Iringa imemchoka Msigwa!

Naonanajifariji
Mara sjui mjapan kasifia - - - -
Wewe naye unadai uko iringa sahv
Kesho utasema uko ruangwa
Keshokutwa utasema uko katavi

Ova
 
Kama utakosa bwana mwaka huu andika huna bahati, huu mwaka niwako lazima uolewe.. Mwanamke unaongea Kama umewekwa betri mpya
 
Nipo hapa Iringa ninachoshuhudia ni hali ngumu kwa Msigwa ambaye kwa sasa ni Mbunge kupitia Chadema.Mwaka 2015 Msigwa alipita kwa nguvu ya wafuasi wa Lowassa wakiongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Iringa,dada mtangasavangu.

Hali ni ngumu kwa Msigwa sasa amefikia hatua ya kufanya makosa ya jinai ili akamatwe na polisi angalau kupata kisingizio cha kuzuiwa na polisi.

Nimalize kwa kusema Msigwa ni Mbunge mwingine ambaye anaenda kuridia kazi ya kuuza mitumba ili wana-Iringa wapate maendeleo.
Upo Iringa ya wapi Mkuu?Labda kama kuna Iringa nyingine .ukweli utakuweka huru
 
Nipo hapa Iringa ninachoshuhudia ni hali ngumu kwa Msigwa ambaye kwa sasa ni Mbunge kupitia CHADEMA. Mwaka 2015 Msigwa alipita kwa nguvu ya wafuasi wa Lowassa wakiongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Iringa, dada Mtangasavangu.

Hali ni ngumu kwa Msigwa sasa amefikia hatua ya kufanya makosa ya jinai ili akamatwe na polisi angalau kupata kisingizio cha kuzuiwa na polisi.

Nimalize kwa kusema Msigwa ni Mbunge mwingine ambaye anaenda kurudia kazi ya kuuza mitumba ili wana-Iringa wapate maendeleo.
Akauze tu hiyo mitumba malipo ni hapahapa duniani, mlitushindisha juani Mwembeyanga mkituaminisha na orodha yenu ya ufisadi lakini baadae mkatubadilishia gia angani na kuanza kuwasafisha mafisadi walewale mliotuaminisha mwanzo.
 
Hujui kitu kuhusu Iringa, endeleeni kusajili wasenge mkiamini kuwa wataleta mvuto kwenye chama lenu la kishetàni.
2193170_tapatalk_1571921669725.jpeg
 
Nadhani wewe huijui Iringa.

Msigwa hakushinda kwa sababu ya Lowassa bali itikadi za wanyalukolo na Msigwa alianza kumdondosha Monica Mbega 2010 ikadaiwa vijana walichukizwa kukatwa Mwakalebela.
2015 wakaletewa Fred kisingizio kikawa eti Mwakalebela ni Mnyachusa!

Kumng'oa Msigwa ni lazima CCM iweke mtu makini mkishindwa kabisa muwekeni mwarabu Salim Asas maana itakuwa hamna namna.
Leo nilikuwa naongea na mfanya Biashara mmoja akasema kuwa ccm kumdondosha msigwa Iringa Labda wamweke agombee na Asas sababu kila LeoAsas anagawa hela sana kwa watu.
 
Leo nilikuwa naongea na mfanya Biashara mmoja akasema kuwa ccm kumdondosha msigwa Iringa Labda wamweke agombee na Asas sababu kila LeoAsas anagawa hela sana kwa watu.
Asas kugawa hela hajaanza leo....CCM walimfuata wenyewe enzi za akina Kwilasa na kumuomba awe kiongozi.
Salimu ni mtu mtulivu sana ila alikuwa na kaka zake wawili enzi zile tukiwa O level Munif na Naif dah wale walikuwa wakorofi sana.

Kitakachomponya Msigwa ni endapo CCM itajichanganya na kumuweka Rita Kabati Motto kuwa mgombea ubunge Iringa mjini.......vinginevyo hata akiletwa Chalamila yule RC wa Mbeya Msigwa anapigwa chini.
 
Nilikaa na Sugu siku moja akaniambia lazima nifanye niwezavyo na Mimi nifungwe ili nipitie Yale aliyo pitia role model wangu 2-PAC na MANDELA
hapo ndiyo àkaanza fujo zinazo kera ilimradi tu afungwe na alifanikiwa katika hilo
Yeye hakuwa na mpango Wa kufanya maendeleo alikua anatengeneza CV yake
Nadhani huu ndiyo mwaka wake Wa mwisho bungeni ntamiss vituko vyake maana sijawahi kumuona akitoa hoja
Kwa jinsi akwlina alivyouliwa na polisi uchaguzi wa kinondoni basi mtachukua majimbo yote kwa mtutu wa bunduki
 
Asas kugawa hela hajaanza leo....CCM walimfuata wenyewe enzi za akina Kwilasa na kumuomba awe kiongozi.
Salimu ni mtu mtulivu sana ila alikuwa na kaka zake wawili enzi zile tukiwa O level Munif na Naif dah wale walikuwa wakorofi sana.

Kitakachomponya Msigwa ni endapo CCM itajichanganya na kumuweka Rita Kabati Motto kuwa mgombea ubunge Iringa mjini.......vinginevyo hata akiletwa Chalamila yule RC wa Mbeya Msigwa anapigwa chini.
Iringa siyo nyepesi kihivyo Mkuu. Hawa wanyalukolo huwa hawataki mambo ya mchezo mchezo.wakiamua kitu unaweza kudhani wapo pamoja nawe kumbe wenzio wapo kwingine.Wenzako hili wanalitambua ndo maana wanafanya jitihada Kubwa sana kutumia polisi,na hata sasa wamemwagwa polisi wengi kwaajili ya uchaguzi,tena wwngi toka kanda ya ziwa.
 
Iringa siyo nyepesi kihivyo Mkuu. Hawa wanyalukolo huwa hawataki mambo ya mchezo mchezo.wakiamua kitu unaweza kudhani wapo pamoja nawe kumbe wenzio wapo kwingine.Wenzako hili wanalitambua ndo maana wanafanya jitihada Kubwa sana kutumia polisi,na hata sasa wamemwagwa polisi wengi kwaajili ya uchaguzi,tena wwngi toka kanda ya ziwa.
Hakuna uchaguzi uliowahi kukosa rundo la polisi Iringa kuanzia enzi za chama kimoja!
 
Nadhani wewe huijui Iringa.

Msigwa hakushinda kwa sababu ya Lowassa bali itikadi za wanyalukolo na Msigwa alianza kumdondosha Monica Mbega 2010 ikadaiwa vijana walichukizwa kukatwa Mwakalebela.
2015 wakaletewa Fred kisingizio kikawa eti Mwakalebela ni Mnyachusa!

Kumng'oa Msigwa ni lazima CCM iweke mtu makini mkishindwa kabisa muwekeni mwarabu Salim Asas maana itakuwa hamna namna.
Eti watamuweka chalamila
 
Back
Top Bottom