Lowasa hakuwa abiria wala dereva wa hilo basi.
Hebu lete habari ya ukweli hatutaki kujaza JF hizi longo longo
Nadhani wewe umechanganyikiwa. Unasema Iringa kimenuka then unasema yametokea Mbeya jana. Lipi ni lipi?
Hakuna sababu ya kuwashikilia wote kwa wakati mmoja na kama kuna suspect wange inspect na kuacha waendelee.ni kosa kumchelewesha abiria jwa saa moja bila sabb ya mcingi.
Hiyo hadithi alikufundisha nani mtoto?
Nadhani wewe umechanganyikiwa. Unasema Iringa kimenuka then unasema yametokea Mbeya jana. Lipi ni lipi?
hao ni asilimia 10 tu, kizuri ni kwamba hata ndani ya hao wanajiita wana ccm hawata mpa kura magufuli. kumbuka alichosema bukoba na shinyanga, kuwa mchana ccm usiku ukawa, hii inamaana kula ccm kura ukawa. au umesahau kwenye kampeni zunu mnapouliza swali rais wenu ni nani wana jibu Lowassa, pia kumbuka kilichotokea kwakina riz1 yule mc alivyo sema maendeleo chadema. kwakifupi watu wanaishabikia ccm mdomoni tu, ila moyoni ni ukawa. asante
hao ni asilimia 10 tu, kizuri ni kwamba hata ndani ya hao wanajiita wana ccm hawata mpa kura magufuli. kumbuka alichosema bukoba na shinyanga, kuwa mchana ccm usiku ukawa, hii inamaana kula ccm kura ukawa. au umesahau kwenye kampeni zunu mnapouliza swali rais wenu ni nani wana jibu Lowassa, pia kumbuka kilichotokea kwakina riz1 yule mc alivyo sema maendeleo chadema. kwakifupi watu wanaishabikia ccm mdomoni tu, ila moyoni ni ukawa. asante
Hakuna sababu ya kuwashikilia wote kwa wakati mmoja na kama kuna suspect wange inspect na kuacha waendelee.ni kosa kumchelewesha abiria jwa saa moja bila sabb ya mcingi.