Nami narudi.Si kwa sifa hizi.Narudi nianze kufanya biashara ya mikusu na mifudu.No way!Utajiri huu!😂😂😂😂Naumga mkono hoja
Kuna mji unaitwa Kagera ?Dodoma ni level nyingine kabisa..
Iringa level yake ni kagera na sumbawanga..
Sijui mbeya, Dom, arusha, Tanga hapo hakuna jiji hata moja zote ni manispaa zilizochangamka😂😂😂
Siasa ni mbaya sana mkuu.
Ni wapumbavu.Dom wengi wanapakataa sijui kwanini!
😂😂😂 yanatakiwa yavuliwe hadhi ya jiji wabaki level moja na wakina sumbawanga na ujiji kigoma.Sijui ilikuwaje ikapewa jiji 🤣🤣 aise hizi siasa, basi tu 🤣🤣
Sijui ilikuwaje ikapewa jiji 🤣🤣 aise hizi siasa, basi tu 🤣🤣
Achana nao hao mimi nipo iringa hakuna kitu kuna mtu anaifananusha moshi mjini na iringa mjini huwezi kbsa kbsa kuifanya iringa mjini kuwa kama moshiKuna Watu wapo rigged sana. Yaani Dodoma ulinganishe na Iringa.
Kuna residential area Iringa unayoweza kulinganisha na Kisasa au Uzunguni Dodoma?
Kuna hotel gani Iringa unayoweza kulinganisha kihadhi na Morena, Rafiki hotel?
Je, airport ya Iringa unaweza kulinganisha na ya Dodoma?
Stand kuuu ya mabasi Iringa unaweza kulinganisha na ya Dodoma?
Maeneo ya starehe yanaweza kulinganisha na ya Dodoma?
Urefu wa barabara zilizotiwa lami unaweza kulinganisha na Iringa.
Kuna taa za barabarani maeneo ya Kisasa, Ilazo, nk
Uwezo wa kufifika wa Dodoma. Dodoma kuna mabasi yanayoanzia safari zake kuelekea Dar, Arusha, Mbeya, Tunduma,
Mwanza, Kigoma, Bukoba, Songea. Hii ina maana idadi ya abiria ni kubwa sana hence uchumi unaoletwa na biashara ya usafiri ni mkubwa sana.
Ni kweli Iringa ni mji mzuri lakini bado mdogo sana.
Arusha hapo inakuwa ya kwanza then mbeya then Dodoma Tanga badoUkitoa Jiji la mwanza na jiji la dar yanajulikana ni majiji makubwa in tanzania.
Je kati ya haya yaliyosalia ni jiji lipi kubwa na bora? Mbeya, Dom, Arusha, Tanga, na bila kuusahau mji wa Iringa japo sio jiji??
ngosha wa mwanza
Kitombile
Arusha hapo inakuwa ya kwanza then mbeya then Dodoma Tanga bado
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌 misasatiNami narudi.Si kwa sifa hizi.Narudi nianze kufanya biashara ya mikusu na mifudu.No way!Utajiri huu!😂😂😂😂