Iringa ni pazuri kuliko Dodoma

Iringa ni pazuri kuliko Dodoma

Mr Chromium

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2020
Posts
2,760
Reaction score
3,858
Kiufupi haka kamji kamejengeka vizuri.

Kuna haja ya kupewa jiji sasa!
Ingawa Iringa iko concetraced at center lakini kuna uzuri ambao hauko sehemu nyingine.

Kwanza pale town center hapana vumbi hata moja wamesakafia hadi pembeni aisee nilipita nilishaangaa

Pili inasehemu kubwa ya mji tofauti na Dodoma.

Checki baadhi ya sehemu za Iringa zilizotulia.

IMG_3040.jpg
 
Back
Top Bottom