Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Siwezia amini amini km Mwananchi wanaweza kuwa irrespoonsible kiasi hiki.Ponda si mtu w akufanyia mizaha au kumpa coverage kiasi hiki.Pamoja na kwamba yaliyomtokea yana maswali nchi nzima ila kauliza zake za nyuma na harakati zake si sahihi kwa amani ya nchi na uhuru wa wengine ktk taifa letu.
Walichoandika Mwananchi ni kuanza andika views zake na mambo fulani yanayoleta uhalali wa ponda ktk mambo yake na hivyo kumfanya popular na public figure.Sasa hivi mtakuw ana wakati mgumu sana kuchambua yale mavu ya Ponda na haki yake.
Mwananchi wameingia line vibaya,tena bila kuwa responsible kwa nchi yetu.Gazeti lenye ushawishi na coverage kubwa km Mwananchi halafu linakosa weledi kiasi hiki ni hatari kwa nchi.Siamini mhariri kashindwa kusema ilipovunjwa haki imhusuyo Ponda, na Direction aliyoelekea Ponda na Mambo hatari sana anayochezea Ponda.Mwananchi wameamua kutumika, na siku zinavyokwenda hawa fanatics watawa program waandishi, na wahariri uchwara wanaopata umaarufu kuliko uwezo wao.Kwa walioona wenzetu walivyo fanya ktk kushughulikia suala zima la Osama kuanzia kifo hadi kuzikwa kwake wataona wenzetu walivyokuwa wakichagua hata jinsi ya kutoa taarifa za mikanda yake, na jinsi ya kumzika na wapi pa kumzika ili wasijikute wakitumiak kufikisha ujumbe.
Mwananchi hawajui kuwa kufikisha tarifa kipuuzi za kila anachosema ponda, kila kinachompata, basi ipo siku Ponda atatumia magazeti, TV, na radio za wananchi walewale ambao Ponda anataka watoweke.Ili kutangazia wafuasi wake wafanye nini kwa muda gani, na wanfanyie nani, na vipi washinikize kiongozi wao aachiwe.
Siamini kuwa Gazeti km mwananchi limeshindwa kuwa na wataalamu wa nyanja nyingi , hata kuchmbua habari huku wakihakikisha usalama na maslahi ya nchi ynalindwa wamekosa kabisa.Najua kuwa Gazeti lao lingine la sport starehe nalo huwa linaandika habari kwa fikra za waaandishi, tofauti na habari husika ilivyoandikwa ktk internet ila hiili ni more serious.
Kama akina mama walivyopata nafasi ya work from the comfort of their house ktk "WORK FROM HOME MODEL", MWANANCHI WAMEMPA PONDA NAFASI YA KUFANYA AT THE COMFORT OF HIS HOSPITAL BED.......kweli ponda kichwa.Fools can work better tha i...d..i..o.t.s.Wajasiria mali, mashujaa wetu ktk taasisi za kiraia, na wanasiasa makini hawana coverage hata ktk space ndogo ktk inside pages.Terrorist ana fron page ya kutoa maoni yake.tena maoni km ya kizembe km Masuper star wa dunia.
Walichoandika Mwananchi ni kuanza andika views zake na mambo fulani yanayoleta uhalali wa ponda ktk mambo yake na hivyo kumfanya popular na public figure.Sasa hivi mtakuw ana wakati mgumu sana kuchambua yale mavu ya Ponda na haki yake.
Mwananchi wameingia line vibaya,tena bila kuwa responsible kwa nchi yetu.Gazeti lenye ushawishi na coverage kubwa km Mwananchi halafu linakosa weledi kiasi hiki ni hatari kwa nchi.Siamini mhariri kashindwa kusema ilipovunjwa haki imhusuyo Ponda, na Direction aliyoelekea Ponda na Mambo hatari sana anayochezea Ponda.Mwananchi wameamua kutumika, na siku zinavyokwenda hawa fanatics watawa program waandishi, na wahariri uchwara wanaopata umaarufu kuliko uwezo wao.Kwa walioona wenzetu walivyo fanya ktk kushughulikia suala zima la Osama kuanzia kifo hadi kuzikwa kwake wataona wenzetu walivyokuwa wakichagua hata jinsi ya kutoa taarifa za mikanda yake, na jinsi ya kumzika na wapi pa kumzika ili wasijikute wakitumiak kufikisha ujumbe.
Mwananchi hawajui kuwa kufikisha tarifa kipuuzi za kila anachosema ponda, kila kinachompata, basi ipo siku Ponda atatumia magazeti, TV, na radio za wananchi walewale ambao Ponda anataka watoweke.Ili kutangazia wafuasi wake wafanye nini kwa muda gani, na wanfanyie nani, na vipi washinikize kiongozi wao aachiwe.
Siamini kuwa Gazeti km mwananchi limeshindwa kuwa na wataalamu wa nyanja nyingi , hata kuchmbua habari huku wakihakikisha usalama na maslahi ya nchi ynalindwa wamekosa kabisa.Najua kuwa Gazeti lao lingine la sport starehe nalo huwa linaandika habari kwa fikra za waaandishi, tofauti na habari husika ilivyoandikwa ktk internet ila hiili ni more serious.
Kama akina mama walivyopata nafasi ya work from the comfort of their house ktk "WORK FROM HOME MODEL", MWANANCHI WAMEMPA PONDA NAFASI YA KUFANYA AT THE COMFORT OF HIS HOSPITAL BED.......kweli ponda kichwa.Fools can work better tha i...d..i..o.t.s.Wajasiria mali, mashujaa wetu ktk taasisi za kiraia, na wanasiasa makini hawana coverage hata ktk space ndogo ktk inside pages.Terrorist ana fron page ya kutoa maoni yake.tena maoni km ya kizembe km Masuper star wa dunia.