Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,808
- 11,973
Iringa: Katibu wa Taasisi ya CINT, Innocent Nganyagwa polisi wamkamata Innocent Nganyagwa, adhalilishwa na kuimbishwa nyimbo za reggae ili aachiliwe huru. Baadaye wakamuachi kwa kile kilichodaiwa wamekosea kumkamata, sio yeye alikuwa anatafutwa.