ni Analog ama ni Digital??
 
Inategemea na monitor
VGA (majority ni hizi screen kubwa CRT) ni analog so data inakuwa converted to analog kabla ya kupelekwa kwenye monitor.
DVI ni digital au kuna ambazo zinaaccept both digital and analog.
 
how about signals coming out from the CPU i mean the motherboard to the monitor(displaying screen) are they digital or analog, from there you will get the really picture abt this

signals coming out of the CPU are always digital.....the monitor has a device inside it, to convert the digital to analog.
 
Jamaa kauliza swali zuri sana kuhusiana na signals zinatoka kwenye CPU znaenda kwenye Monitor na zenyewe ni Analog ama ni Digital??

Labda tujue kwanza analog signal ni zipi na digital signal ni zipi!
Analog signal ni zile ambazo wewe mwanadamu unawasiliana nazo, mfano, sauti, rangi, nk.
Digital ni zile ambazo computer inatumia kuwasiliana na vifaa vingine vyakwake, kama hicho kifaa kinatoa analog signal, itabidi tuweke analog to digital convetor, mf microphone, na compute hutoa na kuprocess digital signal tu, (0's & 1's).
Ambazo wewe huwezi kuelewa wala kuzinyambulisha!
Swali: mbona tunasikiliza muziki kutoka kwenye computer?
Jibu: pale kuna digital to analog convetor, hivyo kukufanya wewe upokee analog signal ndizo unazozielewa!
Conclusion: a computer is not 100% digital, since it will not interact with enviroment which gives analog signal.
But a digital device since all processes done in it are in digital format (0's and 1's).
Thank you!
 
Computer ni digital thts why inahitajika modem ku-modulate analog signal to digital. Jaribu kuangalia hilo maana signal angani huja kwa njia ya wave ambayo ndo analog na inapofika kwenye modem hubadirika na kuwa on na off ambayo ndo digital signal na huwa tayari kutumika ktk cmptr.
 
Duh kweli hapa ni hm kwa ma great thinker
nawakubal sana kwa kuendelea kutujaza maujanja.
 
Back
Top Bottom