Iringa kimenuka

Iringa kimenuka

Chama chako sio riziki,mgombea wenu hauziki.Acheni hasira,mbona wenzenu hawajawahi kushinda toka 1995? Jitahidi kuzoea ladha ya kushindwa kwa kishindo maana mlizidi kuringa na kujivuna kunguni wanyonya damu wakubwa
Tulia. Yaani unaongea kama unajinyea vile! Eleza nini kimetokea
 
abiria walisema peoplesss power, yametokea yaliotokea mbeya jana.

Magufuli aliaibika sana kule mbeya, sasa wanajaribu kuzuia isitokee hapa iringa. kweli mabadiliko ni lazima

Kweli hili lichama linaenda kujifia hivi linajua cost ya kuzuia safari kwa abiria wote hao 100 kutaicost vipi ccm ata kama miongoni mwao kuna waliokuwa wanaiunga mkono? teh teh MUNGU AMEAMUA KWENYE HILI AND NOBODY CAN SAY NO!!!!
VIVA UKAWA!!!!!!!!
 
Abiri wa Nganga wakisubiri dereva wao bila mafanikio nje ya kituo cha polisi.

Mungu ibariki Tanzania. kwani kuna maisha baada ya uchaguzi

Hebu tueleze ukweli.
Huwezi kutudanganya kua polisi wamemshikilia dereva kwa sababu abiria wamewaonyesha vidole viwili.
Halafu kama huyo dereva alikuwa kabeba abiria 100 ndani ya basi moja..na afungwe na anyang'anywe leseni.

Madereva wa aina hiyo ndo huleta ajali na kuuwa watu kila siku.
Haya mleta mada tueleze ukweli.
 
Hebu tueleze ukweli.
Huwezi kutudanganya kua polisi wamemshikilia dereva kwa sababu abiria wamewaonyesha vidole viwili.
Halafu kama huyo dereva alikuwa kabeba abiria 100 ndani ya basi moja..na afungwe na anyang'anywe leseni.

Madereva wa aina hiyo ndo huleta ajali na kuuwa watu kila siku.
Haya mleta mada tueleze ukweli.

utaelewa taratibu
 
Taratibu kivipi?
Lete habari inayoeleweka.
Utoaji habari wa namna hii unashusha hadhi ya Jukwaa.

nimeshatoa maelezo ya kutosha kwenye post zangu za nyuma, naomba zisome usipo elewa ndiyo nikueleweshe.
asante
 
Dont Rush To The Conclusion Bila Kujua Clear Reasons Ya Wao Kukamatwa....

Hakuna sababu ya kuwashikilia wote kwa wakati mmoja na kama kuna suspect wange inspect na kuacha waendelee.ni kosa kumchelewesha abiria jwa saa moja bila sabb ya mcingi.
 
Back
Top Bottom